< 2 Kroniška 21 >

1 Torej Józafat je zaspal s svojimi očeti in bil s svojimi očeti pokopan v Davidovem mestu. Namesto njega je zakraljeval njegov sin Jehorám.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 Ta je imel brate, Józafatove sinove: Azarjája, Jehiéla, Zeharjája, Azarjája, Mihaela in Šefatjája. Vsi ti so bili sinovi Izraelovega kralja Józafata.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 Njihov oče jim je dal veliko daril iz srebra in iz zlata in dragocenih stvari, z utrjenimi mesti v Judu, toda kraljestvo je dal Jehorámu, ker je bil prvorojenec.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 Torej ko je bil Jehorám dvignjen h kraljestvu svojega očeta, se je okrepil in vse svoje brate usmrtil z mečem in tudi številne izmed Izraelovih princev.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Jehorám je bil star dvaintrideset let, ko je začel kraljevati in v Jeruzalemu je kraljeval osem let.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 Hodil je po poti Izraelovih kraljev, podobno kakor je storila Ahábova hiša, kajti za ženo je imel Ahábovo hčer. Počel je to, kar je bilo zlo v Gospodovih očeh.
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 Vendar Gospod ni hotel uničiti Davidove hiše zaradi zaveze, ki jo je sklenil z Davidom in kakor je obljubil, da da luč njemu in njegovim sinovom na veke.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 V njegovih dneh so se Edómci spuntali izpod Judovega gospostva in si postavili kralja.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 Potem je Jehorám s svojimi princi odšel naprej in vsi njegovi bojni vozovi z njim. Ponoči je vstal in udaril Edomce, ki so obkolili njega in stotnike bojnih vozov.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 Tako so se Edómci spuntali izpod Judove roke do današnjega dne. Isti čas se je tudi Libna spuntala izpod njegove roke, ker je zapustil Gospoda, Boga svojih očetov.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 Poleg tega je postavil visoke kraje po Judovih gorah in prebivalcem Jeruzalema storil, da zagrešijo prešuštvovanje in k temu zapeljal Juda.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 In k njemu je prišlo pisanje preroka Elija, rekoč: ›Tako govori Gospod, Bog tvojega očeta Davida: ›Ker nisi hodil po poteh svojega očeta Józafata niti po poteh Judovega kralja Asája,
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 temveč si hodil po poti Izraelovih kraljev in si pripravil Juda in prebivalce Jeruzalema, da se vlačugajo, podobno vlačugarstvom Ahábove hiše in si tudi umoril svoje brate od hiše svojega očeta, ki so bili boljši kakor ti sam.
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 Glej, z veliko nadlogo bo Gospod udaril tvoje ljudstvo, tvoje otroke, tvoje žene in vse tvoje dobrine,
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 ti pa boš imel veliko slabost z boleznijo svoje notranjosti, dokler tvoja notranjost ne zleze ven zaradi razloga bolezni dan za dnem.«
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 Poleg tega je Gospod zoper Jehoráma razvnel duha Filistejcev in Arabcev, ki so bili blizu Etiopijcev.
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 Ti so prišli gor v Juda in vdrli vanj in odnesli vse imetje, ki je bilo najdeno v kraljevi hiši in tudi njegove sinove in njegove žene, tako da mu ni ostal sin razen Joaháza, najmlajšega izmed njegovih sinov.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 Po vsem tem ga je Gospod udaril v njegovi notranjosti z neozdravljivo boleznijo.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 Pripetilo se je tekom časa, po koncu dveh let, da je njegova notranjost zlezla ven zaradi razloga njegove slabosti. Tako je umrl od hudih bolezni. Njegovo ljudstvo zanj ni naredilo nobenega sežiga [dišav], podobnega sežigu njegovim očetom.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 Dvaintrideset let je bil star, ko je začel kraljevati in v Jeruzalemu je kraljeval osem let in odšel, brez da bi ga želeli. Vendar so ga pokopali v Davidovem mestu, toda ne v kraljevih mavzolejih.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.

< 2 Kroniška 21 >