< 1 Kroniška 15 >

1 David si je v Davidovem mestu zgradil hiše in pripravil kraj za Božjo skrinjo in zanjo razpel šotor.
Daudi akajingea nyumba zake katika mji wa Daudi. Akaanda sehemu kwa ajili ya sanduku la Mungu na hema lake.
2 Potem je David rekel: »Božje skrinje ne bi smel nositi nihče razen Lévijevcev, kajti njih je Gospod izbral, da nosijo Božjo skrinjo in da mu služijo na veke.«
Kisha Daudi akasema, “Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu, kwa kuwa walichaguliwa na Yahweh kubeba sanduku la Yahweh, na kumtumikia milele.”
3 David je skupaj zbral ves Izrael v Jeruzalemu, da prinese gor Gospodovo skrinjo na kraj, ki ga je pripravil zanjo.
Kisha Daudi akakusanya Israeli yote Yerusalemu, kuleta sanduku la Yahweh sehemu aliyo iandaa.
4 David je zbral Aronove otroke in Lévijevce.
Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.
5 Izmed Kehátovih sinov vodja Uriéla in sto dvajset njegovih bratov;
Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120.
6 izmed Meraríjevih sinov vodja Asajája in dvesto dvajset njegovih bratov;
Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220.
7 izmed Geršómovih sinov vodja Joéla in sto trideset njegovih bratov;
Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130.
8 izmed Elicafánovih sinov vodja Šemajá in dvesto njegovih bratov;
Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200.
9 izmed Hebrónovih sinov vodja Eliéla in osemdeset njegovih bratov;
Kutoka uzao wa Hebroni, palikuwa na Elieli kiongozi na ndugu zake, wanaume themanini.
10 izmed Uziélovih sinov vodja Aminadába in sto dvanajst njegovih bratov.
Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112.
11 David je dal poklicati Cadóka, duhovnika Abjatárja in Lévijevce Uriéla, Asajá, Joéla, Šemajá, Eliéla in Aminadába
Daudi akaagiza Zadoki kuitwa na Abiathari kuhuani, na Walawi Urieli, Asaia, Yoeli, Shemaia, Elieli, na Aminadabu.
12 ter jim rekel: »Vi ste vodje očetov Lévijevcev. Posvetite se tako vi kakor vaši bratje, da boste lahko prinesli gor skrinjo Gospoda, Izraelovega Boga, na kraj, ki sem ga pripravil zanjo.
Akasema, “Nyinyi ni viongozi wa familia za Kilawi. Jiwekeni wakfu, nyie na ndugu zenu, ilikwamba mlete sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli, kwenye sehemu niliyo iandaa.
13 Kajti ker tega niste najprej storili, je Gospod, naš Bog, nad nami naredil vrzel, ker ga nismo iskali po predpisanem redu.«
Mara ya kwanza hamkubeba. Ndio maana Yahweh Mungu wetu akawa na hasira kwetu, kwa kuwa hatuku mtafuta wala kutii amri yake.”
14 Tako so se duhovniki in Lévijevci posvetili, da prinesejo gor skrinjo Gospoda, Izraelovega Boga.
Hivyo makuhani na Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
15 Lévijevi otroci so na svojih ramenih nosili Božjo skrinjo z njenima drogovoma v njej, kakor je zapovedal Mojzes, glede na Gospodovo besedo.
Walawi wakabeba sanduku la Mungu katika mabega yao na nguzo, kama Musa alivyo amuru-kwa kufuata sheria zilizo tolewa na Yahweh.
16 David je spregovoril vodju Lévijevcev, da določi svoje brate, da bodo pevci z glasbenimi instrumenti, plunkami, harfami in cimbalami, z dvigovanjem zvenečega radostnega glasu.
Daudi akazungumza na viongozi wa Walawi kuwapangia ndugu zao kuwa wana muziki wenye vyombo vya muziki, vyombo vya uzi, vinubi na upatu, kwa kupiga kwa sauti na furaha wakipaza sauti zao.
