< 1 Mojzes 46 >

1 Izrael je šel na svojo pot z vsem, kar je imel in prišel v Beeršébo in žrtvoval klavne daritve Bogu svojega očeta Izaka.
Israeli akasafiri na yote aliyokuwa nayo na akaja Beersheba. Pale akatoa sadaka kwa Mungu wa Isaka baba yake.
2 Bog je Izraelu spregovoril v videnjih noči in rekel: »Jakob, Jakob.« Ta je rekel: »Tukaj sem.«
Mungu akamwambia Israeli katika ndoto usiku, akisema, “Yakobo, Yakobo.”
3 Rekel je: »Jaz sem Bog, Bog tvojega očeta. Ne boj se iti dol v Egipt, kajti iz tebe bom tam naredil velik narod.
Akasema, “Mimi hapa.” Akasema, “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kushuka Misri, kwa maana nitakufanya taifa kubwa huko.
4 S teboj bom šel dol v Egipt in zagotovo te bom ponovno privedel gor in Jožef bo svojo roko položil na tvoje oči.«
Nitakwenda pamoja nawe huko Misri, Nami nitakupandisha huku tena bila shaka. Na Yusufu akayafunika macho yako kwa mikono wake.”
5 Jakob je vstal izpred Beeršébe in Izraelovi sinovi so odvedli svojega očeta Jakoba, svoje malčke in svoje žene v vozove, ki jih je faraon poslal, da ga odpeljejo.
Yakobo akainuka kutoka Beersheba. Wana wa Israeli wakamsafirisha Yakobo baba yao, watoto wao, na wake wao, katika mikokotene ambayo Farao alikuwa ameipeleka kuwachukua.
6 Vzeli so svojo živino in svoje dobrine, ki so jih pridobili v kánaanski deželi in prišli v Egipt, Jakob in vse njegovo potomstvo z njim,
Wakachukua mifugo yao na mali zao walizokuwa wamezipata katika nchi ya Kanaani. Wakaja Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye.
7 njegovi sinovi in sinovi njegovih sinov z njim, njegove hčere in hčere njegovih sinov in vse svoje potomstvo je s seboj privedel v Egipt.
Akaja Misri pamoja na wanawe na wana wa wanawe, binti zake na wana wa binti zake, na uzao wake wote.
8 To so imena Izraelovih otrok, ki so prišli v Egipt. Jakob in njegovi sinovi: Ruben, Jakobov prvorojenec.
Haya ni majina ya watoto wa Israeli waliokuja Misri, Yakobo na wanawe: Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo;
9 Vsi Rubenovi sinovi: Henoh, Palú, Hecrón in Karmí.
wana wa Rubeni Hanoki na Palu na Hezroni na Karmi;
10 Simeonovi sinovi: Jemuél, Jamín, Ohad, Jahín, Cohar in Šaúl, sin kánaanske ženske.
wana wa Simoni, Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli, wana wa mwanamke Mkanaani;
11 Lévijevi sinovi: Geršón, Kehát in Merarí.
wana wa Lawi Gershoni, Kohathi, na Merari.
12 Judovi sinovi: Er, Onán, Šelá, Parec in Zerah, toda Er in Onán sta umrla v kánaanski deželi. Parecova sinova pa sta bila Hecrón in Hamúl.
Wana wa Yuda: Eri, Shela, Peresi, na Zera, (Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani). Na wana wa Peresi walikuwa Hezroni na Hamuli.
13 Isahárjevi sinovi: Tolá, Puvá, Job in Šimrón.
Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Lobu, na Shimroni;
14 Zábulonovi sinovi: Sered, Elón in Jahleél.
Wana wa Zabuloni walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli
15 To so Leini sinovi, ki jih je rodila Jakobu v Padan–aramu z njegovo hčerjo Dino. Vseh duš njegovih sinov in njegovih hčera je bilo triintrideset.
Hawa walikuwa wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padani Aramu, pamoja na na Dina binti yake. Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.
16 Gadovi sinovi: Cifjón, Hagí, Šuní, Ecbón, Erí, Aród in Arelí.
Wana wa Gadi walikuwa Zifioni, Hagi, Shuni, Ezboni, Eri, Arodi, na Areli.
17 Aserjevi sinovi: Jimná, Jišvá, Jišví, Berijá in njihova sestra Sêraha. In Berijájeva sinova: Heber in Malkiél.
Wana wa Asheri walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, na Beria; na Sera alikuwa dada yao. Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli.
18 To so sinovi Zilpe, ki jo je Labán dal svoji hčeri Lei in te je rodila Jakobu: šestnajst duš.
Hawa walikuwa wana wa Zilpa, ambaye Labani alikuwa amempa Lea binti yake. Wana aliomzalia Yakobo wote walikuwa kumi na sita.
