< Псалтирь 88 >

1 Песнь псалма Сыном Кореовым, в конец, о Маелефе еже отвещати, разума Еману Израилтянину. Господи Боже спасения моего, во дни воззвах и в нощи пред Тобою:
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi. Ee Bwana, Mungu uniokoaye, nimelia mbele zako usiku na mchana.
2 да внидет пред Тя молитва моя, приклони ухо Твое к молению моему.
Maombi yangu yafike mbele zako, utegee kilio changu sikio lako.
3 Яко исполнися зол душа моя, и живот мой аду приближися. (Sheol h7585)
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol h7585)
4 Привменен бых с низходящими в ров: бых яко человек без помощи,
Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni, niko kama mtu asiye na nguvu.
5 в мертвых свободь: яко язвеннии спящии во гробе, ихже не помянул еси ктому, и тии от руки Твоея отриновени быша.
Nimetengwa pamoja na wafu, kama waliochinjwa walalao kaburini, ambao huwakumbuki tena, ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
6 Положиша мя в рове преисподнем, в темных и сени смертней.
Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.
7 На мне утвердися ярость Твоя, и вся волны Твоя навел еси на мя.
Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
8 Удалил еси знаемых моих от мене: положиша мя мерзость себе: предан бых и не исхождах.
Umenitenga na rafiki zangu wa karibu na kunifanya chukizo kwao. Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;
9 Очи мои изнемогосте от нищеты: воззвах к Тебе, Господи, весь день, воздех к Тебе руце мои.
nuru ya macho yangu imefifia kwa ajili ya huzuni. Ee Bwana, ninakuita kila siku, ninakunyooshea wewe mikono yangu.
10 Еда мертвыми твориши чудеса? Или врачеве воскресят, и исповедятся Тебе?
Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako? Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?
11 Еда повесть кто во гробе милость Твою, и истину Твою в погибели?
Je, upendo wako hutangazwa kaburini, uaminifu wako katika Uharibifu?
12 Еда познана будут во тме чудеса Твоя, и правда Твоя в земли забвенней?
Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza, au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?
13 И аз к Тебе, Господи, воззвах, и утро молитва моя предварит Тя.
Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie; asubuhi maombi yangu huja mbele zako.
14 Вскую, Господи, отрееши душу мою? Отвращаеши лице Твое от мене?
Ee Bwana, kwa nini unanikataa na kunificha uso wako?
15 Нищь есмь аз, и в трудех от юности моея: вознесжеся смирихся и изнемогох.
Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo; nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.
16 На мне преидоша гневи Твои, устрашения Твоя возмутиша мя:
Ghadhabu yako imepita juu yangu; hofu zako zimeniangamiza.
17 обыдоша мя яко вода весь день, одержаша мя вкупе.
Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko; zimenimeza kabisa.
18 Удалил еси от мене друга и искренняго, и знаемых моих от страстей.
Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu; giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.

< Псалтирь 88 >