< Левит 12 >

1 И рече Господь к Моисею, глаголя:
Bwana akamwambia Mose,
2 глаголи сыном Израилевым и речеши к ним, глаголя: жена, яже аще зачнет и родит мужеск пол, нечиста будет седмь дний: по днем (естественнаго) разлучения скверны ея, нечиста будет:
“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi.
3 и в день осмый да обрежет плоть конечную его:
Mvulana atatahiriwa siku ya nane.
4 и сидети будет тридесять и три дни в крови нечистей своей: всякой вещи святей да не прикоснется и в святилище да не внидет, дондеже скончаются дние очищения ея.
Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.
5 Аще же женск пол родит, и нечиста будет четыренадесять дний по (естественней) скверне ея, и шестьдесят и шесть дний сидети будет в крови нечистоты своея.
Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.
6 И егда исполнятся дние очищения ея о сыне ея или дщери, да принесет агнца непорочна единолетна во всесожжение, и птенца голубина или горлицу греха ради, пред двери скинии свидения к жерцу,
“‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
7 и да принесет е пред Господа: и помолится о ней жрец и очистит ю от тока крове ея: сей закон раждающия мужеск пол или женск.
Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake. “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
8 Аще же не обрящет рука ея доволнаго на агнца, и да возмет две горлицы или два птенца голубина, единаго на всесожжение и другаго греха ради: и помолится о ней жрец, и очистится.
Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”

< Левит 12 >