< Книга пророка Иеремии 17 >

1 Грех Иудин написан есть писалом железным на ногти адамантове, начертан на скрижали сердца их и на розех олтарей их.
“Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma yenye ncha ya almasi. Imechongwa kwenye kibao cha mioyo yao na kwenye pembe za madhabahu zako.
2 Егда воспомянут сынове их олтари своя и дубравы своя при древе лиственне и на холмех высоких,
Watoto wao wanakumbuka madhabahu zao na miti yao ya Ashera kwa miti ya majani kwenye milima mirefu.
3 о, нагорный (жителю)! Крепость твою и сокровища твоя в расхищение дам, и высокая твоя, грех ради твоих, яже во всех пределех твоих,
Mlima wangu katika nchi ya wazi na mali yako yote pamoja na hazina zako zote, nitakupa kama nyara kwa wengine. Hiyo ndiyo thamani ya maeneo yako ya juu na dhambi iliyo katika maeneo yako yote.
4 и останешися един от наследия твоего, еже дах тебе: и служити тя сотворю врагом твоим в земли, еяже не веси: яко огнь разжегл еси в ярости Моей, даже во век горети будет. Сия глаголет Господь:
Utapoteza urithi niliokupa. Nitakutumikisha kwa adui zako katika nchi ambayo hujui, kwa maana umewasha moto katika ghadhabu yangu, ambao utakawaka milele.”
5 проклят человек, иже надеется на человека и утвердит плоть мышцы своея на нем, и от Господа отступит сердце его:
Bwana asema, “Mtu anayemtegemea mwanadamu amelaaniwa; amfanyaye mwanadamu kuwa nguvu yake na kugeuza moyo wake mbali na Bwana.
6 и будет яко дивия мирика в пустыни и не узрит, егда приидут благая, и обитати будет в сухоте и в пустыни, в земли сланей и необитаемей.
Kwa maana atakuwa kama msitu mdogo katika Araba na hawezi kuona kitu kizuri kikija. Atakaa katika maeneo ya mawe jangwani, nchi isiyokuwa na wakazi.
7 И благословен человек, иже надеется на Господа, и будет Господь упование его:
Lakini mtu anayemtegemea Bwana amebarikiwa, kwa kuwa Bwana ndiye tumaini lake.
8 и будет яко древо насажденное при водах, и во влаге пустит корение свое: не убоится, егда приидет зной, и будет на нем стеблие зелено, и во время бездождия не устрашится и не престанет творити плода.
Kwa maana atakuwa kama mmea karibu na maji kando ya mto; mizizi yake itaenea. Hawezi kuona joto likija, kwa kuwa majani yake yatakuwa mabichi. Kisha mwaka wa ukame hawezi kuwa na wasiwasi, wala hataacha kuzalisha matunda.
9 Глубоко сердце (человеку) паче всех, и человек есть, и кто познает его?
Moyo ni mdanganyifu zaidi kuliko kitu kingine chochote. Una mgonjwa; ni nani anayeweza kuelewa?
10 Аз Господь испытуяй сердца и искушаяй утробы, еже воздати комуждо по пути его и по плодом изобретений его.
Mimi ni Bwana, ninayechunguza akili, ambaye hujaribu viuno. Ninampa kila mtu kulingana na njia zake, kulingana na matunda ya matendo yake.
11 Возгласи ряб, собра, ихже не роди, творяй богатство свое не с судом: в преполовении дний своих оставит е и на последок свой будет безумен.
kama Kware akusanyaye mayai asiyotaga. Mtu anaweza kuwa tajiri kwa udhalimu, lakini wakati nusu ya siku zake ukipita, utajiri huo utamuacha, na mwishowe atakuwa mpumbavu.”
12 Престол славы возвышен от начала, место святыни нашея.
“Mahali pa hekalu letu ni kiti cha enzi cha utukufu, kilichoinuliwa tangu mwanzo.
13 Чаяние Израилево, Господи! Вси оставляющии Тя да постыдятся, отступающии (от Тебе) на земли да напишутся, яко оставиша источник живых вод, Господа.
Bwana ni tumaini la Israeli. Wote ambao wanakuacha watakuwa na aibu. Wale walio katika nchi ambao wanageuka kutoka kwako watauliwa. Kwa maana wamwacha Bwana, chemchemi ya maji yaliyo hai.
14 Изцели мя, Господи, и изцелею: спаси мя, и спасен буду, яко хвала моя Ты еси.
Niponye, Bwana, na mimi nitaponywa! Niokoe mimi, nami nitaokolewa. Kwa maana wewe ndio wimbo wangu wa sifa.
15 Се, тии глаголют ко мне: где есть слово Господне? Да приидет.
