< Псалтирь 3 >

1 Псалом Давиду, внегда отбегаше от лица Авессалома сына своего. Господи, что ся умножиша стужающии ми? Мнози востают на мя,
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
2 мнози глаголют души моей: несть спасения ему в Бозе его.
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
3 Ты же, Господи, заступник мой еси, слава моя, и возносяй главу мою.
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4 Гласом моим ко Господу воззвах, и услыша мя от горы святыя Своея.
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5 Аз уснух, и спах, востах, яко Господь заступит мя.
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
6 Не убоюся от тем людий, окрест нападающих на мя.
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
7 Воскресени, Господи, спаси мя, Боже мой: яко Ты поразил еси вся враждующыя ми всуе, зубы грешников сокрушил еси.
Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
8 Господне есть спасение, и на людех Твоих благословение Твое.
Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

< Псалтирь 3 >