< Amos 8 >
1 Tako mi je pokazal Gospod Bog in glej, košara poletnega sadja.
Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.
2 Rekel je: »Amos, kaj vidiš?« Rekel sem: »Košaro poletnega sadja.« Potem mi je Gospod rekel: »Konec je prišel nad moje ljudstvo Izrael; ne bom ponovno šel mimo njih.
Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?” Nikajibu, “Kikapu chenye matunda yaliyoiva.” Ndipo Bwana akaniambia, “Wakati umewadia kwa watu wangu Israeli; sitawahurumia zaidi.”
3 Tempeljske pesmi bodo vpitje na ta dan, « govori Gospod Bog. »Na vsakem kraju bo mnogo trupel; metali jih bodo v tišini.
Bwana Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”
4 Poslušajte to, oh vi, ki pogoltnete pomoči potrebnega, celo da revnemu v deželi storite, da propade,
Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji, na kuwaonea maskini wa nchi,
5 rekoč: ›Kdaj bo minil mlaj, da bomo lahko prodajali žito? In šabat, da bomo lahko odpremili pšenico, naredili škaf majhen in šekel velik in s prevaro izkrivili tehtnice?
mkisema, “Ni lini Mwezi Mwandamo utakapopita ili tupate kuuza nafaka, na Sabato itakwisha lini ili tuweze kuuza ngano?” Mkipunguza vipimo, na kuongeza bei, na kudanganya kwa mizani zisizo sawa,
6 Da lahko ubogega kupimo za srebro in pomoči potrebnega za par čevljev, da, in prodamo pleve od pšenice?‹«
mkiwanunua maskini kwa fedha, na wahitaji kwa jozi ya viatu, na mkiuza hata takataka za ngano pamoja na ngano.
7 Gospod je prisegel pri Jakobovi odličnosti: »Zagotovo ne bom nikoli pozabil nobenega izmed njihovih del.
Bwana ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.
8 Mar ne bo zemlja zaradi tega trepetala in vsak človek žaloval, ki prebiva na njej? Vstala bo v celoti kakor poplava, vržena bo ven in potopljena, kakor z egiptovsko poplavo.
“Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili, nao wote waishio ndani mwake hawataomboleza? Nchi yote itainuka kama Naili; itapanda na kushuka kama mto wa Misri.
9 Na tisti dan se bo zgodilo, « govori Gospod Bog, »da bom soncu povzročil, da zaide opoldan in na jasen dan bom zatemnil zemljo.
“Katika siku ile,” asema Bwana Mwenyezi, “Nitalifanya jua litue alasiri na kuifanya dunia iwe giza wakati wa mchana mwangavu.
10 Vaše praznike bom obrnil v žalovanje in vse vaše pesmi v žalostinko in privedel bom vrečevino na vsa ledja in plešavost na vsako glavo in naredil jo bom kakor žalovanje za edinim sinom in njen konec kakor grenek dan.
Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo, na kuimba kwenu kote kuwe kilio. Nitawafanya ninyi nyote mvae nguo ya gunia na kunyoa nywele zenu. Nitaufanya wakati ule uwe kama wa kuombolezea mwana wa pekee, na mwisho wake kama siku ya uchungu.
11 Glejte, pridejo dnevi, « govori Gospod Bog, »da bom v deželo poslal lakoto, ne lakote po kruhu niti žeje po vodi, temveč [lakoto] po poslušanju Gospodovih besed.
“Siku zinakuja,” asema Bwana Mwenyezi, “wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote: si njaa ya chakula wala kiu ya maji, lakini njaa ya kusikia maneno ya Bwana.
12 Tavali bodo od morja do morja in od severa, celo do vzhoda, tekali bodo sem ter tja, da iščejo besedo od Gospoda, pa je ne bodo našli.
Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari na kutangatanga kutoka kaskazini mpaka mashariki, wakitafuta neno la Bwana, lakini hawatalipata.
13 Na tisti dan bodo lepe device in mladeniči slabeli zaradi žeje.
“Katika siku ile “wasichana wazuri na vijana wanaume wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu.
14 Tisti, ki prisegajo pri grehu Samarije in pravijo: ›Tvoj bog, oh Dan, živi; ‹ in: ›Način Beeršébe živi; ‹ celo padli bodo in nikoli več ne bodo ponovno vstali.«
Wale waapao kwa aibu ya Samaria, au kusema, ‘Hakika kama miungu yenu iishivyo, ee Dani,’ au ‘Hakika kama mungu wa Beer-Sheba aishivyo’: wataanguka, wala hawatasimama tena.”