< Псалтирь 46 >

1 В конец, о сынех Кореовых, о тайных, псалом. Бог нам прибежище и сила, помощник в скорбех обретших ны зело.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
2 Сего ради не убоимся, внегда смущается земля, и прелагаются горы в сердца морская.
Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
3 Возшумеша и смятошася воды их, смятошася горы крепостию его.
Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka, milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.
4 Речная устремления веселят град Божий: освятил есть селение свое Вышний.
Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
5 Бог посреде его, и не подвижится: поможет ему Бог утро заутра.
Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
6 Смятошася языцы, уклонишася царствия: даде глас Свой Вышний, подвижеся земля.
Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.
7 Господь сил с нами, заступник наш Бог Иаковль.
Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
8 Приидите и видите дела Божия, яже положи чудеса на земли:
Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
9 отемля брани до конец земли, лук сокрушит и сломит оружие, и щиты сожжет огнем.
Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
10 Упразднитеся и разумейте, яко Аз есмь Бог: вознесуся во языцех, вознесуся на земли.
“Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu; nitatukuzwa katikati ya mataifa, nitatukuzwa katika dunia.”
11 Господь сил с нами, заступник наш Бог Иаковль.
Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

< Псалтирь 46 >