< Числа 3 >

1 И сия рождения Аарона и Моисеа, в день в оньже глагола Господь Моисею на горе Синайстей:
Sasa hii ndiyo historia ya uzao wa Haruni na Musa wakati BWANA aliposema na Musa kwenye mlima Sinai.
2 и сия имена сынов Аароних: первенец Надав и Авиуд, и Елеазар и Ифамар:
Majina ya watoto wa Haruni walikuwa Nadabu ambaye ndiyo mtoto wa kwanza, na Abihu, na Eliezeri, na Ithamari.
3 сия имена сынов Аароних, жерцы помазаныя, имже совершишася руце их жрети:
Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni, makuhani waliokuwa wamepakwa mafuta na kuwekwa wakfu kutumika kama makuhani.
4 и скончашася Надав и Авиуд пред Господем, приносящым им огнь чуждь пред Господем в пустыни Синайстей, и чад не бе им: и жречествоваху Елеазар и Ифамар со Аароном, отцем своим.
Lakini Nadabu na Abihu walikufa mbele ya BWANA walipomtolea moto usiokubalika walipokuwa katika nyika ya Sinai. Nadabu na Abihu hawakuwa na watoto, kwa hiyo Eliazari na Ithamari walitumika kama makuhani pamoja na baba yao.
5 И рече Господь к Моисею, глаголя:
BWANA alinena na Musa, akamwambia,
6 поими племя Левиино, и поставиши я пред Аароном жерцем, и да служат ему:
“Walete kabila ya Lawi na uwaweke kwa Haruni kuhani ili wamsaidie
7 и да стрегут стражбы его и стражбы сынов Израилевых пред скиниею свидения, делати дела скинии:
Nao lazima wafanye majukumu badala ya Haruni na jumuiya yote mbele ya hema ya kukutania. Lazima watumike hemani.
8 и да хранят вся сосуды скинии свидения и стражбы сынов Израилевых по всем делом скинии:
Watayatunza mapambo ya hema ya kukutania, na watawatumikia makabila ya Israel kwa huduma ya hemani.
9 и да даси левиты Аарону брату твоему и сыном его жерцем: в дар даны сии Мне суть от сынов Израилевых:
Uwaweke Walawi kwa Haruni na watoto wake. Nimewatoa kikamilifu ili wamsaidie kuwatumikia watu wa Israel.
10 и Аарона и сыны его поставиши над скиниею свидения, и да хранят жречество свое, и вся яже у олтаря и внутрь завесы: иноплеменник же прикасаяйся умрет.
Umchague Haruni na watoto wake kuwa makuhani, lakini mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe.”
11 И рече Господь к Моисею, глаголя:
BWANA alinena na Musa. akamwambia,
12 и се, Аз взях левиты от среды сынов Израилевых, вместо всякаго первенца, отверзающаго ложесна от сынов Израилевых: искупления их будут, и да будут Мне левити:
“Tazama, nimewachagua Walawi katika watu wa Israel. Nimefanya hivyo badala ya kuchukua mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wana wa Israel. Hawa Walawi ni wangu.
13 Мне бо всяк первенец: в оньже день побих всякаго первенца в земли Египетстей, освятих Себе всякаго первенца во Израили, от человека до скота Мне да будут: Аз Господь.
Na hata wazaliwa wa kwanza ni mali yangu. Katika siku ambyo niliwavamia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, Niliwatenga wazaliwa wa kwanza wa Israeli kwa ajili yangu, watu na wanyama pia. Ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.”
14 И рече Господь к Моисею в пустыни Синайстей, глаголя:
BWANA alinena na Musa katika nyika ya Sinai. Akasema,
15 соглядай сынов Левииных по домом отечеств их по сонмом их, по рождению их: всяк мужеск пол от месяца единаго и вышше да соглядаете их.
“Wahesabu uzao wa Lawi katika kila familia, katika nyumba za koo zao. Hesabu kila mume kuanzia mwezi mmoja au zaidi.”
