< 1 Samuel 25 >
1 Samuel je umrl in vsi Izraelci so se zbrali skupaj, ga objokovali in ga pokopali v njegovi hiši v Rami. In David je vstal ter odšel dol k Paránski divjini.
Basi Samweli akafa, nao Israeli wote wakakusanyika na kumwombolezea; wakamzika nyumbani kwake huko Rama. Kisha Daudi akateremka kwenye Jangwa la Maoni.
2 Tam je bil mož v Maónu, katerega posesti so bile v Karmelu. Mož je bil zelo velik in imel je tri tisoč ovc in tisoč koz, in svoje ovce je strigel v Karmelu.
Mtu mmoja huko Maoni, aliyekuwa na makao huko Karmeli, alikuwa tajiri sana. Alikuwa na mbuzi elfu moja na kondoo elfu tatu, aliokuwa akiwakata manyoya huko Karmeli.
3 Torej moževo ime je bilo Nabál in ime njegove žene Abigájila. Bila je ženska dobrega razumevanja in krasnega obličja, toda mož je bil skopušen in hudoben v svojih dejanjih. Bil je iz Kalébove hiše.
Jina la mtu huyo lilikuwa Nabali, naye mkewe aliitwa Abigaili. Alikuwa mwanamke mwenye busara na mzuri wa sura, lakini mumewe, ambaye alikuwa wa ukoo wa Kalebu, alikuwa mwenye hasira na mchoyo katika utendaji wake.
4 David je v divjini slišal, da je Nabál strigel svoje ovce.
Daudi alipokuwa huko jangwani, akasikia kuwa Nabali alikuwa anakata kondoo manyoya.
5 David je poslal ven deset mladeničev in David je mladeničem rekel: »Povzpnite se gor do Karmela in pojdite k Nabálu ter ga pozdravite v mojem imenu.
Basi akatuma vijana kumi na kuwaambia, “Pandeni kwa Nabali huko Karmeli, mkamsalimie kwa jina langu.
6 Tako boste rekli njemu, ki živi v uspevanju: ›Mir bodi tako tebi in mir bodi tvoji hiši in mir bodi vsemu, kar imaš.
Mwambieni: ‘Amani iwe kwako! Amani iwe kwako pamoja na wa nyumbani mwako! Pia amani iwe pamoja na vyote ulivyo navyo!
7 Sedaj sem slišal, da si imel strižce. Torej tvoji pastirji, ki so bili z nami, jih nismo poškodovali niti jim ni ničesar zmanjkalo, vse dokler so bili v Karmelu.
“‘Nasikia kuwa huu ni wakati wa kukata kondoo manyoya. Wachunga mifugo wako walipokuwa pamoja nasi, hatukuwatendea mabaya na wakati wote waliokuwa huko Karmeli hakuna chochote chao kilipotea.
8 Vprašaj svoje mladeniče in ti bodo pokazali. Zato naj tvoji mladeniči najdejo naklonjenost v tvojih očeh, kajti prišli smo na dober dan. Daj, prosim te, karkoli pride k tvoji roki, svojim služabnikom in svojemu sinu Davidu.‹«
Waulize watumishi wako nao watakuambia. Kwa hiyo uwatendee wema vijana wangu, kwani tumekuja wakati wa furaha. Tafadhali wape watumishi wako na mwanao Daudi chochote kitakachokuja mkononi mwako kwa ajili yao.’”
9 Ko so Davidovi mladeniči prišli, so v Davidovem imenu govorili Nabálu glede na vse te besede in prenehali.
Watu wa Daudi walipofika wakampa Nabali ujumbe huu kwa jina la Daudi. Kisha wakangojea.
10 Nabál je odgovoril Davidovim služabnikom in rekel: »Kdo je David? Kdo je Jesejev sin? Današnje dni je mnogo služabnikov, ki se odtrgajo, vsak mož od svojega gospodarja.
Nabali akawajibu watumishi wa Daudi, “Huyu Daudi ni nani? Huyu mwana wa Yese ni nani? Watumishi wengi wanakimbia kutoka kwa bwana zao siku hizi.
11 Mar naj torej vzamem svoj kruh, svojo vodo in svoje meso, ki sem ga zaklal za svoje strižce in ga dam možem, za katere ne vem, od kod so?«
Kwa nini nichukue mkate wangu, maji yangu na nyama niliyochinja kwa ajili ya wakata manyoya wangu, na kuwapa watu ambao hakuna anayejua wanakotoka?”
