< Книга Неемии 3 >
1 И воста Елиасув священник великий и братия его священницы, и создаша врата Овчая: сии освятиша их и поставиша двери их и даже до столпа Ста Лакот освятиша их, даже до столпа Анамеиля.
Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.
2 И близ его созидаша мужие Иерихонстии, и близ их созида Закхур сын Аманиин.
Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.
3 Врата же Рыбная созидаша сынове Асанаевы: сии покрыша их и поставиша двери их и заворы их и вереи их.
Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.
4 И близ их созидаше из Рамофы сын Уриин, сына Аккосова: и близ его созидаше Мосоллам сын Варахиин, сына Мазевиля: и близ их созидаше Садок сын Ваанаев:
Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.
5 и близ их созидаша Фекоими, сильнии же их не положиша выи своея в дело Господа Бога своего.
Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.
6 И врата старая созидаше Иоида сын Фасеков и Месуллам сын Васодиев: тии покрыста их и постависта двери их и заворы и вереи их.
Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.
7 И близ их созидаша Малтиа Гаваонитин и Еварон Миронофит, мужие от Гаваона и Масфы, даже до престола князя (иже бысть) об он пол реки.
Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.
8 И близ его созида Озиил сын Арахиев златарь: и близ его созида Ананиа сын Рокеима, и возставиша Иерусалим даже до стены широкия.
Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.
9 И близ их созидаше Рафаиа сын Сурин, началник половины окрестныя страны Иерусалимли.
Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.
10 И близ их созидаше Иедеа сын Еромафов, и противу дому его: и близ его созида Аттуф сын Асаваниин.
Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.
11 И вторую часть созидаше Мелхиа сын Ирамов и Асув сын Фааф-Моавль, и даже до столпа Пещнаго.
Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
12 И близ его созидаше Саллум сын Аллоисов, началник половины страны окрестныя Иерусалимли, той и дщери его.
Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.
13 Врата Юдоли созидаша Анун и обитающии в Заноне: тии создаша их и поставиша двери их и заворы их и вереи их, и тысяща лакот в стене даже до врат Гнойных.
Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.
14 И врата Гнойная созидаше Мелхиа сын Рихавль, началник окрестныя страны Вифакрамския, той и сынове его, и покрыша их и поставиша двери их и заворы их и вереи их.
Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.
15 И врата Источника созидаше Соломон сын Халезеов, началник страны Масфы: той созда их и покры их, и постави двери их и заворы их и вереи их, и стену купели Силоамли ко вертограду цареву и даже до степеней низходящих от града Давидова.
Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.
16 По немже созидаше Неемиа сын Завухов, началник половины страны Вифсуровы, даже до вертограда гроба Давидова и даже до купели устроеныя и даже до дому сильных.
Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.
17 По нем созидаша левити, Раум сын Ванаимль: по нем созидаше Асавиа, началник половины страны Кеилы на стране своей,
Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.
18 и по нем созидаша братия их, Веней сын Инададов, началник половины окрестныя страны Кеилы.
Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.
19 И созидаше близ его Азур сын Иисусов, началник Масфы, меру вторую столпа восхода касающагося углу.
Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.
20 И по нем созидаше Варух, сын Завуев, меру вторую от угла даже до врат дому Елиасува священника великаго.
Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.
21 По нем созидаше Мерамоф сын Урии, сына Аккосова, меру вторую от врат дому Елиасувова даже до конца дому Елиасувова.
Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.
22 И по нем созидаша священницы, мужие от поля (иорданска).
Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.
23 И по нем созидаста Вениамин и Асув противу домов своих: и по нем созидаше Азариа сын Маасиев, сына Ананиина, близ дому своего.
Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.
24 По нем созидаше Ваней сын Ададов меру вторую от дому Азарии даже до угла и даже до уклонения.
Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.
25 Фалах сын Узаин противу угла и столпа возвышенаго из дому царева высоко, иже во дворе темничнем: и по нем Фадаиа сын Форосов.
Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,
26 И нафиними обиташа во Офале, даже до вертограда врат Водных ко востоком и даже до столпа, иже бе возвышен.
na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.
27 И по них созидаша Фекоими меру вторую от страны столпа великаго и высокаго даже до стены Офлы.
Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.
28 Вышше врат Конских созидаша священницы, един кийждо противу дому своего.
Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.
29 И по нем созидаше Саддук сын Еммирь противу дому своего: и по нем созидаше Самаиа сын Сехениев, страж врат восточных.
Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.
30 По нем созидаше Ананиа сын Селемиев и Аном сын Селефов шестый меру вторую: по нем созидаше Месуллам сын Варахиев противу сокровищницы своея.
Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.
31 По нем созидаше Мелхиа сын Сарефиев даже до дому нафинимля и щиты продающих, противу врат Судных, и даже до горницы угла.
Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.
32 И посреде врат Овчих созидаша ковачи и щитопродавцы.
Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.