< Псалтирь 47 >

1 В конец, о сынех Кореовых, псалом. Вси языцы, восплещите руками, воскликните Богу гласом радования:
Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
2 яко Господь Вышний страшен, Царь велий по всей земли:
Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
3 покори люди нам и языки под ноги наша:
Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
4 избра нам достояния свое, доброту Иаковлю, юже возлюби.
Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
5 Взыде Бог в воскликновении, Господь во гласе трубне.
Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
6 Пойте Богу нашему, пойте: пойте Цареви нашему, пойте.
Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
7 Яко Царь всея земли Бог, пойте разумно.
Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
8 Воцарися Бог над языки: Бог седит на престоле святем Своем.
Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
9 Князи людстии собрашася с Богом Авраамлим: яко Божии державнии земли зело вознесошася.
Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.

< Псалтирь 47 >