< Pridigar 2 >
1 V svojem srcu sem rekel: »Pojdi sedaj, preizkusil te bom z veseljem, zato uživaj zadovoljstvo.« Glej, tudi to je ničevost.
Nikasema moyoni, “Njoo, na nitakujaribu kwa kwa furaha. Kwa hiyo furahia.” Lakini tazama, huu nao ulikuwa ni upepo wa muda.
2 O smehu sem rekel: » To je zmešano.« O veselju: »Kaj to počne?«
Nikasema juu ya kicheko, “Ni wazimu,” na kuhusu furaha, “Yafaa nini?”
3 V svojem srcu sem iskal, da se izročim vinu in vendar sem seznanjal svoje srce z modrostjo in se poprijel neumnosti, dokler ne bi videl, kaj je bilo to dobro za človeške sinove, kar naj bi storili pod nebom vse dni svojega življenja.
Nikajipeleleza moyoni mwangu katika jinsi ya kutimiza hamu yangu kwa mvinyo. Nikaruhusu akili yangu iongozwe na hekima ingawa bado nilikuwa nikishikilia ujinga. Nilitaka kutafuta jambo lililo jema kwa wanadamu kufanya chini ya mbingu wakati wa siku za maisha yao.
4 Naredil sem si velika dela. Zgradil sem si hiše, si zasadil vinograde,
Nilitimiza mambo makubwa. Nilijenga nyumba kwa ajili yangu na kupanda miti ya mizabibu.
5 naredil sem si vrtove in sadovnjake in vanje sem zasadil vse vrste sadnih dreves.
Nilitengeneza bustani na viwanja; nikapanda aina zote za matunda ndani yake.
6 Naredil sem si vodne tolmune, da z njimi namakam gozd, ki rojeva drevesa.
Nikatengeneza mabwawa ya maji ili kumwagilia msitu mahali miti ilikuwa imepandwa.
7 Pridobil sem si služabnike in dekle in imel služabnike rojene v moji hiši. Prav tako sem imel veliko posesti z veliko in malo živine, povrh vsega kar je bilo v Jeruzalemu pred menoj.
Nilinunua watumwa wa kiume na wa kiume; nilikuwa na watumwa waliozaliwa katika ikulu yangu. Pia nikawa na makundi makubwa na wanyama wa kufugwa, zaidi ya mfalme yeyote aliyetawala kabla yangu katika Yerusalemu.
8 Zbral sem si tudi srebro in zlato in izvoljen zaklad od kraljev in od provinc. Dobil sem si pevce in pevke in radosti človeških sinov, kakor glasbene instrumente in to od vseh vrst.
Pia nilijikusanyia fedha na dhahabu, hazina ya wafalme na majimbo. Nikapata waimbaji wanaume na wanawake kwa ajili yangu, na kufurahia kutoka kwa wana wa wanadamu, masulia na wanawake.
9 Tako sem bil velik in narasel bolj kakor vsi, ki so bili pred menoj v Jeruzalemu. Tudi moja modrost je ostala z menoj.
Hivyo nikawa mkuu na tajiri kuliko wote waliokuwa Yerusalemu kabla yangu, na hekima yangu ilikuwa ndani yangu.
10 Karkoli so si moje oči želele, jim tega nisem preprečil, svojega srca nisem zadržal pred nobeno radostjo, kajti moje srce se je veselilo v vsem mojem trudu in to je bil moj delež vsega mojega truda.
Lolote ambalo macho yangu yalikitamani sikuyazuia. Sikuuzuia moyo wangu katika furaha yeyote, kwa sababu moyo wangu ulifurahi katika katka kazi yangu zote na furaha ilikuwa ni tunu kwa kazi zangu zote.
11 Potem sem pogledal na vsa dela, ki sta jih moji roki izvršili in na trud, ki sem se ga trudil delati. Glej, vse je bilo ničevost in draženje duha in ni bilo koristi pod soncem.
Kisha nikatazama matendo yote ambayo mikono yangu iliyokwisha kuyatimiliza na juu ya kazi niliyokuwa nimeifanya, lakini tena, kila kitu kilikuwa ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo. Hakukuwa na faida chini ya jua.
12 Obrnil sem se, da bi gledal modrost, norost in neumnost, kajti kaj lahko stori človek, ki prihaja za kraljem? Celó to, kar je bilo že narejeno.
Kisha nikageuka kuipambanua hekima, na upumbavu na ujinga. Kwa maana ni kitu gani mfalme anayekuja baada yangu afanye, ambacho hakijafanyika?
13 Potem sem videl, da modrost prekaša neumnost, kolikor svetloba prekaša temo.
Kisha nikaanza kuelewa kwamba hekima ina faida kuliko upumbavu, kama nuru ilivyo bora kuliko giza.
