< 1 Mojzes 16 >
1 Torej Sarája, Abramova žena, mu ni rodila otrok. Imela pa je pomočnico, Egipčanko, ki ji je bilo ime Hagára.
Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari,
2 Sarája je Abramu rekla: »Glej torej, Gospod me je zadržal pred rojevanjem. Prosim te, pojdi noter v mojo služkinjo, lahko se zgodi, da dosežem otroke prek nje.« Abram je prisluhnil Sarájinemu glasu.
hivyo Sarai akamwambia Abramu, “Bwana amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.” Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema.
3 Sarája, Abramova žena, je vzela Hagáro, svojo egipčansko služabnico, potem ko je Abram deset let prebival v kánaanski deželi in jo dala svojemu soprogu Abramu, da postane njegova žena.
Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake.
4 Šel je noter v Hagáro in ona je spočela. Ko pa je videla, da je spočela, je bila njena gospodarica prezirana v njenih očeh.
Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba. Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai.
5 Sarája je rekla Abramu: »Moja žalitev bodi na tebi. Svojo služabnico sem dala v tvoje naročje, ko pa je videla, da je spočela, sem bila v njenih očeh prezirana. Gospod [naj] sodi med menoj in teboj.«
Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”
6 Toda Abram je rekel Saráji: »Glej, tvoja služabnica je v tvoji roki. Stôri ji, kakor ti ugaja.« Ko pa je Sarája z njo trdo postopala, je ta pobegnila pred njenim obrazom.
Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.
7 Gospodov angel jo je našel pri vodnem studencu v divjini, pri izviru, na poti v Šur.
Malaika wa Bwana akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri.
8 Rekel je: »Hagára, Sarájina služabnica, od kod prihajaš? Kam hočeš oditi?« Rekla je: »Pobegnila sem izpred obličja svoje gospodarice Saráje.«
Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?” Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”
9 Gospodov angel ji je rekel: »Vrni se k svoji gospodarici in se podrêdi pod njene roke.«
Ndipo malaika wa Bwana akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.”
10 Gospodov angel ji je rekel: »Tvoje seme bom silno pomnožil, da le-to zaradi množice ne bo preštevno.«
Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”
11 Gospodov angel ji je rekel: »Glej, ti si z otrokom in rodila boš sina in imenovala ga boš Izmael, ker je Gospod uslišal tvojo stisko.
Pia malaika wa Bwana akamwambia: “Wewe sasa una mimba nawe utamzaa mwana. Utamwita jina lake Ishmaeli, kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.
12 In on bo divji človek, njegova roka bo zoper vsakega človeka in roka vsakega človeka zoper njega in prebival bo v prisotnosti vseh svojih bratov.«
Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu, mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu na mkono wa kila mtu dhidi yake, naye ataishi kwa uhasama na ndugu zake wote.”
13 Klicala je ime Gospoda, ki ji je govoril: »Ti, Bog, me vidiš, « kajti rekla je, »sem tudi tukaj gledala za tistim, ki me vidi?«
Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.”
14 Zatorej se je izvir imenoval Beêr Laháj Roí; glej, ta je med Kadešem in Beredom.
Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi, ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.
15 Hagára je Abramu rodila sina in Abram je svojega sina, ki ga je rodila Hagára, imenoval Izmael.
Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli.
16 Ko je Hagára Abramu rodila Izmaela, je bil Abram star šestinosemdeset let.
Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.