17 Tako so Lévijevci določili Joélovega sina Hemána in izmed njegovih bratov Berehjájevega sina Asáfa in izmed Meraríjevih sinov, njihovih bratov, Kušajájevega sina Etána
Hivyo Walawi wakamchagua Hemani mwana wa Yoeli na mmoja wa kaka zake, Asafu mwana wa Berekia. Pia walimchagua ndugu wa uzao wa Merari na Ethani mwana wa Kushaia.
18 in z njimi njihove brate druge stopnje: Zeharjája, Bena, Jaaziéla, Šemiramóta, Jehiéla, Uníja, Eliába, Benajája, Maasejája, Matitjája, Elifeléhuja, Miknejája, Obéd Edóma in Jeiéla, vratarje.
Pamoja nao walikuwa ndugu wa daraja la pili: Zekarai, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaia, Maasaeia, Matithia, Elifelehu, Mikineaia, Obedi Edomu, na Yeieli, mlinzi wa lango.
19 Tako so bili pevci Hemán, Asáf in Etán določeni, da igrajo na cimbale iz brona,
Wanamuziki Hemani, Asafu, na Ethani walichaguliwa kupiga upatu wa shaba.
20 Zeharjá, Jaaziél, Šemiramót, Jehiél, Uní, Eliáb, Maasejá in Benajá s plunkami na sopran,
Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni Eliabu, Maaseia, na Benaia walicheza vyombo vya uzi.
21 in Matitjá, Elifeléhu, Miknejá, Obéd Edóm, Jeiél in Azazjá s harfami v oktavi, da vodijo.
Matithia, Elifelehu, Mikineia, Obedi Edomu, Yeieli, na Azazia waliongoza njia na vinubi.
22 Kenanjá, vodja Lévijevcev, je bil za pesem. Poučil je glede pesmi, ker je bil vešč.
Kenania, kiongozi wa Walawi, aliongoza uimbaji sababu alikuwa mwalimu wa muziki.
23 Berehjá in Elkaná sta bila vratarja za skrinjo.
Berekia na Elikana walikuwa walinzi wa sanduku.
24 Duhovniki Šebanjá, Józafat, Netanél, Amasáj, Zeharjá, Benajá in Eliézer so s trobentami trobili pred Božjo skrinjo; Obéd Edóm in Jehijá pa sta bila vratarja za skrinjo.
Shebania, Yoshafati, Nethanieli, Amasai, Zekaria, Benaia, na Eliezeri, makuhani, walikuwa wa kupuliza matarumbeta mbele ya sanduku la Mungu. Obedi Edomu na Yehia walikuwa walinzi wa sanduku.
25 Tako so David, Izraelove starešine in tisočniki odšli, da iz hiše Obéd Edóma z radostjo prinesejo gor Gospodovo skrinjo zaveze.
Hivyo Daudi, wazee wa Israeli, na wakuu wa maelfu wakaenda kuchukua sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwa shangwe.
26 Pripetilo se je, ko je Bog pomagal Lévijevcem, da so nosili skrinjo Gospodove zaveze, da so darovali sedem bikcev in sedem ovnov.
Wakati Mungu alipo wasaidia Walawi kubeba sanduku la agano la Yahweh, walitoa ng'ombe saba na mbuzi
27 David je bil oblečen s svečanim oblačilom iz tankega lanenega platna in vsi Lévijevci, ki so nosili skrinjo, pevci in Kenanjá, mojster pesmi s pevci; tudi David je imel na sebi efód iz lana.
Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji. Daudi alivaa juu ya joho lake naivera.
28 Tako je ves Izrael prinesel gor Gospodovo skrinjo zaveze z vriskanjem, z zvokom kornéta, s trobentami, cimbalami in igrali so s plunkami in harfami.
Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh na kelele za shangwe, na sauti za tarumbeta, ngoma za saani, na vyombo vya uzi na vinubi.
29 Pripetilo se je, medtem ko je Gospodova skrinja prišla v Davidovo mesto, da je Savlova hči Mihála, zroč skozi okno, videla kralja Davida plesati in igrati in ga v svojem srcu prezirala.
Lakini sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi, Mikali binti wa Sauli, alitazama nje ya dirisha, Akamuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea. Kisha akamdharau moyoni mwake.

< 1 Kroniška 15 >