12 Tako so Davidovi mladeniči obrnili svojo pot in ponovno odšli in prišli ter mu povedali vse te besede.
Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno.
13 David je svojim možem rekel: »Opašite vsak mož svoj meč.« Opasali so vsak mož svoj meč in tudi David je opasal svoj meč in tam se je dvignilo za Davidom okoli štiristo mož. Dvesto pa jih je ostalo pri stvareh.
Daudi akawaambia watu wake, “Jifungeni panga zenu!” Basi wakajifunga panga zao, naye Daudi akajifunga upanga wake. Watu kama mia nne hivi wakapanda pamoja na Daudi, na watu mia mbili wakabaki na vifaa.
14 Toda eden izmed mladeničev je povedal Nabálovi ženi Abigájili, rekoč: »Glej, David je iz divjine poslal poslance, da pozdravijo našega gospodarja, on pa se jim je posmehoval.
Mmoja wa watumishi akamwambia Abigaili, mkewe Nabali: “Daudi alituma wajumbe kutoka jangwani kumpa bwana wetu salamu zake, lakini akawavurumishia matukano.
15 Toda možje so bili zelo dobri do nas in nismo bili poškodovani niti nismo pogrešali nobene stvari, dokler smo bili seznanjeni z njimi, ko smo bili na poljih.
Hata hivyo watu hawa walikuwa wema sana kwetu. Hawakututendea mabaya, na wakati wote tulipokuwa nje huko mashambani karibu nao, hatukupotewa na kitu chochote.
16 Bili so nam zid, tako podnevi kakor ponoči, ves čas smo bili z njimi, čuvajoč ovce.
Usiku na mchana walikuwa ukuta wakituzunguka wakati wote tulipokuwa tukichunga kondoo zetu karibu nao.
17 Zdaj torej vedi in preudari, kaj boš storila, kajti zlo je določeno zoper našega gospodarja in zoper vso njegovo družino, kajti on je tak Beliálov sin, da človek ne more govoriti z njim.«
Sasa fikiri juu ya jambo hili na uone unaweza kufanya nini, kwa sababu maafa yanakaribia juu ya bwana wetu na nyumba yake yote. Yeye ni mtu mwovu kiasi kwamba hakuna mtu awezaye kuzungumza naye.”
18 Potem se je Abigájila podvizala in vzela dvesto hlebov, dva vinska meha, pet pripravljenih ovc, pet mer opraženega žita, sto grozdov rozin in dvesto figovih kolačev in jih položila na osle.
Abigaili akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili, viriba viwili vya divai, kondoo watano waliochinjwa vipimo vitano vya bisi, vishada mia moja vya zabibu kavu, mikate mia mbili ya tini, akavipakia juu ya punda.
19 Svojim služabnikom je rekla: »Pojdite naprej pred menoj. Glejte, jaz pridem za vami.« Toda svojemu soprogu Nabálu ni povedala.
Kisha akawaambia watumishi wake, “Tangulieni; mimi nitakuja nyuma yenu.” Lakini hakumwambia Nabali mumewe.
20 To je bilo tako, medtem ko je jahala na oslu, da je prišla dol ob zavetju hriba in glej, David in njegovi možje so prihajali dol, nasproti njej in jih je srečala.
Ikawa alipokuwa amepanda punda wake kwenye bonde la mlima, tazama, Daudi na watu wake wakawa wanateremka kumwelekea, naye akakutana nao.
21 Torej David je rekel: »Zagotovo sem v divjini zaman varoval vse, kar je imel ta pajdaš, tako da ni zmanjkalo ničesar od vsega, kar je pripadalo njemu, on pa mi je povrnil zlo za dobro.
Daudi alikuwa amesema, “Ilikuwa ni kazi bure kuchunga kwangu kote mali za huyu mtu huko jangwani hivi kwamba hakuna chochote chake kilichopotea. Yeye amenilipa baya kwa ajili ya wema.
22 Tako in še več naj tudi Bog stori Davidovim sovražnikom, če do jutranje svetlobe pustim od vsega, kar pripada njemu, karkoli, kar lula proti zidu.«
Bwana na amshughulikie Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai miongoni mwa watu wake wote!”
23 Ko je Abigájila zagledala Davida, je pohitela in razbremenila osla in pred Davidom padla na svoj obraz in se priklonila do tal
Abigaili alipomwona Daudi, akashuka haraka kwenye punda wake, akainama kifudifudi uso wake mpaka nchi mbele ya Daudi.
