< Jakob 4 >

1 Od kod prihajajo med vami vojne in boji? Ali ne pridejo od tod, celó iz vaših poželenj, ki se vojskujejo v vaših udih?
Ni kitu gani kinachosababisha mapigano na ugomvi miongoni mwenu? Je, haya hayatokani na tamaa zenu zinazoshindana ndani yenu?
2 Vi hlepite, pa nimate. Ubijate in želite imeti, pa ne morete doseči. Bojujete se in vojskujete, vendar nimate, ker ne prosite.
Mnatamani lakini hampati, kwa hiyo mwaua. Mwatamani kupata lakini hampati vile mnavyotaka, kwa hiyo mnajitia katika magomvi na mapigano. Mmepungukiwa kwa sababu hammwombi Mungu.
3 Prosite, pa ne prejmete, ker prosite neprimerno, da bi to porabili za svoja poželenja.
Mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, ili mpate kuvitumia hivyo mtakavyopata kwa tamaa zenu.
4 Vi zakonolomci in zakonolomke ali ne veste, da je prijateljstvo s svetom sovraštvo do Boga? Kdorkoli bo torej prijatelj sveta, postane Božji sovražnik.
Ninyi wanaume na wanawake wazinzi, hamjui ya kwamba urafiki na dunia ni uadui na Mungu? Kwa hiyo mtu yeyote anayetaka kuwa rafiki wa dunia hufanyika adui wa Mungu.
5 Ali mislite, da pismo zaman pravi: »Duh, ki prebiva v nas, hrepeni do zavisti?«
Au mwadhani kwamba Andiko lasema bure kuwa huyo Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?
6 Toda on daje več milosti. Zatorej pravi: »Bog se ponosnim upira, toda ponižnim daje milost.«
Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Andiko husema: “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
7 Podvrzite se torej Bogu. Uprite se hudiču in bo od vas pobegnil.
Basi mtiini Mungu. Mpingeni ibilisi, naye atawakimbia.
8 Približajte se Bogu in se vam bo približal. Očistite si svoje roke, vi grešniki; in očistite svoja srca, vi, [ki ste] dvojnih misli.
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu ninyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu ninyi wenye nia mbili.
9 Bodite užaloščeni in žalujte ter jokajte. Naj bo vaš smeh obrnjen v žalovanje in vaša radost v potrtost.
Huzunikeni, ombolezeni na kulia. Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni.
10 Ponižajte se v Gospodovih očeh in vas bo povišal.
Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye atawainua.
11 Bratje, drug o drugem ne govorite hudobno. Kdor o svojem bratu govori hudobno in svojega brata sodi, govori hudobno o postavi in sodi postavo. Toda če sodiš postavo, nisi uresničevalec postave, temveč sodnik.
Ndugu, msineneane mabaya ninyi kwa ninyi. Mtu yeyote anayesema mabaya dhidi ya ndugu yake au kumhukumu anasema dhidi ya sheria na kuihukumu. Unapoihukumu sheria, basi huishiki sheria bali umekuwa hakimu wa kuihukumu hiyo sheria.
12 En zakonodajalec je, ki je zmožen rešiti in uničiti. Kdo si ti, da sodiš drugega?
Yuko Mtoa sheria mmoja tu na yeye peke yake ndiye Hakimu, ndiye awezaye kuokoa au kuangamiza. Lakini wewe ni nani hata umhukumu jirani yako?
13 Pojdite torej, vi, ki pravite: »Danes ali jutri bomo šli v to mesto in tam ostali eno leto in kupovali in prodajali ter zaslužili dobiček; «
Basi sikilizeni ninyi msemao, “Leo au kesho tutakwenda katika mji huu ama ule tukae humo mwaka mmoja, tufanye biashara na kupata faida.”
14 medtem ko ne veste, kaj bo jutri. Kajti kaj je vaše življenje? Je celó meglica, ki se za kratek čas prikaže in potem izgine proč.
Lakini hamjui hata litakalotukia kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha hutoweka.
15 Kajti takó morate reči: »Če Gospod hoče, bomo živeli in delali to ali ono.«
Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Bwana akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”
16 Toda sedaj se razveseljujete v svojih bahanjih. Vsako takšno razveseljevanje je zlo.
Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu.
17 Torej tistemu, ki zna delati dobro, pa tega ne dela, mu je to [v] greh.
Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

< Jakob 4 >