< Числа 28 >

1 И рече Господь к Моисею, глаголя:
BWANA akanena na Musa akamwambia,
2 заповеждь сыном Израилевым, и речеши к ним, глаголя: дары Моя, даяния Моя, приносы Моя, в воню благовония соблюдите приносити Мне на праздники Моя.
“Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
3 И да речеши к ним: сия приношения, яже принесете Господу, агнцев единолетных непорочных два на день во всесожжение выну:
Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
4 агнца единаго сотворите рано, и агнца втораго сотворите в вечер:
Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
5 и да сотвориши десятую часть ефи (меры) муки пшеничны на жертву, вмешану в елеи четвертую часть (меры) ина:
Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
6 всесожжение непрестанное, якоже бысть в горе Синайстей, в воню благовония Господу.
Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
7 И возлияние его четвертую часть (меры) ина агнцу единому: во святем да возлиеши возлияние сикеру Господу:
Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
8 и агнца втораго сотвориши к вечеру: по жертве его и по возлиянию его да сотвориши, в воню благовония Господу.
Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
9 И в день суббот приведете два агнца единолетна непорочна и две десятины муки пшеничны вмешаны в елеи на жертву и возлияние,
Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
10 всесожжения субботы в субботах, на всесожжение всегдашнее и возлияние его.
Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
11 И в новомесячиих да принесете во всесожжение Господу телца два от говяд и овна единаго, агнцев единолетных седмь непорочных:
Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
12 три десятины муки пшеничны вмешаны в елеи телцу единому, и две десятины муки пшеничны вмешаны в елеи овну единому,
Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
13 по десятине муки пшеничны вмешаны в елеи агнцу единому: жертву в воню благовония принос Господу.
Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
14 Возлияние их от вина пол (меры) ина да будет телцу единому: и третия часть (меры) ина да будет овну единому: и четвертая часть (меры) ина да будет агнцу единому: сие всесожжение от месяца до месяца в месяцы лета.
Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
15 И козла единаго от коз греха ради Господу на всесожжение присное сотворите и возлияние его.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
16 И в месяце первем в четвертыйнадесять день месяца Пасха Господу:
Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
17 и в пятыйнадесять день месяца сего праздник: седмь дний опресноки да ясте.
Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
18 И день первый нарочит свят да будет вам: всякаго дела служебна да не сотворите.
Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
19 И принесете всесожжения принос Господу, телца от волов два, овна единаго, агнцев единолетных седмь: непорочни будут вам.
Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
20 И жертва их мука пшенична вмешана в елеи: три десятины телцу единому и две десятины овну единому да сотворите:
Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
21 по десятине сотвориши агнцу единому, седми агнцем:
Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
22 и козла единаго от коз греха ради, во еже умолити о вас.
na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 Кроме всесожжения всегдашняго утренняго, еже есть всесожжение всегдашнее, сотворите сия.
Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
24 По сему сотворите на (всяк) день, в седмь дний, дар, принос в воню благовония Господу: на всесожжение всегдашнее сотвориши возлияние его.
Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
25 И день седмый нарочит свят да будет вам: всякаго дела служебнаго да не сотворите в онь.
Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
26 И день новых (плодов), егда принесете Господеви жертву нову седмиц, нарочит свят будет вам: всякаго дела служебна да не сотворите.
Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
27 И да принесете всесожжения в воню благовония Господу, телца от волов два, овна единаго, агнцев единолетных седмь непорочных.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
28 Жертва их мука пшенична вмешана в елеи: три десятины телцу единому и две десятины овну единому:
Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
29 по десятине агнцу единому, седми агнцем:
Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
30 и козла единаго от коз греха ради, во еже умолити о вас.
na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Кроме всесожжения всегдашняго, и жертву их сотворите Мне, непорочни да будут вам, и возлияния их.
Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”

< Числа 28 >