< Izaija 32 >
1 Glej, kralj bo kraljeval v pravičnosti in princi bodo vladali na sodbi.
Tazama, mfalme atatawala kwa haki, wakuu wataongoza kwa haki.
2 Človek bo kakor skrivališče pred vetrom in zatočišče pred neurjem, kakor reke vodá na suhem kraju, kakor senca velike skale na izmučeni zemlji.
Kila mmoja atakuwa kama makazi kutoka kwenye upepo na kimbilio kutoka kwenye dhoruba, kama mifereji kwenye sehemu kavu, kama kivuli kwenye mwamba mkubwa katika nchi iliyochoka.
3 Oči tistih, ki vidijo, ne bodo zatemnjene in ušesa tistih, ki slišijo, bodo prisluhnila.
Halafu macho ya waie wanaoona hayataona giza, na masikio ya wale wanosikia yatasikia vizuri.
4 Tudi srce prenagljenega bo razumelo spoznanje in jezik jecljavih bo pripravljen razločno govoriti.
Wenye upele watafikiria kwa makini kwa uelewa wao, na wenye kigugumizi watazungumza dhahiri na kwa urahisi.
5 Podla oseba se ne bo več imenovala velikodušna niti [za] skopuha ne bo rečeno, da je radodaren.
Mjinga hataitwa tena muheshimiwa, wala muongo hataitwa mkuu.
6 Kajti podla oseba bo govorila podlost in srce le-te hoče početi krivičnost, da izvaja hinavščino in da izreka napačno zoper Gospoda, da izprazni dušo lačnega in pijači žejnega povzroči, da odpove.
Maana mjinga anazungumza ujinga, na moyo wake unapanga maovu na matendo ya wasiomcha Mungu, na anaongea mambo mabaya kuhusu Yahwe. Na anawafanya wenye njaa kuwa tupu na wenye kiu kukosa maji
7 Tudi orodja skopušnega so zla. On snuje zlobne naklepe, da ubogega uniči z lažnivimi besedami, celo ko pomoči potreben pravilno govori.
Njia ya muongo ni maovu. Anajua kubuni mipango mibaya ya kuwalagai masikini kwa uongo, na hata kama masikini atazungumza ukweli.
8 Toda velikodušen snuje velikodušne stvari in z velikodušnimi stvarmi bo obstal.
Lakini watu wa heshima wanapanga mipango ya kuheshimika; na kwa sabaubau ya matendo ya wenye heshima tuatasimama.
9 Vstanite, ve ženske, ki ste ošabne, prisluhnite mojemu glasu. Ve brezskrbne hčere, pazljivo prisluhnite mojemu govoru.
Nyanyukeni juu, enyi wanawake mlio wepesi, na sikilizeni sauti yangu; enyi mabinti msiowangalifu, nisikilizeni mimi.
10 Mnogo dni in let boste zaskrbljene, ve brezskrbne ženske, kajti trgatev se bo izjalovila, obiranje ne bo prišlo.
Maana kwa mda mfupi zaidi ya mwaka ujasiri wenu utavunjika, nyie wanawake msiojali, maana mavuno ya zabibu yatakwama, mavuno hayatakuwepo.
11 Trepetajte, ve ženske, ki ste ošabne; bodite zaskrbljene, ve brezskrbne. Slecite se in se razgalite in opašite si vrečevino na svoja ledja.
Tetemekeni, enyi wanawake, mliowadhaifu; taabikeni enyi msikuwa wangalifu; ondoeni nguo zenu nzuri mbaki wazi;
12 Žalovale bodo zaradi seskov, zaradi prijetnih polj, zaradi rodovitne trte.
Vaeni nguo za magunia katika viuno vyenu. Ole watakaojichukulia mashamba mazuri, kwa mzabibu ulio zaa sana.
13 Nad deželo mojega ljudstva bo prišlo trnje in osat, da, nad vse hiše radosti v radostnem mestu,
Kwenye aridhi ya watu wangu kutamea miiba na mbigiri, hata juu ya nyumba za furaha na mji ulio na shangwe.
14 ker bodo palače zapuščene, množica mesta bo opuščena, utrdbe in stolpi bodo za brloge na veke, radost divjih oslov, pašnik tropov,
Maana jumba litaachwa, mji uliosongamana utakuwa faragha; kilima na mnara vitakuwa mapango daima, furaha ya punda, malisho ya mifugo;
15 dokler nad nas ne bo izlit duh iz višave in bo divjina rodovitno polje in rodovitno polje bo šteto za gozd.
mpaka roho itushukie sisi kutoka juu, na jangwa litakuwa shamba linalozaa, na shamba linalozaa litachukuliwa kama msitu.
16 Potem bo sodba prebivala v divjini in pravičnost ostane na rodovitnem polju.
Wenye haki wataishi jangwani; na wenye haki wataishi katika shamba linalozaa matunda.
17 Delo pravičnosti bo mir in učinek pravičnosti spokojnost in gotovost na veke.
Kazi ya mwenye haki itakuwa ni ya amani; na matokeo ya wenye haki, ni utulivu na kujiamini daima.
18 Moje ljudstvo bo prebivalo v mirnem okolju in v zanesljivih prebivališčih in v tihih počivališčih,
Watu wangu wataishi katika makao ya amani, na katika nyumba salama na mahali tulivu pa kupumzikia.
19 ko se bo usula toča, prihajajoča na gozd in bo mesto nizko, na nizkem kraju.
Lakini hata kama ni mvua ya mawe na msitu umeharibiwa, na mji umeteketezwa,
20 Blagoslovljeni ste vi, ki sejete poleg vseh vodá, ki tja pošiljate kopita vola in osla.
yule ambae anaye panda pembezoni mwa mifereji atabarikiwa, na yule atakaye wapeleka ng'ombe na punda kuchunga.