< Числа 8 >
1 И рече Господь к Моисею, глаголя:
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
2 глаголи Аарону и речеши к нему: егда поставиши светила, от страны спреди светилника да светят седмь светила.
“Sema na Haruni umwambie, 'zile taa saba lazima zimulike mbele ya kinara utakapoziwasha,”
3 И сотвори тако Аарон: от единыя страны спреди светилника возжже светила его, якоже повеле Господь Моисею.
Haruni alifanya haya. Aliziwasha zile taa juu ya kinara ili ziangaze mbele yake kama BWANA alivyomwagiza Musa.
4 И сие устроение светилника: слияно злато стебль его и крины его, слияно все: по образу, егоже показа Господь Моисею, тако сотвори светилник.
Kinara kilitengenezwa kwa njia hii kama BWANA alivyomwelekeza Musa muundo wake. Kiitakaiwa kutengenezwa kwa dhahabu kuanzia kwenye kitako chake hadi juu, ndivyo kilivyotakiwa kutengenezwa kwa dhahabu kwa maua hadi juu.
5 И рече Господь к Моисею, глаголя:
Tena, BWANA akanena na Musa, akasema,
6 поими левиты от среды сынов Израилевых, и да очистиши я:
'“Uwatwae Walawi kati ya wana wa Israeli na uwatakase.”
7 и сице да сотвориши им очищение их: покропиши на них воду очищения, и да взыдет бритва на все тело их, и исперут ризы своя, и чисти будут:
Uwafanyie hivi ili kuwatakasa: Uwanyunyizie maji ya utakaso juu yao. Hakikisha wamenyoa miili yao yote, wafue nguo zao, na kwa njia hii wajitakase wenyewe.
8 и да возмут телца единаго от волов, и сего жертву муки пшеничны, спряжены с елеем, и телца единолетна от волов да возмеши греха ради:
Kisha wachukue fahari mchanga na sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta. Halafu wachukue fahari mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
9 и да приведеши левиты пред скинию свидения, и собереши весь сонм сынов Израилевых:
Uwalete Walawi mbele ya hema ya kukutania, na uwakusanye jamii yote ya wana wa Israeli.
10 и приведеши левиты пред Господа, и да возложат сынове Израилстии руки своя на левиты:
Uwalete Walawi mbele yangu, BWANA. Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.
11 и да отлучит Аарон левиты отдание пред Господа от сынов Израилевых, и да служат службы Господви:
Haruni atawatoa Walawi mbele yangu, kuwa sadaka ya kutikiswa. Atafanya hivi ili kwamba Walawi wanitumikie.
12 левити же да возложат руки на главы телцев: и да сотвориши единаго от гресе и единаго во всесожжение Господу, умилостивити о них:
Walawi wataweka mikono yao juu ya hao fahari. Mtatoa fahari mmoja kuwa sadaka ya dhambi na fahari mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu, ili kuwa upatanisho kwa Walawi.
13 и поставиши левиты пред Господем и пред Аароном и пред сынми его, и отдаси я отдание Господу:
Walete Walawi mbele ya Haruni na mbele ya wana wake, uwainue kuwa sadaka ya kutikiswa kwa ajili yangu.
14 и да отлучиши левиты от среды сынов Израилевых, и будут Мне:
Kwa njia hii utawatenganisha Walawi toka wana wa Israeli. Walawi watakuwa wangu.
15 и по сих да внидут левиты делати дела скинии свидения: и да очистиши их, и отдаси я пред Господем: яко отдание отданы сии Мне суть от среды сынов Израилевых:
Baadaye Walawi wataingia ndani ya hema ya kukutania. Utawatakasa. utawatoa kuwa sadaka ya kutikiswa
16 вместо отверзающих всяка ложесна первенцев всех от сынов Израилевых, приях я Себе:
Fanya hivi kwa sababu wao ni wangu wote kutoka kwa wana wa Israeli. Watachukua nafasi ya kila mzaliwa wa kwanza afunguaye tumbo, mzaliwa wa kwanza wa uzao wa Israeli. Nimewachukua Walawi kwa ajili yangu.
17 яко Мне есть всяк первенец от сынов Израилевых, от человека до скота: в день в оньже поразих всякаго первенца в земли Египетстей, освятих я Себе,
Wazaliwa wa kwanza wote kutoka kwa wana wa Israeli ni wangu, watu wote pamoja na wanyama pia. Siku ile nilipowachukua wazaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, Niliwatenga kwa ajili yangu
18 и взях левиты вместо всякаго первенца сынов Израилевых,
Nimewachukua Walawi kutoka kwa wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza.
19 и отдах левиты отданием Аарону и сыном его от среды сынов Израилевых делати дела сынов Израилевых в скинии свидения и умилостивляти о сынех Израилевых: да не будет язва на сынех Израилевых, внегда приступати им к святым.
Nimewatoa Walawi kuwa zawadi kwa Haruni na wana wake. Nimewachukua toka wana wa Isreali ili kuwatumikia wana wa Israeli katika hema ya kukutania. Nimewatoa ili kuwa upatanisho kwa watu ili kwamba wasipatwe na mapigo wakati wanapokaribia kwenye eneo takatifu.
20 И сотвори Моисей и Аарон и весь сонм сынов Израилевых левитом, якоже заповеда Господь Моисею о левитех, тако сотвориша им сынове Израилевы.
Musa, Haruni na jamii ya Waisraeli wote waliwafanyia Walawi hivi. Walifanya kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi. Wana wa Israeli wakafanya haya pamoja nao.
21 И очистишася левити и испраша ризы своя: и отдаде я Аарон отдание пред Господем, и помолися о них Аарон, очищения ради их.
Walawi wakajitakasa wenyewe na kufua mavazi yao, Na Haruni akawatoa kama sadaka ya kutikiswa kwa BWANA na akafanya upatanisho kwao ili kuwatakasa.
22 И но сих внидоша левити служити службы своя в скинии свидения пред Аароном и пред сыны его: якоже повеле Господь Моисею о левитех, тако сотвориша им.
Baada ya hayo, Walawi waliingia ndani kufanya utumishi wao katika hema ya kukutania mbele ya Haruni na mbele ya wanawe. Kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa juu ya Walawi. Waliwahudumia Walawi wote kwa jinsi hii.
23 И рече Господь к Моисею глаголя:
BWANA akanena na Musa tena, Akasema,
24 сие есть еже о левитех: от двадесяти пяти лет и вышше, да внидут служити служение в скинии свидения:
“Haya yote ni kwa ajili ya Walawi ambao wana umri wa miaka ishirini na mitano na zaidi. Wataungana na wale wanaohudumia hekaluni.
25 и от пятидесяти лет да отстанут от служения и не служат ктому.
Wataacha kutoa huduma hii watakapokuwa na umri wa miaka hamsini. Katika umri huu hawatakiwi kuendelea na huduma tena.
26 И да служат братия его в скинии свидения еже стрещи стражи, дел же да не делают. Тако сотвориши левитом в стражах их.
Wanaweza kuwasaidia ndugu zao wanaoendelea kufanya kazi ndani ya hema ya kukutania, lakini hawatakiwai kufanya kazi tena. Utawaelekeza Walawi kuyafahamu haya yote.”