< Книга пророка Иеремии 22 >

1 Сия рече Господь: иди и вниди в дом царя Иудина и рцы тамо слово сие,
Bwana asema hivi, “Nenda kwenye nyumba ya mfalme wa Yuda, utangaze neno hili huko.
2 и речеши: слыши слово Господне, царю Иудин, иже седиши на престоле Давидове, ты и дом твой, и раби твои и людие твои и входящии дверьми сими:
Ukaseme, 'Ewe Mfalme wa Yuda, wewe aliyeketi kiti cha Daudi, usikilize neno la Bwana. Nisikilizeni, enyi watumishi wake, na ninyi, watu wake mnaokuja kwa malango haya.
3 сия глаголет Господь: творите суд и правду, и избавите силою угнетена от руку обидящаго и, и пришелца и сира и вдовицы не оскорбляйте, не угнетайте беззаконно, и крове неповинныя не изливайте на месте сем.
Bwana asema hivi, “Fanya haki na uadilifu, na mtu yeyote ambaye ameibiwa-muokoeni kutoka mkononi mwa mshindani. Usimtendee mabaya mgeni yeyote katika nchi yako, au yatima au mjane. Usifanye vurugu au kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa.
4 Аще бо творяще сотворите слово сие, то внидут вратами дому сего царие седящии на престоле Давидове и вседающии на колесницы и на кони, тии и раби их и людие их.
Kwa kuwa mkifanya mambo hayo, basi wafalme wanaoketi kiti cha Daudi wataingia milango ya nyumba hii wakiendesha gari na farasi, yeye, watumishi wake, na watu wake!
5 Аще же не послушаете словес сих, Сам Собою закляхся, рече Господь, яко в пустыню будет дом сей.
Lakini ikiwa hamsikilizi maneno haya kutoka kwangu ambayo nimeyasema-hili ndilo tamko la Bwana-basi nyumba hii ya kifalme itaharibiwa.'”
6 Понеже тако глаголет Господь на дом царя Иудина: Галаад ты Мне, глава Ливанская, аще не поставлю тебе в пустыню, во грады необитанны,
Kwa maana Bwana asema hivi juu ya nyumba ya mfalme wa Yuda, “Wewe uko kama Gileadi, au kama kilele cha Lebanoni kwangu. Hata hivyo nitakugeuza kuwa jangwa, katika miji isiyo na wenyeji.
7 и наведу на тя убивающа мужа и секиру его, и посекут избранныя кедры твоя и вергут на огнь.
Kwa kuwa nimewaagiza waharibifu kuja juu yenu! Watu wenye silaha zao watakata mierezi yako iliyo bora na kuiacha kuanguka kwenye moto.
8 И пройдут языцы мнози сквозе град сей, и речет кийждо искреннему своему: вскую сотвори Господь тако граду сему великому?
Kisha mataifa mengi yatapita kwenye mji huu. Kila mtu atamwambia yule anayefuata, “Mbona Bwana amefanya hivi kwa jiji hili kuu?”
9 И отвещают: сего ради, яко оставиша завет Господа Бога своего и поклонишася богом чуждим и послужиша им.
Na mwingine atajibu, “Kwa sababu waliiacha agano la Bwana, Mungu wao, wakainama kwa miungu mingine, wakaiabudu.”
10 Не плачите мертваго, ниже рыдайте о нем: плачите плачем о исходящем, яко не возвратится ктому, ниже увидит земли рождения своего.
Usilie kwa ajili ya aliyekufa. Usiomboleze kwa ajili yake. Lakini mlilie mtu yeyote anayeingia kifungoni, kwa maana hatarudi tena kuiona nchi aliyozaliwa.'
11 Понеже сия рече Господь к Селлиму сыну Иосиину царю Иудину царствующему вместо Иосии отца своего, иже изшел есть от места сего: не возвратится ктому семо,
Maana Bwana asema hivi juu ya Yehoahazi, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, aliyekuwa mfalme badala ya Yosia babaye, 'ametoka mahali hapa, wala hatarudi.
12 но на месте том, аможе преведох его, тамо умрет и земли сея не узрит ктому.
Atakufa huko mahali ambapo walimchukua mateka, na hataiona tena nchi hii.'
13 Горе созидающему дом свой с неправдою и горницы своя не в суде, у негоже ближний его делает туне, и мзды его не воздаст ему:
Ole mtu yeyote anayejenga nyumba yake kwa uovu na vyumba vyake vya juu katika udhalimu; ambao wengine hufanya kazi, lakini hawalipwi.
14 иже рече: созижду себе дом пространен, и горницы широки со отверстыми окнами и своды кедровыми, и расписаны червленцем.
Ole mtu yeyote atakayesema, 'Nitajenga nyumba ndefu na vyumba vya juu vipana, na hujenga madirisha mapana, na kuta zenye mwerezi, na huipaka rangi nyekundu.'
15 Еда царствовати будеши, яко ты поощряешися о ахазе отце твоем? Не ядят, ниже пиют: лучше тебе было творити суд и правду благу.