Tazama, wananiambia, 'Neno la Bwana liko wapi? Hebu lije!'
16 Аз же не утрудихся, Тебе (пастырю) последуяй, и дне человеча не пожелах: Ты веси исходящая от устен моих, пред лицем Твоим суть:
Mimi sikuwahi kuacha kuwa mchungaji nyuma yako. Sikuitamani siku ya maafa. Unajua yaliyotoka mdomoni mwangu. Yalifanyika mbele ya uwepo wako.
17 не буди ми во отчуждение, упование мое Ты в день лют.
Usiwe sababu ya hofu kwangu. Wewe ni kimbilio langu siku ya msiba.
18 Да постыдятся гонящии мя, аз же да не постыждуся: да устрашатся тии, аз же да не устрашуся: наведи на них день озлобления, сугубым сокрушением сотри их.
Waaibike watu wanaoniudhi, lakini nisiaibike mimi. Wataogopa, lakini usiache nifadhaike. Tuma siku ya maafa dhidi yao na kuwaangamiza maradufu.”
19 Сия глаголет Господь ко мне: иди и стани во вратех сынов людий твоих, имиже входят царие Иудины и исходят, и во всех вратех Иерусалимских и речеши к ним:
Bwana akaniambia hivi: “Nenda ukasimame katika lango la watu ambako wafalme wa Yuda wanaingia na kutoka, basi katika malango mengine yote ya Yerusalemu.
20 слышите слово Господне, царие Иудины и вся Иудеа и весь Иерусалим, входящии во врата сия.
Uwaambie, 'Sikieni neno la Bwana, wafalme wa Yuda, na ninyi watu wote wa Yuda, na kila mtu wa Yerusalemu atakayeingia kwa njia ya malango haya.
21 Сия глаголет Господь: сохраните душы вашя и не носите бремен в день суббот, и не исходите враты Иерусалима,
Bwana asema hivi: “Jihadharini kwa ajili ya maisha yenu na msichukue mzigo siku ya sabato ili muilete katika malango ya Yerusalemu.
22 и не износите бремен из домов ваших в день субботный, и всякаго дела не творите: освятите день субботный, якоже заповедах отцем вашым:
Wala msilete mzigo nje ya nyumba zenu siku ya sabato. Msifanye kazi yoyote, lakini muitenge siku ya Sabato, kama nilivyowaagiza wazee wako kufanya.'”
23 и не услышаша, ни приклониша уха своего, но ожесточиша выи своя паче отец своих, да не услышат мя и да не приимут наказания.
Hawakusikiliza wala kutaega masikio yao, lakini walifanya shingo zao kuwa ngumu ili wasinisikilize wala kukubali maonyo.
24 И будет, аще послушаете Мене, глаголет Господь, еже не вносити бремен во врата града сего в день субботный, и святити день субботный, не творити в онь всякаго дела,
Itatokea kwamba ikiwa mtanisikiliza kweli-hili ndilo tamko la Bwana-na msilete mzigo kwenye malango ya jiji hili siku ya sabato lakini badala yake mkatenga siku ya sabato kwa Bwana na msifanye kazi yoyote juu yake -
25 и внидут во врата града сего царие и началницы, седящии на престоле Давидове и восходящии на колесницах и конех своих, тии и началницы их, мужие Иудины и обитателие Иерусалима: и обитати будут во граде сем во веки:
basi wafalme, wakuu, na wale wanaokaa kiti cha Daudi wataingia malango ya mji huu kwa magari na farasi, wao na viongozi wao, watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu. Na mji huu utakaa milele.
26 и приидут от градов Иудиных и от окрестных Иерусалима, и от земли Вениамини и от польных, и от горних и от юга, носяще всесожжения и жертву, и фимиам и манау и ливан, носяще хвалу в дом Господень.
Watakuja kutoka miji ya Yuda na kutoka pande zote za Yerusalemu, kutoka nchi ya Benyamini na visiwa vya chini, kutoka milimani na kutoka kaskazini, wakileta sadaka za kuteketezwa, dhabihu, sadaka za nafaka na ubani, sadaka za shukrani kwenye nyumba ya Bwana.
27 И будет, аще не послушаете Мене еже святити день субботный и не носити бремен, ниже входити вратами Иерусалима в день субботный, то зажгу огнь во вратех его, и пожрет домы Иерусалимли и не угаснет.
Lakini ikiwa hamtasikiliza-kutakasa siku ya Sabato, kutochukua mizigo nzito, wala msiingie milango ya Yerusalemu siku ya sabato, nitawasha moto katika malango yake, nao utaangamiza majumba kuteketeza ngome za Yerusalemu, na hauwezi kuzimika.

< Книга пророка Иеремии 17 >