24 in padla ob njegovih stopalih ter rekla: »Nad menoj, moj gospod, nad menoj naj bo ta krivičnost. Naj tvoja pomočnica, prosim te, govori v tvoji pozornosti in poslušaj besede svoje pomočnice.
Akamwangukia miguuni pake na kusema: “Bwana wangu, kosa hili na liwe juu yangu mwenyewe. Tafadhali mruhusu mtumishi wako aseme nawe. Sikia kile mtumishi wako atakachosema.
25 Naj se moj gospod, prosim te, ne ozira na tega Beliálovega moža, celó Nabála, kajti kakor je njegovo ime, takšen je on; Nabál je njegovo ime in bedaštvo je z njim, toda jaz, tvoja pomočnica, nisem videla mladeničev svojega gospoda, ki si jih poslal.
Bwana wangu na asimjali huyo mtu mwovu Nabali. Yeye anafanana na jina lake; jina lake ni Mpumbavu, nao upumbavu huenda pamoja naye. Lakini kwangu mimi, mtumishi wako, sikuwaona hao watu waliotumwa na bwana wangu.
26 Zdaj torej, moj gospod, kakor živi Gospod in kakor živi tvoja duša, glede na to, da te je Gospod zadržal pred tem, da bi prihajal prelit kri in pred tem, da bi se maščeval s svojo lastno roko, naj bodo torej tvoji sovražniki in tisti, ki iščejo zlo mojemu gospodu, kakor Nabál.
“Basi sasa, kwa kuwa Bwana amekuzuia, wewe bwana wangu, kutokumwaga damu na kutolipiza kisasi kwa mikono yako mwenyewe, hakika kama Bwana aishivyo na kama uishivyo, maadui zako na wote wanaokusudia kumdhuru bwana wangu wawe kama Nabali.
27 Naj bo sedaj ta blagoslov, ki ga je tvoja pomočnica prinesla mojemu gospodu, dan mladeničem, ki sledijo mojemu gospodu.
Nayo zawadi hii ambayo mtumishi wako amemletea bwana wangu, wapewe watu wanaofuatana nawe.
28 Prosim te, odpusti prekršek svoje pomočnice, kajti Gospod bo zagotovo naredil mojemu gospodu zanesljivo hišo, ker moj gospod bojuje Gospodove bitke in vse tvoje dni zlo ni bilo najdeno v tebi.
Tafadhali samehe kosa la mtumishi wako, kwa kuwa Bwana kwa hakika ataifanya imara nyumba ya ufalme kwa bwana wangu, kwa sababu anapigana vita vya Bwana.
29 Vendar se je vzdignil človek, da te preganja in da išče tvojo dušo, toda duša mojega gospoda bo zvezana v svežnju življenja z Gospodom, tvojim Bogom. Duše tvojih sovražnikov, njih bo zalučal ven kakor iz srede prače.
Hata ingawa yuko mtu anayekufuatia kuuondoa uhai wako, usiruhusu baya lolote kuonekana kwako siku zote za maisha yako, uhai wa bwana wangu utafungwa salama kwenye furushi la walio hai na Bwana Mungu wako. Lakini uhai wa adui zako atavurumishwa kama vile jiwe kutoka kwenye kombeo.
30 In zgodilo se bo, ko bo Gospod storil mojemu gospodu glede na vse dobro, kar je govoril glede tebe in te določil vladarja nad Izraelom,
Bwana atakapokuwa ameshamtendea bwana wangu kila kitu chema alichoahidi kumhusu yeye na kumweka kuwa kiongozi wa Israeli,
31 da to ne bo žalost tebi niti prizadeto srce mojemu gospodu ali da si brez vzroka prelil kri ali da se je moj gospod sam maščeval, temveč ko bo Gospod dobro postopal z mojim gospodom, takrat se spomni svoje pomočnice.«
bwana wangu hatakuwa na dhamiri inayolemewa na mzigo kwa kumwaga damu kusiko na sababu, au kujilipizia kisasi yeye mwenyewe. Bwana atakapomletea bwana wangu mafanikio, umkumbuke mtumishi wako.”
32 David je rekel Abigájili: »Blagoslovljen bodi Gospod, Izraelov Bog, ki te je ta dan poslal, da me srečaš
Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli aliyekutuma kunilaki leo.
33 in blagoslovljen bodi tvoj nasvet in blagoslovljena bodi ti, ki si me ta dan zadržala pred prihajanjem, da prelijem kri in pred maščevanjem sebe s svojo lastno roko.
Ubarikiwe kwa uamuzi wako mzuri na kwa kunizuia nisimwage damu leo na kulipiza kisasi kwa mikono yangu.