Je, hii ndiyo inakufanya uwe mfalme mzuri, kwamba unataka kuwa na mbao za mwerezi? Je baba yako hakula na kunywa, lakini lakini alifanya hukumu na haki? Kisha mambo yakawa mazuri kwa ajili yake.
16 Не познаша, не судиша суда смиренных, ниже суда нища: не сие ли тебе есть, еже не знати тебе Мене, рече Господь?
Alihukumu maneno ya masikini na mhitaji. Ilikuwa vizuri. Je, huku siko kunijua mimi? - hili ni tamko la Bwana.
17 Се, не суть очи твои, ниже сердце твое благо, но к сребролюбию твоему и крове неповинныя пролиянию, и ко обидам и ко убийству, еже творити я.
Lakini hakuna kitu machoni na moyoni mwako isipokuwa wasiwasi kwa faida yako isiyo ya haki na kwa kumwaga damu isiyo na hatia, kwa ukandamizaji kuwatendea jeuri wengine.
18 Сего ради сия рече Господь ко Иоакиму сыну Иосиину царю Иудину: горе мужу сему, не оплачут его: горе, брате! Ниже возрыдают о нем: увы мне, господине!
Kwa hiyo Bwana asema hivi juu ya Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Hawatamwomboleza wakisema 'ole, ndugu yangu! au 'Ole, dada yangu!' Hawataomboleza kwa kusema 'Ole, bwana! ' au 'ole, utukufu!'
19 Погребением ослим погребется, влачимь извержен будет вне врат Иерусалима.
Atazikwa maziko ya punda, ataburuzwa mbali na kutupwa nje ya milango ya Yerusalemu.
20 Взыди на Ливан и возопий, и в Васан даждь глас твой, и возопий на он пол моря, яко сотрени суть вси любовнии твои.
Panda milima ya Lebanoni piga kelele. Paza sauti yako Bashani. Piga kelele kutoka kwenye milima ya Abarimu, kwa maana marafiki zako wote wataharibiwa.
21 Глаголах к тебе в падении твоем, и рекл еси: не услышу. Сей путь твой от юности твоея, яко не послушал еси гласа Моего.
Nilinena nawe wakati ulioko salama, lakini ukasema, 'Sitasikia.' Hii ilikuwa desturi yako tangu ujana wako, kwani hukusikiliza sauti yangu.
22 Всех пастырей твоих упасет ветр, и любовнии твои во пленение пойдут, и тогда постыдишися и посрамишися от всех любящих тя:
Upepo utawalisha wachungaji wako wote, na marafiki zako watakwenda kufungwa. Hakika wewe utakuwa na aibu na kufadhaika kwa matendo yako yote mabaya.
23 иже седиши в Ливане и гнездишися в кедрех, возстенеши, егда приидут к тебе болезни, яко раждающия.
Wewe mfalme, wewe ambaye huishi katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni, wewe aliyefanya kiota kati ya mierezi, utakuwa na hali ya kuhurumiwa utakapopata utungu kama wakati wa kuzaa.”
24 Живу Аз, рече Господь, аще будет Иехониа сын Иоакима царь Иудин, перстень на руце десней Моей, оттуду исторгну тя
“Kama mimi niishivyo-hili ndilo tamko la Bwana-hata kama wewe, Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, ulikuwa alama ya mkono wangu wa kulia, ningekuangusha.
25 и предам тя в руки ищущих души твоея и в руки, ихже ты боишися лица, и в руки Навуходоносора царя Вавилонска и в руки Халдеом,
Kwa kuwa nimewatia mikono ya wale wanaotaka uhai wenu na kwenye mkono wa wale ambao mnawaogopa, hata mkononi mwa Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Wakaldayo.
26 и отвергу тя и матерь твою, яже роди тя, в землю чужду, в нейже несте рождени, и тамо умрете:
Nitawatupa wewe na mama yako aliyekuzaa katika nchi nyingine, nchi ambayo hujazaliwa, na huko utakufa.
27 а в землю, в нюже тии желают душами своими возвратитися, не возвратятся.
Na kuhusu eneo hili ambalo watataka kurudi, hawatarudi hapa.
28 Обезчестися Иехониа, аки сосуд непотребен, яко отриновен бысть той и семя его, и извержен в землю, еяже не ведяше.
Je! Hiki ni chombo kilichodharauliwa na kilichopasuka? Je, Konia ni chombo kilichodharauliwa? Kwa nini wamemtupa yeye na wazao wake, kumpeleka katika nchi wasiyoijua?
29 Земле, земле, земле, слыши слово Господне!
Ee Ardhi, Ardhi, Ardhi! Sikieni neno la Bwana!
30 Сия рече Господь: напиши мужа сего отвержена, мужа, иже во днех своих не предуспеет: ниже бо будет от семене его муж, иже сядет на престоле Давидове, и власть имеяй ктому во Иуде.
Bwana asema hivi, 'Andika juu ya mtu huyu Konia Yeye hatakuwa na mtoto. Hatafanikiwa wakati wa siku zake, wala hakuna hata mmoja kati ya uzao wake atakayefanikiwa au kuketi tena kwenye kiti cha Daudi na kutawala juu ya Yuda.'”

< Книга пророка Иеремии 22 >