< Книга пророка Иеремии 41 >

1 И бысть в седмый месяц, прииде Исмаил сын Нафаниин сына Елисамова, от рода царева, и вельможи царевы десять мужей с ним ко Годолии в Массифаф, и ядоша ту вкупе хлеб.
Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmael mwana wa Nethania mwana wa Elishama, toka familia ya kifalme, na maafisa baadhi wa mfalme, walikuja - wanaume kumi walikuwa pamoja naye - kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpa. Walikula chakula pamoja hukp Mizpa.
2 И воста Исмаил и десять мужей иже с ним, и поразиша Годолию мечем, и убиша, егоже постави царь Вавилонский над землею,
Lakini Ishmael mwana wa Nethania, na wanaume kumi ambao walikuwa pamoja naye waliinuka na kumvamia Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, kwa upanga. Ishmael alimuua Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alimweka kuwa msimamizi wa nchi.
3 и всех Иудеев, иже беша с ним в Массифафе, и всех Халдеев, иже обретошася тамо, и мужей военных изби Исмаил.
Kisha Ishmael aliwauwa Wayahudi wote ambao walikuwa pamoja na Gedalia huko Mizpa na Wakaldayo wanaume wa kupigana kukutwa huko.
4 И бысть во вторый день по убиении Годолиеве, и человек не уведе.
Kisha ilikuwa siku ya pili baada ya kumuua Gedila, lakini hakuna moja aliyejua.
5 И приидоша мужие от Сихема и от Салима и от Самарии осмьдесят мужей, обритыми брадами и растерзаными ризами, плачущеся, и дары и фимиам в руку их, еже внести в дом Господень.
Wanaume baadhi walikuja toka Shechem, toka Shiloh, na toka Samaria-wanaume semanini ambayo walikuwa wamenyoa ndevu zao, walirarua nguo zao, na kujikata wenyewe- pamoja na chakula cha sadaka na ubani katika mikono yao kwenda kwa nyumba ya Yahwe.
6 И изыде противу им Исмаил сын Нафаниев от Массифы: тии же идяху и плакахуся: и егда сретеся с ними, рече к ним: внидите ко Годолии.
Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, “Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikam!”
7 И бысть, вшедшым им среде града, изсече я Исмаил у кладязя, той и мужие, иже беша с ним.
Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeil mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye.
8 И обретошася десять мужей ту и реша Исмаилу: не убий нас, яко суть нам имения на нивах, пшеница и ячмень, и мед и масло. И мину их и не уби их посреде братий их.
Lakini palikuwa na wanaume kumi miongoni mwao ambao walisema kwa Ishmael, “Usituue, kwa kuwa kuna riziki zetu kwenye shamba: ngano na shayiri, mafuta na asili” Kwa hiyo hakuwauwa pamoja na rafiki zao wengine.
9 И кладязь, в оньже вверже Исмаил вся, яже изби, сей кладязь велик есть, егоже сотвори царь Аса, от лица Ваасы царя Израилева, сей наполни Исмаил убиенными.
Kisima ambacho Ishmael alitupa miili yote ya waliokufa ambaye yeye na Gedalia waliwapiga, kilikuwa ni kilekile ambacho mfalme Asa alichimba wakati alipokuwa akivamiwa na mfalme Baasha wa Israel. Ishmael mwana wa Nethania alilijaza wale ambao walikuwa wameuawa.
10 И обрати Исмаил вся люди оставшыя в Массифафе и дщери царевы, яже вручил архимагир Годолии сыну Ахикамову, и взя их Исмаил сын Нафань: и отиде на ону страну сынов Аммоних.
Badae Ishmael aliwashika watu wengine wote ambao walikuwa huko Mizpa, mabinti wa mfalme na watu wote ambao walikuwa wameachwa huko Mizpa ambayo Nebuzaradani mlinzi mkuu alikuwa amewakabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikam. Basi Ishmael mwana wa Nethania aliwashika na kuvuka kwa watu wa Ammon.
11 И слыша Иоанан сын Кариев и вси воеводы силы, иже с ним, вся злая, яже сотвори Исмаил сын Нафаниев,
Lakini Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi pamoja naye walisikia madhara yote ambayo Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amefanya.
12 и приведоша вся воя своя и идяху воевати нань, и обретоша его при воде мнозе во Гаваоне.
Basi waliwachukua wanaume wao na kwenda kupigana dhidi ya Ishmanel mwana wa Nethania. Walipigana naye huko kwenye kisima kuu cha Gibeoni.
13 И бысть, егда увидеша вси людие, иже со Исмаилом, Иоанана сына Кариева и вся воеводы силы, иже быша с ним, возрадовашася:
Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
14 и возвратишася вси людие, ихже плени Исмаил от Массифы, и возвратившеся отидоша ко Иоанану сыну Кариеву.
Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
15 Исмаил же уцеле со осмию мужи от лица Иоананя и иде ко сыном Аммоним.
Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
16 И взя Иоанан и вси воеводы силы, иже с ним, вся оставшыяся люди, ихже возврати от Исмаила сына Нафаня из Массифафа, повнегда уби Годолию, сына Ахикамля, мужы сильны на рати, и жены, и останки, и каженики, ихже обрати от Гаваона,
Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi pamoja naye walichukua toka Mizpa watu wote ambao walikuwa wameokolewa kutoka kwa Ishmael mwana wa Nethania. Hii ilikuwa baada ya Ishmael kuwa amemuuwa Gedalia mwana wa Ahikam. Yonathan na rafiki zake walichukua wanaume shujaa, wanaume wapiganaji, wanawake na watoto, na mtoashi ambaye alikuwa ameokolewa huko Gibeoni.
17 и идоша, и седоша на земли Вирофоамли, яже ко Вифлеему, еже ити и внити во Египет от лица Халдейска: понеже убояшася от лица их:
Kisha walienda na kubaki kwa muda huko Geruthi Chimham, ambayo iko karibu Bethelemu. Walikuwa wakienda Misri
18 яко уби Исмаил Годолию, егоже постави царь Вавилонский на земли Иудине.
kwa sababu ya Wakaldayo. Walikuwa wakiwaogopa kwani Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amemua Gedalia mwana wa Ahikam, ambaye mfamle wa Babeli amewekwa kwenye usimamizi wa nchi.

< Книга пророка Иеремии 41 >