< Книга Иова 16 >
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 слышах сицевая многа, утешителие зол вси.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Что бо? Еда чин есть во словесех ветра? Или кую ти пакость сотворит, яко отвещаеши?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 И аз якоже вы возглаголю: аще бы душа ваша подлежала вместо моея, тогда наскочил бых на вы словесы, покиваю же на вы главою моею.
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 Буди же крепость во устех моих, движения же устен не пощажу.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Аще бо возглаголю, не возболю ли язвою? Аще же и умолчу, чим менше уязвен буду?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Ныне же преутруждена мя сотвори, буя, согнивша, и ят мя.
Lakini sasa, Mungu,
8 В послушество бых, и воста во мне лжа моя, противно лицу моему отвеща.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Гневен быв низложи мя, возскрежета зубы на мя, стрелы разбойников Его нападоша на мя.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Остротою очес наскака, мечем порази мя в колена: вкупе же потекоша на мя:
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 предаде бо мя Господь в руки неправедных, нечестивым же поверже мя.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Мирствующа разсыпа мя, взяв мя за власы оборва, постави мя аки примету.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Обыдоша мя копиями бодуще во истесы моя, не щадяще: излияша на землю желчь мою,
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 низложиша мя труп на труп, текоша ко мне могущии,
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 вретище сошиша на кожу мою, и мощь моя на земли угасе.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Чрево мое сгоре от плача, на веждах же моих стень смертная,
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 неправедно же ни едино бе в руку моею: молитва же моя чиста.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 Земле, да не покрыеши над кровию плоти моея, ниже да будет место воплю моему.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 И ныне се, на небесех Послух мой, Свидетель же ми во вышних.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Да приидет моя мольба ко Господу, пред Нимже да каплет око мое.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 Буди же обличение мужу пред Господем, и сыну человеческому ко ближнему его.
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 Лета же изочтеная приидоша, и путем, имже не возвращуся, пойду.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.