< Книга пророка Исаии 59 >
1 Еда не может рука Господня спасти? Или отягчил есть слух Свой, еже не услышати?
Tazama, mkono wa Yahwe sio mfupi ambao hautweza kukuokoa wewe; wala sikio lake sio zito, ambalo haliwezi kusikia.
2 Но греси ваши разлучают между вами и между Богом, и грех ради ваших отврати лице Свое от вас еже не помиловати.
Matendo yako ya dhambi, hata hivyo, zimekutenga wewe na Mungu, na dhambi zenu zimemfanya aufiche uso wake msimuone wala kumsikia yeye.
3 Руце бо ваши осквернене кровию, и персты ваши во гресех, устне же ваши возглаголаша беззаконие, и язык ваш неправде поучается.
Maana mikono yenu ina madoa ya damu na vidole vyenu vimejaa dhambi. Midomo yenu inazungumza uongo na ulimi wenu unazungumza kwa nia mbaya.
4 Никтоже глаголет правды, ниже есть суд истинен: уповают на суетная и глаголют тщетная, яко зачинают труд и раждают беззаконие.
Hakuna hata mmoja aitae haki, na hakuna anayewasihi kesi yake katika haki. Wanayamini maneno yasiyo ya haki, maneno ya uongo; wanashika matatizo na kuzaa dhambi.
5 Яица аспидска разбиша и постав паучинный ткут, и хотяй от яиц их ясти, разбив запорток (его), обрете и в нем василиска.
Wanetotoa mayai ya nyoka wenye sumu na hufuma mtandao wa buibui. Yeyote alaye mayai yake atakufa, na ikiwa yai litavunjika, litatotoa nyoka mwenye sumu.
6 Постав их не будет на ризу, и не одеждутся от дел своих: дела бо их дела беззакония.
Mitando yao haitatumika kama mavazi, wala hawawezi kujifukia wenyewe kwa kazi yao. Kazi zao ni kazi za dhambi, na matendo ya vurugu yako mikononi mwao.
7 Нозе же их на зло текут, скори пролияти кровь, и мысли их мысли о убийствах: сокрушение и бедность во путех их,
Miguu yao inakimbilia uovu, na wanakimbilia kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo ya dhambi; vurugu na uharibifu ndio njia yao.
8 и пути мирнаго не познаша, и несть суда во путех их: стези во их развращены, по нихже ходят и не ведят мира.
Njia ya amani hawaijuyui, na hakuna haki katika njia zao. Wametengeneza njia njia zlizopotoka; yeyote atakaye safiri kupitia njia hizi njia hizi hazijui amani.
9 Того ради отступи от них суд, и не постигнет их правда: ждущым им света, бысть им тма, ждуще зари во мраце ходиша.
Hivyo basi haki iko mbali a sisi, wala haki haijatufikia sisi. Tunasubiri mwanga tunaona giza; tunatafuta mwangaza, lakini tunatembea gizani. Tunapapasa kwenywe ukuta kama kipofu, kama wale wasiona,
10 Осяжут яко слепии стену, яко суще без очес осязати будут, и падутся в полудни яко в полунощи, яко умирающе возстенут
Tuna mashaka mchana kweupe kama kwenye mwanga unaofifia; miongoni mwa wenye nguvu tuko kama watu waliokufa.
11 яко медведь, и яко голубь вкупе пойдут. Ждахом суда, и несть, спасение далече отступи от нас.
Sisi tunaunguruma kama dubu na kuomboleza kama njiwa; tunasubiria haki, lakini hakuna kitu; kwa ukombozi, lakini uko mbali na sisi.
12 Много бо беззаконие наше пред Тобою, и греси наши противу сташа нам: беззакония бо наша в нас, и неправды нашя уразумехом:
Maana makosa yetu mengi yako mbele zako, na dhambi zetu zinatushuhudia sisi; maana makosa yako pamoja na sisi.
13 нечествовахом и солгахом и отступихом от последования Бога нашего: глаголахом неправду и не покорихомся, во утробе зачахом и поучихомся от сердца нашего словесем неправедным:
Tumeaasi, kumkana Yahwe na kuacha kumfuata Mungu. Tulizungumzia ulafi kujeuka nyuma, na kuanza kulalamika kutoka moyoni na maneno ya uongo.
14 и оставихом созади суд, и правда далече отступи от нас: яко изнеможе во путех их истина, и правым (путем) не возмогоша прейти:
Haki imerudishwa nyuma, wenye haki wamesimama mbali sana; maana ukweli uko mashakani katika mraba wa umma, haki haiwezi kuja.
15 и истина взяся, и преставиша ум свой еже смыслити. И виде Господь и негодова, яко не бяше суда:
Waaminifu wamenda zao, na yeyote anayegeuka mbali na maovu anajiathiri mwenyewe. Yahwe aliliona hilo na hakupendezwa maana hakuna haki.
16 и виде, и не бяше мужа, и помысли, и не бяше избавляющаго: и мсти им мышцею Своею, и помилованием утверди.
Aliona kwamba hakuna mtu, na akastaajabu kwamba hakuna mtu wa kuoma. Hivyo basi mkono wake uliletao wakovu kwake, na haki yake unamtosheleza yeye.
17 И одеяся правдою яко щитом, и возложи шлем спасения на главу, и облечеся в ризу отмщения, и одеждею Своею:
Huivaa haki kama ngao kifuani na kofia ya chuma ya wokovu kichwani mwake. Anajivika mwenyewe kwa mavazi ya kisasi na kuvaa vazi la bidii.
18 яко воздаваяй воздаяние укоризну супостатом.
Analipa tena kwa kilichotokea, hukumu ya hasira kwa adui zake na kwa adui atairidisha adhabu ya kisiwa kama zawadi yao.
19 И убоятся, иже от запад, имене Господня, и иже от восток солнца, имене Его славнаго: приидет бо яко река насильная гнев от Господа, приидет со яростию.
Hivyo wataliogopa jina la Yahwe kutoka magharibi na utukufu wake kutoka mashariki; maana atakuja kama mkondo wa mto, inaendeshwa na pumzi ya Yahwe.
20 И приидет Сиона ради Избавляяй, и отвратит нечестие от Иакова.
Mkombozi atakuja Sayuni na wale watkaojeuka kutoka matendo yao ya uasi katika nyumba ya Yakobo- Hili ni tamko la Yahwe.
21 И сей им иже от Мене завет, рече Господь: Дух Мой, иже есть в тебе, и глаголголы, яже Аз дах во уста твоя, не оскудеют от уст твоих и от уст семене твоего: рече бо Господь отныне и во век.
Na kama mimi, hili ni agano langu pamoja nao- asema Yahwe- Roho yangu iliyo juu yenu, na maneno yangu niliyoyaweka kinywani mwenu, hayataondoka midomo mwenu au kuodoka mbali na midomo wajukuu wenu, au kwenda mbali asema Yahwe- kuanziia sasa na hata milele.''