34 Kajti zagotovo, kakor Gospod, Izraelov Bog, živi, ki me je zadržal pred tem, da ti škodujem, razen če ne bi pohitela in prišla, da me srečaš, zagotovo ne bi do jutranje svetlobe Nabálu ostalo karkoli, kar lula proti zidu.«
La sivyo, hakika kama Bwana, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye amenizuia nisiwadhuru, kama usingekuja haraka kunilaki, hakuna hata mwanaume mmoja wa Nabali angeachwa hai kufikia mapambazuko.”
35 Tako je David iz njene roke prejel to, kar mu je prinesla in ji rekel: »Pojdi gor v miru k svoji hiši. Glej, prisluhnil sem tvojemu glasu in sprejel tvojo osebo.«
Ndipo Daudi akapokea kutoka mkononi mwake kile alichokuwa amemletea, naye akasema, “Nenda nyumbani kwako kwa amani; nimesikia maneno yako na kukujalia ombi lako.”
36 Abigájila je prišla k Nabálu in glej, v svoji hiši je imel zabavo, kakor kraljevo zabavo. Nabálovo srce je bilo veselo znotraj njega, kajti bil je zelo pijan. Zato mu ni ničesar povedala, manj ali več, do jutranje svetlobe.
Abigaili alipokwenda kwa Nabali, alikuwa ndani ya nyumba yake akifanya karamu kama ile ya mfalme. Naye alikuwa ana furaha nyingi, akiwa amelewa sana. Kwa hiyo Abigaili hakumwambia mumewe kitu chochote mpaka asubuhi yake.
37 Toda zjutraj se je pripetilo, ko je vino odšlo iz Nabála in mu je njegova žena povedala te stvari, da je njegovo srce znotraj njega umrlo in je postal kakor kamen.
Basi asubuhi, Nabali alipokuwa amelevuka, mkewe akamwambia mambo yote, nao moyo wake ukazimia, akawa kama jiwe.
38 Pripetilo se je okoli deset dni kasneje, da je Gospod udaril Nabála, da je umrl.
Baada ya siku kumi, Bwana akampiga Nabali, naye akafa.
39 Ko je David slišal, da je bil Nabál mrtev, je rekel: »Blagoslovljen bodi Gospod, ki je zagovarjal zadevo moje graje pred Nabálovo roko in je svojega služabnika obvaroval pred zlom, kajti Gospod je Nabálovo zlobnost povrnil na njegovo lastno glavo.« In David je poslal in se posvetoval z Abigájilo, da si jo vzame k sebi za ženo.
Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, akasema, “Ahimidiwe Bwana, ambaye amenitetea shauri langu dhidi ya Nabali kwa kuwa alinitendea kwa dharau. Amemzuia mtumishi wake asitende mabaya na Bwana ameuleta ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe.” Kisha Daudi akatuma ujumbe kwa Abigaili kumwomba awe mke wake.
40 Ko so Davidovi služabniki prišli k Abigájili v Karmel, so ji spregovorili, rekoč: »David nas je poslal k tebi, da te vzame k sebi za ženo.«
Watumishi wa Daudi wakaenda mpaka Karmeli na kumwambia Abigaili, wakisema, “Daudi ametutuma kwako kukuchukua uwe mkewe.”
41 Vzdignila se je, se priklonila na svoj obraz k zemlji in rekla: »Glej, naj bo tvoja pomočnica služabnica, da umiva stopala služabnikov mojega gospoda.«
Akainama chini uso wake mpaka ardhini, akasema, “Mjakazi wako yuko hapa, tayari kuwatumikia na kuwanawisha miguu watumishi wa bwana wangu.”
42 Abigájila je pohitela, vstala ter jahala na oslu s petimi svojimi gospodičnami, ki so šle za njo in odšla je za Davidovimi poslanci ter postala njegova žena.
Abigaili akainuka kwa haraka, akapanda punda wake, akihudumiwa na wajakazi wake watano, akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, naye akawa mkewe.
43 David je vzel tudi Ahinóam iz Jezreéla in obe izmed njiju sta bili njegovi ženi.
Pia Daudi alikuwa amemwoa Ahinoamu wa Yezreeli, wote wawili wakawa wake zake.
44 Toda Savel je dal svojo hčer Mihálo, Davidovo ženo, Paltíju, Lajiševemu sinu, ki je bil iz Galíma.
Lakini Sauli alikuwa amemwoza Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi, kwa Palti mwana wa Laishi, kutoka Galimu.