14 Oči modrega človeka so v njegovi glavi, toda bedak hodi v temi. Zaznal pa sem tudi, da se vsem tem dogaja en dogodek.
Mwenye hekima hutumia macho yake katika kichwa chake kuona mahali anakoenda, lakini mpumbavu hutembea katika giza, ingawa ninafahamu kuwa mwisho wa aina moja umetunzwa kwa kila mmoja.
15 Potem sem v svojem srcu rekel: »Kakor se dogaja bedaku, tako se dogaja celo meni in zakaj sem bil potem modrejši?« Nato sem rekel v svojem srcu, da je tudi to ničevost.
Kisha nikasema moyoni mwangu, “Kinachotokea kwa mpumbavu, ndicho kitachotokea na kwangu. Hivyo kuna utofauti gani kama mimi ni mwenye hekima sana?” Nikahitimisha moyoni mwangu, “Huu pia ni mvuke tu.”
16 Kajti na veke ni spomina na modrega bolj kakor na bedaka. Glede na to, da kar je sedaj, bo v dneh, ki bodo prišli, vse pozabljeno. In kako umira moder človek? Kakor bedak.
Kwa kuwa mwenye hekima, kama mpumbavu, hakumbukwi kwa muda mrefu. Katika siku zijazo, kila kitu kitakuwa kimesahauliwa. Mwenye hekima hufa kama navyokufa mpumbavu.
17 Zato sem zasovražil življenje, ker mi je delo, ki je opravljeno pod soncem, mučno, kajti vse je ničevost in draženje duha.
Hivyo nikauchukia uhai kwa sababu kazi zote zilizofanyika chini ya jua zilikuwa mbaya kwangu. Hii ni kwa sababu kila kitu ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
18 Da, zasovražil sem ves svoj trud, ki sem se ga lotil pod soncem, ker naj bi ga zapustil človeku, ki bo za menoj.
Nikachukia yote niliyoyatimiza, ambayo nilikuwa nimekwisha yafanya chini ya jua kwa sababu ni lazima niyaache kwa mtu anaye kuja baada yangu.
19 Kdo ve, ali bo moder človek ali bedak? Vendar bo imel oblast nad vsem mojim trudom, v čemer sem se trudil in v čemer sem se pokazal modrega pod soncem. Tudi to je ničevost.
Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Ila atakuwa msimamizi juu ya kila kitu chini ya jua ambayo kazi yangu na hekima yangu imeyajenga. Huu pia ni mvuke.
20 Zato sem odšel naokrog, da svojemu srcu povzročim, da obupuje od vsega truda, ki sem ga prijel pod soncem.
Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi zote nilizozifanya chini ya jua.
21 Kajti je človek, čigar trud je v modrosti, v spoznanju in v nepristranskosti, vendar bo človeku, ki se ni trudil s tem, to zapustil za njegov delež. Tudi to je ničevost in veliko zlo.
Kwa kuwa kunaweza kuwa na mtu anayefanya kazi kwa hekima, ufahamu, na umahili, lakini ataacha kila kitu alichonacho kwa mtu ambaye hajafanya chochote. Huu nao ni mvuke na hatari kubwa.
22 Kajti kaj ima človek od vsega svojega truda in od draženja svojega srca, v čemer se je trudil pod soncem?
Kwa maana ni faida gani mtu hupata ambaye hufanya kazi kwa juhudi na kujaribu moyoni mwake kutimiza kazi zake chini ya jua?
23 Kajti vsi njegovi dnevi so bridkosti in njegova muka žalost, da, njegovo srce si ponoči ne vzame počitka. Tudi to je ničevost.
Kila siku kazi yake ni maumivu na masikitiko, hivyo wakati wa usiku roho yake haipumziki. Huu pia ni mvuke.
24 Nič ni boljšega za človeka, kakor da naj bi jedel in pil ter da naj bi svojo dušo pripravil uživati dobro v svojem trudu. Tudi to sem videl, da je bilo to iz Božje roke.
Hakuna jambo jema kwa mtu yeyote zaidi ya kula na kunywa na kuridhika na kile kilichochema katika kazi yake. Nikaona kwamba ukweli huu unatoka kutoka mkononi mwa Mungu.
25 Kajti kdo lahko jé ali kdo lahko hiti k temu bolj kakor jaz?
Kwa kuwa ni nani anaweza kula au anaweza kupata furaha yoyote tofauti na Mungu?
26 Kajti Bog daje človeku, ki je dober v njegovem pogledu, modrost, spoznanje in radost, toda grešniku daje muko, da zbira in kopiči, da bi lahko dal tistemu, ki je dober pred Bogom. Tudi to je ničevost in draženje duha.
Kwa kuwa kwa kila anayemfurahisha yeye, Mungu humpa hekimana ufahamu ba furaha. Ingawa, kwa mwenye dhambi humpa kazi ya kukusanya na kutunza ili kwamba ampe mtu anayempendeza Mungu. Huu pia ni sawa na mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.