< 1 Mojzes 16 >

1 Torej Sarája, Abramova žena, mu ni rodila otrok. Imela pa je pomočnico, Egipčanko, ki ji je bilo ime Hagára.
Kisha Sarai mke wa Abram, alikuwa hajamzalia mtoto, lakini alikuwa na mtumishi wa kike, Mmisri ambaye jina lake aliitwa Hajiri.
2 Sarája je Abramu rekla: »Glej torej, Gospod me je zadržal pred rojevanjem. Prosim te, pojdi noter v mojo služkinjo, lahko se zgodi, da dosežem otroke prek nje.« Abram je prisluhnil Sarájinemu glasu.
Kwa hiyo Sarai akamwambia Abram, “Tazama, Yahwe hajanifanya mimi kuwa na watoto. Nenda na ulale na mtumishi wangu. Ili kwamba niweze kupata watoto kupitia yeye.” Abram akasikiliza sauti ya Sarai.
3 Sarája, Abramova žena, je vzela Hagáro, svojo egipčansko služabnico, potem ko je Abram deset let prebival v kánaanski deželi in jo dala svojemu soprogu Abramu, da postane njegova žena.
Ilikuwa baada ya Abram kuishi miaka kumi katika nchi ya Kanaani ndipo Sarai, mke wa Abram, alimtoa Hajiri yule mmisri mtumishi wake kwa mume wake awe kama mke wake.
4 Šel je noter v Hagáro in ona je spočela. Ko pa je videla, da je spočela, je bila njena gospodarica prezirana v njenih očeh.
Kwa hiyo akawa na mahusiano na Hajiri, na akabeba mimba. Na alipoona kuwa amebeba mimba, akamdharau bibi yake.
5 Sarája je rekla Abramu: »Moja žalitev bodi na tebi. Svojo služabnico sem dala v tvoje naročje, ko pa je videla, da je spočela, sem bila v njenih očeh prezirana. Gospod [naj] sodi med menoj in teboj.«
Kisha Sarai akamwambia Abram, “Jambo hili baya kwangu ni kwa sababu yako. Nilimtoa mtumishi wangu wa kike katika kumbatio lako. Na alipoona kuwa amebeba mimba, nilidharaulika machoni pake. Na sasa acha Yahwe aamuwe kati yangu na wewe.”
6 Toda Abram je rekel Saráji: »Glej, tvoja služabnica je v tvoji roki. Stôri ji, kakor ti ugaja.« Ko pa je Sarája z njo trdo postopala, je ta pobegnila pred njenim obrazom.
Lakini Abram akamwambia Sarai, “Tazama, hapa, mtumishi wako yuko katika uwezo wako, fanya unachofikiri ni kizuri sana kwake.” Kwa hiyo Sarai akakabiliana naye kwa ukatili, na akatoroka.
7 Gospodov angel jo je našel pri vodnem studencu v divjini, pri izviru, na poti v Šur.
Malaika wa Yahwe akamkuta karibu na chemichemi ya maji katika jangwa, chemichemi iliyo katika njia kuelekea Shuri.
8 Rekel je: »Hagára, Sarájina služabnica, od kod prihajaš? Kam hočeš oditi?« Rekla je: »Pobegnila sem izpred obličja svoje gospodarice Saráje.«
Akasema, Hajiri, mtumishi wa Sarai, umetoka wapi na unakwenda wapi?” Na akasema, ninamtoroka bibi yangu Sarai.”
9 Gospodov angel ji je rekel: »Vrni se k svoji gospodarici in se podrêdi pod njene roke.«
Malaika wa Yahwe akamwambia, “Rudi kwa bibi yako, na unyenyekee chini ya mamlaka yake.”
10 Gospodov angel ji je rekel: »Tvoje seme bom silno pomnožil, da le-to zaradi množice ne bo preštevno.«
Kisha Malaika wa Yahwe akamwambia, “Nitazidisha uzao wako maradufu, kiasi kwamba watakuwa wengi wasioweza kuhesabika.”
11 Gospodov angel ji je rekel: »Glej, ti si z otrokom in rodila boš sina in imenovala ga boš Izmael, ker je Gospod uslišal tvojo stisko.
Malaika wa Yahwe pia akamwambia, “Tazama, wewe unamimba, na utazaa mtoto kiume, na utamwita jina lake Ishmaeli, kwasabab Yahwe amesikia mateso yako.
12 In on bo divji človek, njegova roka bo zoper vsakega človeka in roka vsakega človeka zoper njega in prebival bo v prisotnosti vseh svojih bratov.«
Atakuwa punda mwitu wa mtu. Atakuwa adui dhidi ya kila mtu, na kila mtu atakuwa adui yake, na ataishi kando na ndugu zake wote.”
13 Klicala je ime Gospoda, ki ji je govoril: »Ti, Bog, me vidiš, « kajti rekla je, »sem tudi tukaj gledala za tistim, ki me vidi?«
Kisha akamwita jina hili Yahwe aliye zungumza naye, “Wewe ni Mungu unionaye mimi,” kwa kuwa alisema, “je ninaendelea kweli kuona, hata baada ya kuwa ameniona?”
14 Zatorej se je izvir imenoval Beêr Laháj Roí; glej, ta je med Kadešem in Beredom.
Kwa hiyo kisima kiliitwa Beerlahairori; Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.
15 Hagára je Abramu rodila sina in Abram je svojega sina, ki ga je rodila Hagára, imenoval Izmael.
Hajiri akamzalia Abram mwana wa kiume, na Abram akamwita mwanawe, ambaye Hajiri amemzaa jina, Ishmaeli.
16 Ko je Hagára Abramu rodila Izmaela, je bil Abram star šestinosemdeset let.
Abram alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hajiri alipomzaa Ishmaeli kwa Abram.

< 1 Mojzes 16 >