< 2 Kroniška 7 >
1 Torej ko je Salomon molitvi naredil konec, je z neba prišel ogenj in použil žgalno daritev in klavne daritve in Gospodova slava je napolnila hišo.
Sasa Selemani alipokuwa amemaliza kuomba, moto ukaja kutoka mbinguni na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, na utukufu wa Yahwe ukaijaza nyumba.
2 Duhovniki niso mogli vstopiti v Gospodovo hišo, ker je Gospodova slava napolnila Gospodovo hišo.
Makuhani hawakuweza kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, kwa sababu utukufu wake uliijaza nyumba yake.
3 Ko so vsi Izraelovi otroci videli, kako je ogenj prišel dol in Gospodova slava na hišo, so se s svojimi obrazi priklonili do tal na tlak in oboževali ter hvalili Gospoda, rekoč: »Ker je dober, kajti njegovo usmiljenje traja večno.«
Watu wote wa Israeli wakaangalia juu moto uliposhuka chini na utukufu wa Yahwe ulikuwa juu ya nyumba. Wakalala kwa nyuso zao juu ya sakafu ya mawe, wakaabudu, na kutoa shukrani kwa Yahwe. Wakasema, “Kwa maana yeye ni mwema, kwa maana agano lake la kifame ladumu milele.”
4 Potem so kralj in vse ljudstvo darovali klavne daritve pred Gospodom.
Kwa hiyo mfalme na watu wote wakamtolea Yahwe sadaka Yahwe.
5 Kralj Salomon je daroval klavno daritev dvaindvajsetih tisočev volov in sto dvanajst tisočev ovc. Tako sta kralj in vse ljudstvo posvetila Božjo hišo.
Mfalme Selemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu na kondoo 120, 000 na mbuzi. Kwa hiyo mfalme na watu wote wakaiweka wakifu nyumba ya Mungu.
6 Duhovniki so čakali na svoje službe. Tudi Lévijevci z Gospodovimi glasbenimi instrumenti. Izdelal jih je kralj David, da hvali Gospoda, kajti njegovo usmiljenje traja večno. Ko je David hvalil ob njihovem služenju in so duhovniki pred njimi trobili s trobentami, je ves Izrael stal.
Makuhani wakasimama, kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu; Walawi pia pamoja na vyombo vya muziki vya Yahwe, ambavyo mfalme Daudi alivitengeza kwa ajili ya kumpa shukrani Yahwe katika nyimbo, “Kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Makuhani wote wakapiga matarumbeta mbele yao, na Israeli wote wakasimama.
7 Poleg tega je Salomon posvetil sredino dvora, ki je bil pred Gospodovo hišo, kajti tam je daroval žgalne daritve in tolščo mirovnih daritev, ker bronast oltar, ki ga je Salomon naredil, ni zmogel sprejeti žgalnih daritev, jedilnih daritev in tolšče.
Selemani akaitakasa sehemu ya katikati ya kiwanja cha mfalme mbele ya nyumba ya Yahwe. Humo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba ambayo alikuwa ametengeza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na za mafuta.
8 Prav tako je ob tem času Salomon praznik praznoval sedem dni in ves Izrael z njim, zelo velik shod, od vstopa v Hamát do egiptovske reke.
Kwa hiyo Selemani akaitisha sikukuu wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamaoja naye, kusanyiko kubwa, kutoka Lebo Hamathi mpaka kijito cha Misiri.
9 Na osmi dan so naredili slovesen zbor, kajti sedem dni so praznovali posvetitev oltarja in sedem dni so praznovali.
Siku ya nane wakaitisha kusanyiko la makini, kwa maana kwa siku saba walishika kuwekwa wakfu kwa ile madhabahu.
10 Na triindvajseti dan sedmega meseca je ljudstvo poslal proč, v njihove šotore, vesele in razigrane v srcu, zaradi dobrote, ki jo je Gospod pokazal Davidu, Salomonu in njegovemu ljudstvu Izraelu.
Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba, Selemani akawatanya watu kwenda kwenye nyumba zao kwa furaha na mioyo ya shangwe kwa sababu ya wema aliokuwa ameuonesha Yahwe kwa Daudi, Selemani, Israeli, na watu wake.
11 Tako je Salomon končal Gospodovo hišo in kraljevo hišo in vse, kar je prišlo v Salomonovo srce, da naredi v Gospodovi hiši in v svoji lastni hiši, je uspešno izvršil.
