< 2 Kroniška 18 >

1 Torej Józafat je imel bogastev in časti v obilju in sklenil svaštvo z Ahábom.
Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.
2 Po nekaj letih je odšel dol k Ahábu v Samarijo. Aháb je zanj in za ljudstvo, ki ga je imel s seboj, v obilju zaklal ovce in vole in pregovoril ga je, da gre z njim gor v Ramót Gileád.
Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.
3 Izraelov kralj Aháb je rekel Judovemu kralju Józafatu: »Hočeš iti z menoj v Ramót Gileád?« Ta mu je odgovoril: »Jaz sem, kakor si ti in moje ljudstvo kakor tvoje ljudstvo, in mi bomo s teboj v vojni.«
Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”
4 Józafat je Izraelovemu kralju rekel: »Poizvedi, prosim te, danes pri Gospodovi besedi.«
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”
5 Zato je Izraelov kralj izmed prerokov skupaj zbral štiristo mož in jim rekel: »Ali naj gremo v Ramót Gileád, da se bojujemo ali naj [to] opustim?« Rekli so: »Pojdi gor, kajti Bog ga bo izročil v kraljevo roko.«
Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”
6 Toda Józafat je rekel: » Ali tukaj poleg ni Gospodovega preroka, da bi lahko poizvedeli od njega?
Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”
7 Izraelov kralj je Józafatu rekel: » Je še en mož, pri katerem bi lahko povprašali Gospoda, toda jaz ga sovražim, kajti nikoli mi ne prerokuje dobro, temveč vedno hudo. Ta isti je Jimlájev sin Miha.« Józafat je rekel: »Naj kralj ne govori tako.«
Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
8 Izraelov kralj je dal poklicati enega izmed svojih častnikov in rekel: »Pojdi hitro po Jimlájevega sina Miha.«
Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”
9 Izraelov kralj in Judov kralj Józafat sta sedela, vsak izmed njiju na svojem prestolu, oblečena v njuna svečana oblačila in sedela na odprtem kraju pri vhodu velikih vrat Samarije, vsi preroki pa so prerokovali pred njima.
Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.
10 Kenaanájev sin Cidkijá si je naredil rogove iz železa in rekel: »Tako govori Gospod: ›S temi boš porinil Sirijo, dokler ne bodo použiti.
Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”
11 Vsi preroki so prerokovali tako, rekoč: »Pojdi gor v Ramót Gileád in uspevaj, kajti Gospod ga bo izročil v kraljevo roko.«
Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
12 Poslanec, ki je odšel, da pokliče Miha, mu je spregovoril, rekoč: »Glej, besede prerokov soglasno kralju razglašajo dobro. Naj bo torej tvoja beseda, prosim te, kakor ena izmed njihovih in govori dobro.«
Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”
13 Miha je rekel: » Kakor živi Gospod, kar reče moj Bog, to bom govoril.«
Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”
14 Ko je prišel h kralju, mu je kralj rekel: »Miha, ali naj gremo gor v Ramót Gileád, da se bojujemo ali naj [to] opustim?« Ta je rekel: »Pojdite gor in uspevajte in izročeni bodo v vašo roko.«
Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”
15 Kralj mu je rekel: »Kolikokrat te bom zaklinjal, da mi ne poveš ničesar, razen resnice, v Gospodovem imenu?«
Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?
16 Potem je rekel: »Videl sem vsega Izraela razkropljenega po gorah kakor ovce, ki nimajo pastirja in Gospod je rekel: ›Ti nimajo gospodarja, naj se torej vrnejo v miru, vsak mož k svoji hiši.‹«
Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”
17 Izraelov kralj je Józafatu rekel: »Ali ti nisem rekel, da mi ne bo prerokoval dobro, temveč zlo?«
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?
18 Ponovno je rekel: »Zato poslušajte besedo od Gospoda: ›Videl sem Gospoda sedeti na svojem prestolu in vso nebeško vojsko stati na njegovi desni roki in na njegovi levi.‹
Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.
19 Gospod je rekel: ›Kdo bo premamil Izraelovega kralj Ahába, da gre lahko gor in pade pri Ramót Gileádu?‹ Eden je odgovoril na ta način, drugi je odgovoril na ta način.
Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.
20 Tedaj je šel naprej duh in obstal pred Gospodom ter rekel: ›Jaz ga bom premamil.‹ Gospod mu je rekel: ›S čim?‹
Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'
21 Rekel je: ›Šel bom ven in bom lažniv duh v ustih vseh njegovih prerokov.‹ In Gospod je rekel: ›Ti ga boš premamil in ti ga boš tudi pregovoril. Pojdi ven in stôri tako.‹
Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'
22 Zdaj torej glejte, Gospod je položil lažnivega duha v usta teh tvojih prerokov in Gospod je zoper tebe govoril zlo.«
Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”
23 Potem je Kenaanájev sin Cidkijá prišel bliže in udaril Miha po licu ter rekel: »Katero pot je odšel Gospodov duh od mene, da govori tebi?«
Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”
24 Miha je rekel: »Glej, videl boš ta dan, ko boš šel v notranjo sobo, da se skriješ.«
Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”
25 Potem je Izraelov kralj rekel: »Vzemite Miha in ga odvedite nazaj k Amónu, voditelju mesta in h kraljevemu sinu Joášu
Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
26 ter recite: ›Tako govori kralj: ›Tega pajdaša postavita v ječo in ga hranita s kruhom stiske in z vodo stiske, dokler se ne vrnem v miru.‹«
Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”
27 Miha je rekel: »Če se zagotovo vrneš v miru, potem po meni ni govoril Gospod.« Rekel je [še]: »Prisluhnite vsa ve ljudstva.«
Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”
28 Tako sta Izraelov kralj in Judov kralj Józafat odšla gor do Ramót Gileáda.
Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.
29 Izraelov kralj je Józafatu rekel: »Preoblekel se bom in šel v bitko, toda ti si nadeni svoja svečana oblačila.« Tako se je Izraelov kralj preoblekel in odšla sta na bitko.
Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.
30 Torej sirski kralj je zapovedal poveljnikom bojnih vozov, ki so bili z njim, rekoč: »Ne borite se z malim ali velikim, razen samo z Izraelovim kraljem.«
Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”
31 Pripetilo se je, ko so poveljniki bojnih vozov zagledali Józafata, da so rekli: »Ta je Izraelov kralj.« Zato so ga obdali, da se bojujejo, toda Józafat je zavpil in Gospod mu je pomagal in Bog jih je spodbodel, da odidejo od njega.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.
32 Kajti pripetilo se je, da ko so poveljniki bojnih vozov zaznali, da to ni bil Izraelov kralj, so se ponovno obrnili nazaj od zasledovanja [za] njim.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.
33 Nek mož pa je preprosto napel lok in Izraelovega kralja zadel med člene prsnega oklepa. Zato je vozniku svojega bojnega voza rekel: »Obrni svojo roko, da me lahko odvedeš iz vojske, kajti ranjen sem.«
Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”
34 Bitka je ta dan narasla, vendar je Izraelov kralj sam stal pokonci na svojem bojnem vozu zoper Sirce do večera, okoli časa zahajanja sonca pa je umrl.
Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.

< 2 Kroniška 18 >