< Galačanom 1 >

1 Pavel, apostol (ne od ljudi niti ne po človeku, temveč po Jezusu Kristusu in Bogu Očetu, ki ga je obudil od mrtvih)
Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
2 in vsi bratje, ki so z menoj, cerkvam v Galatiji:
na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
3 ›Milost bodi vam in mir od Boga Očeta in od našega Gospoda Jezusa Kristusa,
Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
4 ki je samega sebe dal za naše grehe, da nas lahko osvobodi iz tega sedanjega hudobnega sveta, glede na voljo Boga in našega Očeta, (aiōn g165)
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
5 ki mu bodi slava na veke vekov. Amen.‹ (aiōn g165)
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
6 Čudim se, da ste se tako hitro oddaljili od tistega, ki vas je poklical v Kristusovo milost, k drugemu evangeliju,
Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
7 ki ni drug, temveč so tam nekateri, ki vas vznemirjajo in hočejo izkriviti Kristusov evangelij.
ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
8 Toda čeprav vam mi ali angel iz nebes oznanja kak drug evangelij, kakor tega, ki smo vam ga oznanili, naj bo ta preklet.
Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
9 Kakor smo rekli prej, tako ponovno govorim sedaj: »Če vam katerikoli človek oznani kak drug evangelij, kakor ta, ki ste ga prejeli, naj bo preklet.«
Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
10 Kajti ali sedaj pregovarjam ljudi ali Boga? Ali poskušam ugajati ljudem? Kajti če bi še ugajal ljudem, ne bi bil Kristusov služabnik.
Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
11 Toda potrjujem vam, bratje, da evangelij, ki je bil oznanjen po meni, ni po človeku.
Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
12 Kajti niti ga nisem prejel od človeka niti se ga nisem naučil, temveč po razodetju Jezusa Kristusa.
Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
13 Kajti slišali ste o mojem vedênju, v preteklem času v judovski religiji, da sem preko mere preganjal Božjo cerkev in jo pustošil,
Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
14 in v judovski religiji napredoval nad mnoge svoje vrstnike v svojem lastnem narodu in bil še silno vnet za izročila svojih očetov.
Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
15 Toda ko je Bogu, ki me je od maternice moje matere odbral in me poklical po svoji milosti, ugajalo,
Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
16 da v meni razodene svojega Sina, da bi ga lahko oznanjal med pogani, se nisem takoj posvetoval z mesom in krvjo,
alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
17 niti nisem odšel gor v Jeruzalem k tem, ki so bili apostoli pred menoj, temveč sem odšel v Arabijo in se ponovno vrnil v Damask.
wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
18 Potem sem po treh letih odšel gor v Jeruzalem, da vidim Petra in z njim ostal petnajst dni.
Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
19 Toda izmed apostolov nisem videl nobenega drugega, razen Jakoba, Gospodovega brata.
Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20 Torej stvari, ki vam jih pišem, glejte, pred Bogom, ne lažem.
Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
21 Kasneje sem prišel v področja Sirije in Kilikije;
Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
22 in po obrazu sem bil nepoznan cerkvam v Judeji, ki so bile v Kristusu,
Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
23 toda samo slišali so: »Da tisti, ki nas je v preteklih časih preganjal, sedaj oznanja vero, ki jo je nekoč uničeval.«
Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
24 In slavili so Boga v meni.
Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

< Galačanom 1 >