Hivyo Selemani akaimaliza nyumba ya Yahwe na nyumba yake mwenyewe. Kila kitu kilichokuja katika moyo wa Selemani kwa ajili ya kukitengeneza katika nyumba ya mfalme na katika nyumba yake mwenyewe, alikitimiza kwa mafanikio.
12 Gospod se je Salomonu prikazal ponoči in mu rekel: »Slišal sem tvojo molitev in ta kraj sem izbral zase, za hišo klavne daritve.
Yahwe akamtokea Selemani usiku na kusema kwake, “Nimesikia maombi yako, na nimeichagua sehemu hii kwa ajili yangu mwenyewe kama nyumba ya dhabihu.
13 Če zaprem nebo, da ne bo dežja ali če zapovem kobilicam, da požrejo deželo ali če med svoje ljudstvo pošljem kužno bolezen,
Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua, au kama nitaamuru nzige waimeze nchi, au kama nitatuma magonjwa kati kati ya watu wangu,
14 če se bo moje ljudstvo, ki je imenovano po mojem imenu, ponižalo, molilo, iskalo moj obraz in se odvrnilo od svojih zlobnih poti, takrat bom prisluhnil iz nebes, odpustil njihov greh in ozdravil njihovo deželo.
kisha watu wangu, ambao wameitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, kuomba, kuutafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya, nitasikia kutoka mbinguni, kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.
15 Sedaj bodo moje oči odprte in moja ušesa pozorna na molitev, ki je narejena na tem kraju.
Sasa macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza maombi yanayofanywa katika sehemu hii.
16 Kajti sedaj sem izbral in posvetil to hišo, da bo moje ime lahko tam na veke. Moje oči in moje srce bodo neprestano tam.
Kwa maana sasa nimeichagua na kauitakasa nyumba hii ili kwamba jina langu lipate kuwa humo milele. Masikio yangu na moyo wangu vitakuwako kila siku.
17 Kar se tiče tebe, če hočeš hoditi pred menoj, kakor je hodil tvoj oče David in storiti glede na vse, kar sem ti zapovedal in boš obeleževal moje zakone in moje sodbe,
Kwako wewe, kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea, ukitii yote nilyokuamuru na kuzishika sheria zangu na maagizo yangu,
18 tedaj bom utrdil prestol tvojega kraljestva, glede na to, kakor sem se zavezal s tvojim očetom Davidom, rekoč: ›Ne bo ti manjkal mož, da bi bil vladar v Izraelu.‹
basi nitakithibitisha kiti cha enzi cha ufalme wako, kama nilivyosema katika agano na Daudi baba yako, niliposema, 'Mzaliwa wako hatashindwa kamwe kuwa mtawala katika Israeli.'
19 Toda če se odvrnete in zapustite moje zakone in moje zapovedi, ki sem jih postavil pred vas in boste šli ter služili drugim bogovom in jih oboževali,
Lakin ukigeuka, na kuzisahau sheria zangu na amri amabzo nimeweka mbele yenu, na kama utaenda kuabudu miungu wengine na kuwasujudia,
20 potem jih bom s koreninami izpulil iz svoje dežele, ki sem jim jo dal in to hišo, ki sem jo posvetil za svoje ime, bom vrgel iz svojega pogleda in jo naredil, da bo pregovor in tarča posmeha med vsemi narodi.
basi nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa. Nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele zangu, na nitaifanya kuwa methali na utani miongini mwa watu wote.
21 Ta hiša, ki je visoka, bo osuplost vsakemu, ki gre mimo nje, tako da bo rekel: ›Zakaj je Gospod tako storil tej deželi in tej hiši?‹
Ingawa hekalu hili hili zuri sana kwa sasa, kila mtu apitaye karibu yake atashangazwa na ataguna. Watauliza, 'Kwa nini Yahwe ameifanyia hivi nchi hii na nyumba hii',
22 To bo odgovor: ›Ker so zapustili Gospoda, Boga svojih očetov, ki jih je privedel ven iz egiptovske dežele in se prijeli drugih bogov, jih oboževali in jim služili. Zato je nanje privedel vse to zlo.‹
wengine watajibu, 'Kwa sababu walimsahau Yahwe, Mungu wao, ambaye alikuwa amewatoa babu zao nje ya nchi ya Misiri, na wakashikamana na miungu wengine na kuwainamia chini na kuwaabudu. Hii ndiyo maana Yahwe ameleta majanga haya yote juu yao”