< Книга Иисуса Навина 4 >
1 И егда скончаша вси людие преходяще Иордан, и рече Господь к Иисусу, глаголя:
Watu wote walipokwisha kuvuka Yordani, Yahweh akamwambia Yoshua,
2 поими дванадесять мужей от людий, мужа единаго от коегождо племене,
“Chagueni wenyewe watu waume kumi na wawili, mmoja katika kila kabila.
3 повели им, глаголя: возмите от среды Иордана, идеже стояша нози жречестии, готовых дванадесять каменей, и изнесше я с собою, положите в полце вашем, идеже станете тамо в нощи.
Wape agizo hilo: 'Chukueni mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani mahali wanaposimama makuhani katika nchi kavu, na wayalete na kuyaweka chini katika sehemu ambapo mtalala usiku wa leo.
4 И призвав Иисус дванадесять мужей славных от сынов Израилевых, единаго от коегождо племене, рече им:
Kisha Yoshua akawaita wanaume kumi na wawili ambao aliwachagua kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja kutoka kila kabila.
5 идите предо мною пред лицем Господним в средину Иордана: и взем оттуду кийждо камень един да возложит на рамена своя, по числу племен (сынов) Израилевых:
Yoshua akawaambia, “Nendeni mbele za sanduku la Yahweh Mungu wenu katikati ya Yordani. Kila mmoja wenu achukue jiwe moja mabegani mwake, kulingana na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli.
6 да будут вам сии в знамение посреде вас лежаще всегда, да егда вопросит тебе утро сын твой, глаголя: что суть камение сие вам?
Hii itakuwa ni ishara miongoni mwenu kwa ajili yenu wakati watoto wenu watakapowauliza katika siku zijazo, 'Nini maana ya mawe haya kwenu?'
7 И ты возвестиши сыну твоему, глаголя: яко оскуде Иордан река от лица кивота завета Господа всея земли, егда прехождаше его, и изсяче вода Иорданова: и будут вам камение сие в память сынов Израилевых даже до века.
Ndipo mtakapowaambia, 'Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh. Lililpopitishwa katika Yordani, maji ya Yordani yalisimamishwa. Hivyo, mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.'”
8 И сотвориша тако сынове Израилевы, якоже заповеда Господь Иисусу: и вземше дванадесять каменей от среды Иордана, якоже заповеда Господь Иисусу в скончании прехождения сынов Израилевых, и принесоша их с собою в полк, и положиша их тамо.
Watu waisraeli walifanya kama Yoshua alivyowaagiza, na walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani, kama Yahweh alivyomwambia Yoshua, walipangwa sawa sawa na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli. Waliyachukua mawe mpaka mahali walipolala na wakayaweka chini huko.
9 Постави же Иисус и другия дванадесять каменей в самем Иордане на месте, идеже стояху нози жерцев воздвизающих кивот завета Господня, и суть тамо даже до сего дне.
Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani, katika sehemu ambapo ilisimama miguu ya makuhani waliolichukua sanduku la agano. Na kumbukumbu hiyo ipo hadi leo.
10 Стояху же жерцы воздвизающии кивот завета Господня во Иордане, дондеже сконча Иисус вся, елика заповеда Господь Иисусу поведати людем, по всем, елика заповеда Моисей Иисусу: и потщашася людие, и преидоша.
Makuhani waliolichukua sanduku walisimama katikati ya Yordani mpaka pale kila kitu ambacho Yahweh alimwamuru Yoshua kuwaambia watu kilipokamilika, sawa sawa na yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua. Watu walifanya haraka na wakavuka.
11 И бысть егда скончаша вси людие преходити (Иордан), прейде и кивот завета Господня, и камение пред ними.
Wakati watu wote walipokwisha kuvuka, sanduku la Yahweh pamoja na makuhani walivuka mbele za watu.
12 И преидоша сынове Рувимли и сынове Гадовы и пол племене Манассиина устроены пред сынми Израилевы, якоже заповеда им Моисей:
Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi mbele ya watu wa Israeli, kama ambavyo Musa alivyowaambia.
13 четыредесять тысящ вооружени на рать преидоша пред Господем на брань ко граду Иерихону.
Yapata watu watu elfu arobaini walioandaliwa kwa vita walipita mbele za Yahweh, kwa ajili ya vita katika uwanda wa Yeriko.
14 В той день возвеличи Господь Иисуса пред всем родом Израилевым: и бояхуся его, якоже бояхуся Моисеа, елико время поживе.
Katika siku hiyo Yahweh alimfanya Yoshua kuwa mkuu katika macho ya watu wote wa Israeli. Walimheshimu - kama walivyomheshimu Musa - siku zake zote.
15 И рече Господь ко Иисусу, глаголя:
Kisha Yahweh akamwambia Yoshua,
16 заповеждь жерцем, воздвизающым кивот завета свидения, изступити из Иордана.
“Waamuru makuhani wanaolibeba sanduku la ushuhuda watoke katika Yordani.”
17 И заповеда Иисус жерцем, глаголя: изыдите из Иордана.
Hivyo Yoshua akawaamuru makuhani, '' pandeni mtoke Yordani.”
18 И бысть егда изыдоша жерцы воздвизающии кивот завета Господня от среды Иордана, и поставиша ноги на сусе, и устремися вода Иорданова на место и пойде якоже вчера и третияго дне по всему краю.
Wakati makuhani wenye kulibeba sanduku la agano la Yahweh walitoka katikati ya Yordani, na nyayo za miguu yao ilikuwa imeinuliwa katika nchi kavu, kisha maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake kama ilivyokuwa siku nne zilizopita.
19 И людие взыдоша от Иордана в десятый день перваго месяца: и ополчишася сынове Израилевы в Галгалех на стране, яже на восток солнца от Иерихона.
Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, watu walikwea kutoka Yordani. Wakakaa huko Gilgali, mashariki mwa Yeriko.
20 И дванадесять камения сия, яже взя от Иордана, постави Иисус в Галгалех, и рече к сыном Израилевым, глаголя:
Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani, Yoshuua aliyasimamisha hapo Gilgali.
21 егда вопросят вас сынове ваши, глаголюще: что суть камение сие?
Aliwaambia watu wa Israeli, “wakati watoto wenu watakapowauliza baba zao katika wakai ujao, 'Mawe haya ni ya nini?'
22 Возвестите сыном вашым: яко по суху прейде Израиль Иордан сей,
Waambieni watoto wenu, 'Hapa ndipo Waisraeli walivuka Yordani katika nchi kavu.
23 изсушившу Господу Богу вашему воду Иорданю пред ними, дондеже преидоша, якоже сотвори Господь Бог ваш Чермному морю, еже изсуши Господь Бог ваш пред вами, дондеже преидохом:
Yahweh Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mpaka hapo Yahweh Mungu wako aliyoyafanya katika bahari ya mianzi, ambayo aliikausha kwa ajili yetu ili tupite juu yakes,
24 да уведят вси языцы земнии, яко рука Господня крепка есть, и вы да чтете Господа Бога вашего во всякое время.
ili kwamba watu wote wa nchi wajue kwamba mkono wa Yahweh ni nguvu, na kwamba mtamweshimu Yahweh Mungu wenu milele.''