< Числа 28 >
1 И рече Господь к Моисею, глаголя:
Bwana akamwambia Mose,
2 заповеждь сыном Израилевым, и речеши к ним, глаголя: дары Моя, даяния Моя, приносы Моя, в воню благовония соблюдите приносити Мне на праздники Моя.
“Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
3 И да речеши к ним: сия приношения, яже принесете Господу, агнцев единолетных непорочных два на день во всесожжение выну:
Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
4 агнца единаго сотворите рано, и агнца втораго сотворите в вечер:
Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
5 и да сотвориши десятую часть ефи (меры) муки пшеничны на жертву, вмешану в елеи четвертую часть (меры) ина:
kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
6 всесожжение непрестанное, якоже бысть в горе Синайстей, в воню благовония Господу.
Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
7 И возлияние его четвертую часть (меры) ина агнцу единому: во святем да возлиеши возлияние сикеру Господу:
Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
8 и агнца втораго сотвориши к вечеру: по жертве его и по возлиянию его да сотвориши, в воню благовония Господу.
Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
9 И в день суббот приведете два агнца единолетна непорочна и две десятины муки пшеничны вмешаны в елеи на жертву и возлияние,
“‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
10 всесожжения субботы в субботах, на всесожжение всегдашнее и возлияние его.
Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
11 И в новомесячиих да принесете во всесожжение Господу телца два от говяд и овна единаго, агнцев единолетных седмь непорочных:
“‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
12 три десятины муки пшеничны вмешаны в елеи телцу единому, и две десятины муки пшеничны вмешаны в елеи овну единому,
Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
13 по десятине муки пшеничны вмешаны в елеи агнцу единому: жертву в воню благовония принос Господу.
pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
14 Возлияние их от вина пол (меры) ина да будет телцу единому: и третия часть (меры) ина да будет овну единому: и четвертая часть (меры) ина да будет агнцу единому: сие всесожжение от месяца до месяца в месяцы лета.
Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
15 И козла единаго от коз греха ради Господу на всесожжение присное сотворите и возлияние его.
Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
16 И в месяце первем в четвертыйнадесять день месяца Пасха Господу:
“‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
17 и в пятыйнадесять день месяца сего праздник: седмь дний опресноки да ясте.
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
18 И день первый нарочит свят да будет вам: всякаго дела служебна да не сотворите.
Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
19 И принесете всесожжения принос Господу, телца от волов два, овна единаго, агнцев единолетных седмь: непорочни будут вам.
Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
20 И жертва их мука пшенична вмешана в елеи: три десятины телцу единому и две десятины овну единому да сотворите:
Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
21 по десятине сотвориши агнцу единому, седми агнцем:
pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
22 и козла единаго от коз греха ради, во еже умолити о вас.
Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 Кроме всесожжения всегдашняго утренняго, еже есть всесожжение всегдашнее, сотворите сия.
Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
24 По сему сотворите на (всяк) день, в седмь дний, дар, принос в воню благовония Господу: на всесожжение всегдашнее сотвориши возлияние его.
Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
25 И день седмый нарочит свят да будет вам: всякаго дела служебнаго да не сотворите в онь.
Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
26 И день новых (плодов), егда принесете Господеви жертву нову седмиц, нарочит свят будет вам: всякаго дела служебна да не сотворите.
“‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
27 И да принесете всесожжения в воню благовония Господу, телца от волов два, овна единаго, агнцев единолетных седмь непорочных.
Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
28 Жертва их мука пшенична вмешана в елеи: три десятины телцу единому и две десятины овну единому:
Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
29 по десятине агнцу единому, седми агнцем:
na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
30 и козла единаго от коз греха ради, во еже умолити о вас.
Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Кроме всесожжения всегдашняго, и жертву их сотворите Мне, непорочни да будут вам, и возлияния их.
Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.