< Книга пророка Софонии 2 >

1 Соберитеся и свяжитеся, язык ненаказанный,
Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
2 прежде неже быти вам якоже цвету мимоходящу в день, прежде неже приити на вы гневу Господню, прежде неже приити на вы дню ярости Господни.
kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
3 Взыщите Господа, вси смиреннии земли, суд содевайте и правды взыщите, (взыщите кротости) и отвещайте я, яко да покрыетеся в день гнева Господня.
Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
4 Зане Газа расхищена будет, и Аскалон во изчезновение будет: и Азот в полудни отвержется, и Аккарон искоренится.
hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
5 Горе живущым на ужи морстем, пришелцы Критстии: слово Господне на вас, Ханаане, земле иноплеменников, и погублю вы от жилища:
Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
6 и будет Крит пажить стадам и ограда овцам,
Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
7 и будет уже морское оставшым дому Иудина: на них пожируют в домех Аскалоних, к вечеру витати имут от лица сынов Иудиных, яко присети их Господь Бог их и возврати плен их.
Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
8 Слышах поношения Моавля и укоризны сынов Аммоних, о нихже поношаху людем Моим и величахуся на пределы Моя.
Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
9 Сего ради живу Аз, глаголет Господь Сил, Бог Израилев: зане Моав яко Содома будет, и сынове Аммони яко Гоморра, и Дамаск оставлен яко стог гуменный и разорен во век: и прочии людий Моих расхитят я, и оставшии языка Моего наследят их.
Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
10 Сие им за досаждение их, зане поносиша и возвеличишася на люди Господа Вседержителя.
Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
11 Явится Господь на них и потребит вся боги языков земных: и поклонятся Ему кийждо от места своего, вси острови язычестии.
Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
12 И вы, Мурини, язвени оружием Моим будете.
Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
13 И прострет руку Свою на север и погубит Ассирианина, и положит Ниневию во изчезновение безводно, яко пустыню:
na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
14 и пожируют посреде ея стада и вси зверие земнии, и хамелеоны и ежеве во гнездах ея вогнездятся: и зверие возвыют в разселинах ея, и вранове во вратех ея, зане кедр возношение ея.
Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
15 Сей град презорливый, живяй на уповании, глаголяй в сердцы своем: аз есмь, и несть по мне еще: како бысть во изчезновение, пажить зверем? Всяк мимоходяй сквозе его позвиждет и воздвигнет руце свои.
huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.

< Книга пророка Софонии 2 >