< Ezekiel 28 >

1 Beseda Gospodova je ponovno prišla k meni, rekoč:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 »Človeški sin, povej princu Tira: ›Tako govori Gospod Bog: ›Ker je tvoje srce povzdignjeno in si rekel: ›Jaz sem Bog, sedim na Božjem sedežu v sredi morij; ‹ vendar si človek in ne Bog, čeprav si svoje srce postavljal kakor srce Boga.
“Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
3 Glej, modrejši si kakor Daniel; ni skrivnosti, ki jo lahko skrijejo pred teboj.
unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
4 S svojo modrostjo in s svojim razumevanjem si si pridobil bogastva in v svojih zakladnicah si si pridobil zlato in srebro.
Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
5 S svojo veliko modrostjo in s svojim preprodajanjem si povečal svoja bogastva in tvoje srce je povzdignjeno zaradi tvojih bogastev.‹
Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
6 Zato tako govori Gospod Bog: ›Ker si svoje srce postavil kakor srce Boga;
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
7 glej, zato bom nadte privedel tujce, strašne izmed narodov. Svoje meče bodo izvlekli zoper lepoto tvoje modrosti in omadeževali bodo tvoj sijaj.
kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
8 Privedli te bodo dol do jame in umrl boš [s] smrtmi tistih, ki so umorjeni v sredi morij.
Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
9 Ali boš še govoril pred tistim, ki te ubija: ›Jaz sem Bog?‹ Toda ti boš mož in ne Bog, v roki tistega, ki te ubija.
Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
10 Umrl boš s smrtmi neobrezancev, po roki tujcev, kajti jaz sem to govoril, ‹ govori Gospod Bog.«
Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
11 Poleg tega je prišla k meni Gospodova beseda, rekoč:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 »Človeški sin, vzdigni žalostinko nad kraljem Tira in mu reci: ›Tako govori Gospod Bog: ›Ti pečatiš vsoto, poln si modrosti in popoln v lepoti.
“Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
13 Bil si v Raju, Božjem vrtu; vsak dragocen kamen je bil tvoje pokrivalo: sardij, topaz in diamant, beril, oniks in jaspis, safir, smaragd, granat in zlato. Izdelava tvojih bobničev in tvojih piščali je bila pripravljena v tebi na dan, ko si bil ustvarjen.
Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
14 Ti si maziljen kerub, ki zaslanja; in jaz sem te tako postavil. Bil si na sveti gori Boga; hodil si gor in dol v sredi ognjenih kamnov.
Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
15 Bil si popoln na svojih poteh, od dneva, ko si bil ustvarjen, dokler ni bila v tebi najdena krivičnost.
Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 Z množico tvojih trgovanj so tvojo sredo napolnili z nasiljem in si grešil, zato te bom pahnil, kot oskrunjenega iz Božje gore in te bom uničil, oh zaslanjajoči kerub, iz srede ognjenih kamnov.
Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
17 Tvoje srce se je povzdignilo zaradi tvoje lepote, svojo modrost si izpridil zaradi svojega sijaja. Jaz te bom vrgel na tla, jaz te bom položil pred kralje, da te bodo lahko gledali.
Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
18 Svoja svetišča si omadeževal z množico svojih krivičnosti, s krivičnostjo svojega preprodajanja; zato bom privedel ogenj iz tvoje srede; ta te bo požrl, jaz pa te bom spremenil v pepel na zemlji, pred očmi vseh tistih, ki te gledajo.
Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
19 In tisti, ki te med ljudstvom poznajo, bodo osupli nad teboj. Strahota boš in nikoli te ne bo več.‹«
Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
20 Ponovno je prišla k meni Gospodova beseda, rekoč:
Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
21 »Človeški sin, naravnaj svoj obraz proti Sidónu in prerokuj zoper njega
“Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
22 ter reci: ›Tako govori Gospod Bog: ›Glej, zoper tebe sem, oh Sidón; in proslavljen bom v tvoji sredi in vedeli bodo, da jaz sem Gospod, ko bom izvršil sodbe v njem in bom posvečen v njem.
Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
23 Kajti vanj bom poslal kužno bolezen in kri na njegove ulice; in ranjeni bodo sojeni v njegovi sredi z mečem na njem, na vsaki strani; in spoznali bodo, da jaz sem Gospod.
Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
24 In ne bo več bodečega osata nad Izraelovo hišo niti kakršnegakoli bolečega trna od vseh, ki so okoli njih, ki so jih prezirali; in spoznali bodo, da jaz sem Gospod Bog.‹
Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
25 Tako govori Gospod Bog: ›Ko bom Izraelovo hišo zbral izmed ljudstev, med katere so razkropljeni in bom posvečen v njih v očeh poganov, potem bodo prebivali v svoji deželi, ki sem jo dal svojemu služabniku Jakobu.
Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
26 In v njej bodo varno prebivali in gradili bodo hiše in sadili vinograde; da, prebivali bodo z zaupanjem, ko izvršim sodbe nad vsemi tistimi, ki jih prezirajo naokoli njih; in spoznali bodo, da jaz sem Gospod, njihov Bog.‹«
Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'

< Ezekiel 28 >