16 И сочте их Моисей и Аарон повелением Господним, якоже повеле им Господь.
Musa aliwahesabu, kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.
17 И бяху сии сынове Левиины от имен их: Гирсон, Кааф и Мерари.
Majina ya watoto waLawi yalikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
18 И сия имена сынов Гирсоних по сонмом их: Ловени и Семей.
Ukoo uliotokana na watoto wa Gerishoni walikuwa ni Libni na Shimei.
19 И сынове Каафовы по сонмом их: Амрам и Иссаар, Хеврон и Озиил.
Ukoo uliotokana na watoto Kohathi walikuwa ni Amramu na, Izihari, Hebroni, na Uzieli.
20 И сынове Мерарины по сонмом их: Мооли и Муси: сии суть сонми Левитстии по домом отечеств их.
Ukoo uliotokana na watoto wa Merari walikuwa ni Mahili na Mushi. Hizi ndizo koo za Walawi, zilizoorodheshwa ukoo kwa ukoo.
21 От Гирсона сонм Ловениин и сонм Семеинь: сии суть сонми Гирсоновы.
Koo za Walibini na Washimei zilitokana na Wagerishoni. Hizi ndizo koo za Wagerishoni.
22 Соглядание их по числу всего мужеска полу, от месяца единаго и вышше, соглядание их седмь тысящ и пять сот.
Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
23 И сынове Гирсоновы за скиниею да ополчаются к морю.
Koo za Wagerishoni watapanga upande wa magharibi wa hema.
24 И князь дому отечества сонма Гирсоня Елисаф сын Даиль.
Eliasafu mwana wa Laeli ataongoza koo za uzao wa Wagerishoni.
25 И стражба сынов Гирсоновых в скинии свидения, скиния и покров ея, и покров дверий скинии свидения,
Familia ya Gerishoni watalilinda hema la kukutania pamoja na hiyo masikani. Watalilinda hema, kifuniko chake, na lile pazia la lango la hema ya kukutania.
26 и опоны двора, и завеса дверий двора, иже есть у скинии, и прочая всех дел его.
Wataulinda ua, lile pazia la kwenye lango—ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu. Watazilinda kamba za hema ya kukutania na vyote vilivyomo.
27 От Каафа сонм Амрамль един и сонм Иссааров един, и сонм Хевронь един и сонм Озиил един: сии суть сонми Каафовы:
Koo zifuatazo zinatokana na Kohathi: ukoo wa Waamrami, ukoo wa Waizihari ukoo wa Wahebroni, na ukoo wa Wauzieli. Koo hizi zinatokana na Wakohathi.
28 по числу всяк мужеск пол от месяца единаго и вышше осмь тысящ и шесть сот, стрегущии стражбы Святых.
Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
29 Сонми сынов Каафовых да ополчаются от страны скинии к югу,
Familia ya uzao wa Kohathi watapanga upande wa kusini wa Hema.
30 и князь дому отечеств сонмов Каафовых Елисафан сын Озиил:
Elizafani mwana wa Uzieli ndiye atakayeongoza ukoo wa Wakohathi.
31 и стражба их кивот и трапеза, и светилник и олтари, и сосуды святаго, в нихже служат, и покров, и вся дела их.
Watalilinda sanduku, meza, vikalishio vya taa, madhabahu, vitu vitakatifu ambvyo hutumika katika huduma yao, pazia, na kazi zote zinazoambatana na hema.
32 И князь над князи левитскими Елеазар сын Аарона жерца, поставлен стрещи стражбы святых.
Eliazari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza wanaume wanaowaongoza Walawi. Atawasimamia wanaume wanaongoza eneo takatifu.
33 От Мерара же сонм Мооли и сонм Муси: сии суть сонми Мерарины,
Koo mbili zimetoka kwa Merari: Ukoo wa Mahili na ukoo wa Mushi. Koo hizi zimetokana na Merari,
34 соглядание их по числу, всяк мужеск пол от месяца единаго и вышше, шесть тысящ и двести.
Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
35 И князь дому отечеств сонма Мерарина Суриил сын Авихеов: от страны скинии да ополчаются к северу,
Zurieli mwana wa Abihaili ataongoza ukoo wa Merari. Hawa watapanga upande wa kaskazini mwa hema.
36 соглядание стражбы сынов Мерариных главицы скинии и вереи ея, и столпы ея и стояла ея, и вся сосуды их и вся дела их,
Uzao wa Merari utatunza mbao za hema, mataruma, nguzo, makalishio, viifaa vya ujenzi na vitu vyote vinavyohusika,
37 и столпы двора окрест и стояла их, и колки их и верви их.
na nguzo za ua zinazozunguka hema, makalishio, vigingi na kamba zake.
38 Ополчающиися сопреди скинии свидения на востоки Моисей и Аарон и сынове его, стрегуще стражбы святаго, в стражбах сынов Израилевых: и иноплеменник прикасаяйся да умрет.
Musa na Haruni na watoto wake watapanga upande wa mashariki wa masikani, mbele ya hema ya kukutania kuelekea mawio ya jua. Wao wataajibika na majukumu ya mahali patakatifu na majukumu ya wana wa Israeli. Mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe.
39 Все соглядание левитов, ихже согляда Моисей и Аарон повелением Господним по сонмом их, всяк мужеск пол от месяца единаго и вышше, двадесять и две тысящы.
Musa na Haruni wakawahesabu wanaume wote wa ukoo wa Walawi walikuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi, kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Walihesabu wanaume ishirini na mbili elfu.
40 И рече Господь к Моисею, глагола: соглядай всякаго первенца мужеска полу сынов Израилевых от месяца единаго и вышше, и возми число их по имени,
BWANA alisema na Musa, “Wahesabu wanaume wote ambo ni wazaliwa wa kwanza wa Israeli ambao wana umri wa mwezi mmoja na zaidi. Orodhesha majina yao.
41 и да поймеши Мне левиты за вся первенцы сынов Израилевых: Аз Господь: и скоты левитски вместо всех первенцев в скотех сынов Израилевых.
Unitwalie walawi kwa ajili yangu badala ya wazaliwa wa kwanza wa Israeli, Mimi ndimi BWANA. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa wanyama wa uzao wa Israeli,”
42 И согляда Моисей, якоже заповеда ему Господь, всякаго первенца в сынех Израилевых.
Musa akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli kama BWANA alivyomwagiza kufanya.
43 И быша вси первенцы мужескаго полу, по числу имен от месяца единаго и вышше, от соглядания их двадесять две тысящы двести и седмьдесят три.
Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273.
44 И рече Господь к Моисею, глаголя:
Tena BWANA alinena na Musa. Akasema,
45 поими левиты вместо всех первенцев сынов Израилевых, и скоты левитски вместо скотов их, и будут Мне левиты: Аз Господь:
“Watwae Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa wana wa Israeli. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wanyama wa Waisreli wengine. Walawi ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.
46 и искуп дву сот седмидесяти трех, иже преизбывают сверх левитов от первенцов сынов Израилевых:
Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi.
47 и да возмеши по пяти сикль на главу, по сиклю святому возмеши двадесять пенязей сикль,
Utazitumia hizo shekeli tano kwa kipimo cha mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera ishirini.
48 и даси сребро Аарону и сыном его искуп от преизбывающих в них.
Utawalipa hizo shekeli za wokovu kwa Haruni na wanawe.”
49 И взя Моисей сребро искупное от преизбывающих в них на искуп левитом:
Kwa hiyo Musa akakusanya shakeli za wokovu kutoka kwa wale waliozidi idadi ya wale waliookolewa na Walawi.
50 от первенец сынов Израилевых взя сребра тысящу три ста шестьдесят пять сиклев, по сиклю святому.
Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
51 И даде Моисей окуп от преизбывших Аарону и сыном его, повелением Господним, якоже заповеда Господь Моисею.
Musa akafanya kila kitu alichoagizwa na neno la BWANA kama BWANA alivyomwagiza.

< Числа 3 >