< 2 Korinčanom 1 >

1 Pavel, po Božji volji apostol Jezusa Kristusa, in naš brat Timótej Božji cerkvi, ki je v Korintu, z vsemi svetimi, ki so po vsej Ahaji:
Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho, na watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya.
2 ›Milost bodi vam in mir od Boga, našega Očeta in od Gospoda Jezusa Kristusa.‹
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3 Blagoslovljen bodi Bog, celó Oče našega Gospoda Jezusa Kristusa, Oče usmiljenj in Bog vse tolažbe,
Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.
4 ki nas tolaži v vsaki naši stiski, da bomo sposobni tolažiti te, ki so v kakršnikoli težavi, s tolažbo, s katero smo mi sami potolaženi od Boga.
Yeye hutufariji sisi katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine katika kila taabu kwa faraja hiyohiyo tunayopokea kutoka kwa Mungu.
5 Kajti kakor so Kristusova trpljenja obilna v nas, tako je obilna tudi naša tolažba po Kristusu.
Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye.
6 Če pa smo stiskani, je to za vašo tolažbo in rešitev duš, ki je učinkovita v prestajanju istih trpljenj, ki jih tudi mi prenašamo; ali če smo potolaženi, je to zaradi vaše tolažbe in rešitve duš.
Ikiwa tunapata taabu, basi ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale tunayoteseka sisi.
7 In naše upanje o vas je neomajno, vedoč, da kakor ste udeleženci trpljenj, tako boste postali tudi tolažbe.
Tena, matumaini tuliyo nayo kwa ajili yenu ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki pia faraja yetu.
8 Kajti nočemo, bratje, da bi bili vi nevedni o naši težavi, ki je k nam prišla v Aziji, da smo bili stiskani preko mere, nad močjo, tako zelo, da smo obupali celó nad življenjem.
Ndugu, tunataka kuwajulisheni taabu zilizotupata kule Asia; taabu hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea kuishi.
9 Toda v sebi smo imeli smrtno obsodbo, da ne bi zaupali vase, temveč v Boga, ki obuja mrtve;
Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.
10 ki nas je osvobodil iz tako velike smrti in še osvobaja; v katerega zaupamo, da nas bo še osvobajal.
Yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena,
11 Tudi vi skupaj pomagate z molitvijo za nas, da bi bila lahko zaradi daru, podarjenega nam, s pomočjo mnogih oseb, dana zahvala z naše strani.
ninyi mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa tumepata kutokana na maombi ya watu wengi hivyo, ziwe sababu ya watu wengi zaidi kumshukuru Mungu kwa ajili yetu.
12 Kajti naše veselje je to, pričevanje naše vesti, da smo se v svetu vedli s preprostostjo in pobožno iskrenostjo, ne z meseno modrostjo, temveč z Božjo milostjo in bolj obilno posebej do vas.
Sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu.
13 Kajti ne pišemo vam nobenih drugih stvari, kakor kar berete ali spoznavate; in zaupam, da boste spoznali celó do konca;
Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,
14 kakor ste nas tudi vi deloma spoznali, da smo mi vaše veselje, celó kakor ste tudi vi naše na dan Gospoda Jezusa.
maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari.
15 V tem zaupanju sem bil voljan prej priti k vam, da bi vi lahko imeli dvojno korist;
Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.
16 in mimo vas iti v Makedonijo in iz Makedonije ponovno priti k vam in bi bil od vas pospremljen na svoji poti proti Judeji.
Nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda Yudea.
17 Ko sem bil torej takih misli, ali sem uporabil lahkomiselnost? Ali stvari, ki jih nameravam, nameravam storiti glede na meso, da bo z menoj »da, « »da« in »ne, « »ne«?
Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema “Ndiyo” na “Siyo” papo hapo?
18 Toda kakor je Bog resničen, naša beseda do vas ni bila »da« in »ne.«
Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la “Ndiyo” na “Siyo”.
19 Kajti Božji Sin, Jezus Kristus, ki je bil med vami oznanjen po nas, celó po meni in Silvánu ter Timóteju, ni bil »da« in »ne, « temveč je bil v njem »da.«
Maana Kristo Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa “Ndiyo” na “Siyo”; bali yeye daima ni “Ndiyo” ya Mungu.
20 Kajti vse Božje obljube so v njem »da« in v njem »Amen« v Božjo slavo po nas.
Maana ndani yake ahadi zote za Mungu zimekuwa “Ndiyo”. Kwa sababu hiyo, “Amina” yetu husemwa kwa njia ya Kristo kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
21 Torej tisti, ki nas z vami utrjuje v Kristusu in nas je mazilil, je Bog;
Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu;
22 ki nas je tudi zapečatil in v naša srca dal poroštvo Duha.
ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea.
23 Poleg tega kličem Boga za pričo nad svojo dušo, da doslej še nisem prišel k vam v Korint, da bi vam prizanesel.
Mungu ndiye shahidi wangu—yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni.
24 Ne, ker bi imeli gospostvo nad vašo vero, temveč smo pomočniki vaše radosti; kajti stojite po veri.
Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa ajili ya furaha yenu.

< 2 Korinčanom 1 >