19 Sinova Jakobove žene Rahele: Jožef in Benjamin.
Wana wa Raheli mkewe Yakobo walikuwa Yusufu na Benjamini.
20 Jožefu sta bila v egiptovski deželi rojena Manáse in Efrájim, katera mu je rodila Asenáta, hči Potifêra, duhovnika iz Ona.
Huko Misri Manase na Efraimu walizaliwa kwa Yusufu na Asenathi, binti Potifera kuhani wa Oni.
21 Benjaminovi sinovi so bili Bela, Beher, Ašbél, Gerá, Naamán, Ehí, Roš, Mupím, Hupím in Ard.
Wana wa Benjamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi.
22 To so Rahelini sinovi, ki so bili rojeni Jakobu. Vseh duš je bilo štirinajst.
Hawa walikuwa wana wa Raheli waliozaliwa kwa Yakobo - jumla yao kumi na wanne.
23 Danovi sinovi: Huším.
Mwana wa Dani alikuwa Hushimu.
24 Neftálijevi sinovi: Jahceél, Guní, Jecer in Šilém.
Wana wa Naftali walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemi.
25 To so sinovi Bilhe, ki jo je Labán dal svoji hčeri Raheli in te je rodila Jakobu. Vseh duš je bilo sedem.
Hawa walikuwa wana Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alimpa Raheli binti yake - wote walikuwa saba.
26 Vseh duš, ki so z Jakobom prišle v Egipt, ki so prišle iz njegovih ledij, poleg žen Jakobovih sinov, vseh duš je bilo šestinšestdeset.
Wate waliokwenda na Yakobo, waliokuwa uzao wake, bila kuhesabu wake wa wana wa Yakobo walikuwa sitini na sita.
27 Jožefova sinova, ki sta bila rojena v Egiptu, sta bili dve duši. Vseh duš Jakobove hiše, ki so prišle v Egipt, je bilo sedemdeset.
Pamoja na wana wawili wa Yusufu waliozaliwa kwake huko Misri, watu wa familia yake waliokwenda Misri walikuwa sabini jumla yao.
28 Pred njim je poslal k Jožefu Juda, da njegov obraz usmeri v Gošen, in prišli so v gošensko deželo.
Yakobo akamtuma Yuda kuwatangulia mbele kwa Yusufu kuonesha njia mbele yake kwenda Gosheni, nao wakaja katika eneo la Gosheni.
29 Jožef je pripravil svoj bojni voz in odšel v Gošen, da sreča svojega očeta Izraela in se mu predstavi in planil je na njegov vrat in na njegovem vratu dolgo časa jokal.
Yusufu akaandaa kibandawazi chake na akaenda kumlaki baba yake huko Gosheni. Akamwona, akaikumbatia shingo yake, na akalia shingoni mwake kwa kitambo.
30 Izrael je Jožefu rekel: »Sedaj naj umrem, ker sem videl tvoj obraz, ker si še vedno živ.«
Israeli akamwambia Yusufu, “Basi na nife sasa, kwa kuwa nimeuona uso wako, kwamba bado uko hai.”
31 Jožef je rekel svojim bratom in vsej očetovi hiši: »Odšel bom gor in faraonu pokazal ter mu rekel: ›Moji bratje in hiša mojega očeta, ki so bili v kánaanski deželi, so prišli k meni.
Yusufu akawambia ndungu zake na nyumba ya baba yake, “Nitakwenda na kumwambia Farao, kusema, 'Ndugu zangu na nyumba ya baba yangu, waliokuwa katika nchi ya Kanaani, wamenijia.
32 Ljudje so pastirji, kajti njihovo ukvarjanje je, da pasejo živino in pripeljali so svoje trope in svoje črede in vse, kar imajo.‹
Watu hawa ni wafugaji, kwani wamekuwa watunza wanyama. Wamekuja na makundi yao ya kondoo, na mbuzi, na vyote walivyonavyo.'
33 In zgodilo se bo, ko vas bo faraon poklical in vam rekel: ›Kaj je vaš poklic?‹
Itakuwa, Farao atakapowaita na kuwauliza, 'Kazi yenu ni ipi?'
34 da boste rekli: ›Ukvarjanje tvojih služabnikov je okoli živine od naše mladosti celo do sedaj, tako mi in tudi naši očetje.‹ Da boste lahko prebivali v gošenski deželi, kajti vsak pastir je Egipčanom ogabnost.«
mwambieni, 'Watumishi wako wamekuwa watunza wanyama tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi, na baba zetu.' Fanyeni hivyo ili mweze kuishi katika nchi ya Gosheni, kwani kila mfugaji ni chukizo kwa Wamisri.”

< 1 Mojzes 46 >