< Книга пророка Исаии 58 >
1 Возопий крепостию и не пощади: яко трубу возвыси глас твой и возвести людем Моим грехи их и дому Иаковлю беззакония их.
''Lia kwa sauti; usinyamaze. Paza sauti yako juu kama mbiu. Kabiliana na watu wangu wenye uasi, na nyumba ya Yakobo na dhambi zao.
2 Мене день от дне ищут и разумети пути Моя желают, яко людие правду сотворившии и суда Бога своего не оставившии: просят ныне у Мене суда праведна и приближитися ко Господу желают, глаголюще:
Bali wananitafuta mimi kila siku na kufurahia katika maarifa ya njia zangu, kama taifa linalotenda haki na hawakuiacha sheria ya Mungu wao. Wananiuliza mimi kuhusu hukumu ya haki; wamepata furaha katika mawazo yao ya kwa kumkaribia Mungu
3 что яко постихомся, и не увидел еси? Смирихом душы нашя, и не уведел еси? Во дни бо пощений ваших обретаете воли вашя, и вся подручныя вашя томите:
Kwa niini tulifunga; walisema, 'Lakini hamkuona hilo? Kwa nini tulijinyenyekeza wenywe, lakini hakutambua?' Tazama, siku ya kufunda kwanu utatafuta furaha yanu mwenyewe na kuwanyanyasa wafanyakazi wenu wote.
4 аще в судех и сварех поститеся и биете пястьми смиреннаго, вскую Мне поститеся якоже днесь, еже услышану быти с воплем гласу вашему?
Tazama, ninyi mnafunga ili muwe wepesi wa kugombana na kupigana, na kupiga kwa ngumi ya uovu wako; haujafunga leo kuifanya sauti yako isikike juu.
5 Не сицеваго поста Аз избрах и дне, еже смирити человеку душу свою: ниже аще слячеши яко серп выю твою, и вретище и пепел постелеши, ниже тако наречете пост приятен.
Kwa uhalisi aina ya mfungo huu ndio ambao ninauhitaji: Siku ambayo kila mtu hunyenyekea mwenyewe, huinamisha kichwa chake chini kama mwanzi, na hutawanya mavazi ya magunia na majivu chini yake? Je kweli unauita huu ni mfungo, siku ya kumfurahisha Yahwe?
6 Не таковаго (бо) поста Аз избрах, глаголет Господь: но разрешай всяк соуз неправды, разрушай обдолжения насильных писаний, отпусти сокрушенныя во свободу и всякое писание неправедное раздери:
Hii sio mfungo ambao niliuchagua mimi: kufungua vifungo vya waovu, kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioangamizwa, na kuharibu kila nira?
7 раздробляй алчущым хлеб твой и нищыя безкровныя введи в дом твой: аще видиши нага, одей, и от свойственных племене твоего не презри.
Sio kwamba kula mkate na wenye njaa na kuwaleta masikini na kuwaleta wasio na makazi katika nyuma yako?'' Unapomuana mtu yuko uchi, unatakiwa vumvishe mavazi; na usijifiche mwenyewe na ndugu zako.
8 Тогда разверзется рано свет твой, и изцеления твоя скоро возсияют, и предидет пред тобою правда твоя, и слава Божия оымет тя.
Halafu mwanga wako utafunguliwa kama jua, na uponyaji wako utachipukia juu kwa haraka; haki yako itaenda mbele zake, na na utukufu wa Yahwe utakuwa nyuma kukulinda.
9 Тогда воззовеши, и Бог услышит тя, и еще глаголющу ти, речет: се, приидох. Аще отимеши от себе соуз и рукобиение и глагол роптания
Halafu utamuita, na Yahwe atakuitikia; utalia ukihitaji msaada, na atasema, ''Nipo hapa.'' Ikiwa utaitoa nira isiwepo miongoni mwako, kidole kinachoshataki, maongezi ya waovu,
10 и даси алчущему хлеб от души твоея и душу смиренную насытиши, тогда возсияет во тме свет твой, и тма твоя будет яко полудне,
Ikiwa wewe mwenyewe utawapa wenye njaa na kuwaridhisha wahitaji katika shida, na giza lako litakuwa kama mchana.
11 и будет Бог твой с тобою присно: и насытишися, якоже желает душа твоя, и кости твоя утучнеют, и будут яко вертоград напоен, и яко источник, емуже не оскуде вода: и кости твоя прозябнут яко трава, и разботеют, и наследят роды родов.
Halafu Yahwe ataendelea kuwaongoza ninyi na kuwa ridhisha ninyi katika mikoa ambayo hakuna maji, Ataimarisha mifupa yenu. Mtakuwa kama bustani iliyonyeshewa maji, na kama mkondo wa maji, ambaopo maji yake hayapungui.
12 И созиждутся пустыни твоя вечныя, и будут основания твоя вечная родом родов: и прозовешися здатель оград, и стези твоя посреде упокоиши.
Baadhi yenu mtajenga tena sehumu za kale zilizoharibiwa; mtatengeneza sehemu zilizoharibiwana vizazi vingi; na mtaitwa ''Mrekebishaji wa ukuta,'' kuwarejesha katika mtaa ya kuishi.''
13 Аще отвратиши ногу твою от суббот, еже не творити хотений твоих в день святый, и прозовеши субботы сладостны, святы Богови твоему: не воздвигнеши ноги своея на дело, ниже возглаголеши словесе во гневе из уст твоих,
Tuseme kwamba ukigeuza nyuma miguu yenu kutoka safarini katika siku ya sabato, kufanya anasa siku yangu takatifu, Tuseme kwamba umeiita sabato siku ya furaha, na umeiita siku ya Bwana Yahwe mtakatifu na yenye kuheshimiwa. Tuseme kwamba unahieshimu sabato kwa kuacha biashara zako, na hautafuti anasa zako mwenyewe na uzungumzi maneno yako mwenyewe.
14 и будеши уповая на Господа, и возведет тя на благоты земныя, и ухлебит тя наследием Иакова отца твоего: уста бо Господня глаголаша сия.
''Halafu utapata furaha kwa Yahwe; na nitaifanya safari yako juu ya urefu wa nchi; Nitakulisha wewe kwenye urithi wa Yakobo baba yenu- maana mdomo wa Yahwe umezungumza.''