< Псалтирь 116 >
1 Возлюбих, яко услышит Господь глас моления моего,
Nampenda Yahwe kwa kuwa anasikia sauti yangu na kuomba kwangu kwa ajili ya huruma.
2 яко приклони ухо Свое мне: и во дни моя призову.
Kwa sababu alinisikiliza, nitamuita yeye ningali ninaishi.
3 Объяша мя болезни смертныя, беды адовы обретоша мя: скорбь и болезнь обретох и имя Господне призвах: (Sheol )
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol )
4 о, Господи, избави душу мою: милостив Господь и праведен и Бог наш милует.
Kisha niliita kwa jina la Yahwe: “Tafadhali Yahwe, uiokoe nafsi yangu.”
5 Храняй младенцы Господь: смирихся, и спасе мя.
Yahwe ni mwenye neema na haki; Mungu wetu ni mwenye huruma.
6 Обратися, душе моя, в покой твой, яко Господь благодействова тя:
Yahwe huwalinda wasio na hila; nilishushwa chini akaniokoa.
7 яко изят душу мою от смерти, очи мои от слез и нозе мои от поползновения.
Nafsi yangu inaweza kurudi mahali pake pa kupumzika, kwa kuwa Yahwe amekuwa mwema kwangu.
8 Благоугожду пред Господем во стране живых.
Kwa maana uliokoa uhai wangu dhidi ya kifo, mcho yangu dhidi ya machozi, na miguu yangu dhidi ya kujikwaa.
Nitamtumikia Yahwe katika nchi ya walio hai.
10 Веровах, темже возглаголах: аз же смирихся зело.
Nilimwamini yeye, hata niliposema, “nimeteswa sana.”
11 Аз же рех во изступлении моем: всяк человек ложь.
Kwa haraka nilisema, “Watu wote ni waongo.”
12 Что воздам Господеви о всех, яже воздаде ми?
Nimlipeje Yahwe kwa wema wake wote kwangu?
13 Чашу спасения прииму и имя Господне призову:
Nitakiinua kikombe cha wokovu, na kuliitia jina la Yahwe.
14 молитвы моя Господеви воздам пред всеми людьми Его.
Nitatimiza viapo vyangu kwa Yahwe katika uwepo wa watu wake wote.
15 Честна пред Господем смерть преподобных Его.
Mauti ya wacha Mungu ina thamani machoni pa Mungu.
16 О, Господи, аз раб Твой, аз раб Твой и сын рабыни Твоея: растерзал еси узы моя.
Ee Yahwe, hakika, mimi ni mtumishi wako; mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umefungua vifungo vyangu.
17 Тебе пожру жертву хвалы, и во имя Господне призову.
Nitakutolea dhabihu ya shukrani na nitaliitia jina la Yahwe.
18 Молитвы моя Господеви воздам пред всеми людьми Его,
Nitatimiza viapo vyangu kwa Yahwe katika uwepo wa watu wake wote,
19 во дворех дому Господня, посреде тебе, Иерусалиме.
katika nyua za nyumba ya Yahwe, katikati yako, Yerusalemu. Msifuni Yahwe.