< Книга Иова 13 >
1 Се, сия виде око мое, и слыша ухо мое,
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 и вем, елика и вы весте: и не неразумнее есмь вас.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Но обаче и аз ко Господу возглаголю, обличу же пред Ним, аще восхощет.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Вы бо есте врачеве неправеднии и целителе злых вси,
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 буди же вам онемети, и сбудется вам в премудрость.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Слышите же обличение уст моих, суду же устен моих вонмите.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Не пред Богом ли глаголете и пред Ним вещаете лесть?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Или уклонитеся, вы же сами судии будите.
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Добро бо, аще изследит вас: аще бо вси творящии приложитеся к нему, обаче обличит вы.
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Аще же и тай лицам удивитеся,
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 не движение ли Его смятет вас, боязнь же от Него нападет на вы?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Отидет же величание ваше равно пепелу, тело же бренно.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Умолчите, да возглаголю и почию от гнева.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Вземля плоти моя зубами, душу же мою положу в руце моей.
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Аще мя убиет Сильный, понеже и нача, обаче возглаголю и обличу пред Ним:
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 и сие ми сбудется во спасение: не внидет бо пред Ним лесть.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Послушайте, послушайте глагол моих: возвещу бо вам слышащым.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Се, аз близ есмь суда моего, вем аз, яко праведен явлюся.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Кто бо есть судяйся со мною, да ныне умолчу и изчезну?
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Двое же ми сотвориши, тогда от лица Твоего не скрыюся:
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 руку от мене отими, страх же Твой да не ужасает мя:
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 посем призовеши, аз же Тя послушаю, или возглаголеши, аз же Ти дам ответ.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Колицы суть греси мои и беззакония моя? Научи мя, кая суть?
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Почто крыешися от мене? Мниши же мя противна суща Тебе?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Или яко лист движимь ветром убоишися? Или яко сену носиму ветром противляешимися?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Яко написал еси на мя злая, обложил же ми еси юностныя грехи:
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 положил же еси ногу мою в возбранение: сохранил же еси дела моя вся: в корения же ног моих пришел еси:
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 иже обетшают якоже мех, или якоже риза молием изядена.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.