< Книга пророка Исаии 47 >
1 Сниди, сяди на земли, дево, дщи Вавилоня, вниди во тму, дщи Халдейска, яко не приложиши ксему прозыватися мягка и юна.
Njoo chini na ukae kwenye mavumbi, binti bikira wa Babeli; kaa juu ya aridhi pasipo enzi, ewe binti wa Wakaldayo. Hautaitwa tena mpenda anasa na maisha ya anasa.
2 Возми жерновы, мели муку, открый покрывало твое, открый седины, возсучи голени, прейди реки:
Chukua jiwe la kusagia na usage unga; ondoa pazia lako, ondoa mavazi yako, ondoa viatu miguuni, na vuka mkondo wa maji.
3 открыется студ твой, явятся укоризны твоя, праведное от тебе возму, ктому не предам человеком.
Uchi wako utafunuliwa, ndio, na aibu yako itaonekana; Nitachukua kizazi na sitamuacha mtu,
4 Рече Избавивый тя Господь Саваоф, имя Ему Святый Израилев:
Mkombozi, Yahwe wa majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
5 сяди умилена, вниди во тму, дщи Халдейска, ксему не прозовешися крепость царства.
Kaa kimya na nenda katika giza, ewe binti wa Wakaldoyo; maana hautaitwa tena malikia wa falme.
6 Разгневахся на люди Моя, осквернила еси наследие Мое: Аз вдах я в руку твою, ты же не дала им милости, старчий ярем отягчила еси зело
Nilikuwa na hasira na watu wangu; Nimeunajisi urithi wangu na kuwakabidhi nyie katika mkono wenu, lakini hamkuomyesha huruma; umeweka nira kubwa kwa wazee.
7 и рекла еси: в век буду владычица: не помыслила еси сих в сердцы твоем, ниже помянула еси последних:
Umesema, ''Nitaongoza daima kama malikia huru.'' Haukuvichukua vitu hivi katika moyo, wala hakutafakari jinsi hivi vitu vitakavyojeuka.
8 ныне же слыши сие, юная, седящая, уповающая, глаголющая в сердцы своем: аз есмь, и несть иныя, не сяду вдовою и не познаю сиротства.
Hivyo sasa sikiliza hili, Ewe upendae anasa na kukaa salama; ewe usemae katika moyo wako, 'Ninaishi, na hakuna mwingine kama mimi; Sitakaa kama mjane wala sitazoea kufiwa na watoto.
9 Ныне же приидут на тя два сия внезапу во един день, безчадие и вдовство внезапу приидет на тя, в волшебстве твоем и в крепости волхвов твоих зело,
''Lakini vitu hivi vitakuja kwako siku moja katika kipindi cha siku moja; kwa nguvu za kutosha yatakuja kwako, japo uchawi wako na dua zako na hirizi.
10 в надеянии злобы твоея: ты бо рекла еси: аз есмь, и несть иныя: увеждь, яко смышление сих и блужение твое будет тебе срам: и рекла еси сердцем своим: аз есмь, и несть иныя.
Umeweka imani katika mapungufu yako; na kusema, ''Hakuna anayeniona mimi''; hekima na maarifa yako yanakupoteza, lakini unasema katika moyo wako, ''Nipo na hakuna hata mmoja kama mimi.''
11 И приидет на тя пагуба, и не увеси, пропасть, и впадеши в ню: и приидет на тя печаль, и не возможеши чиста быти: и приидет на тя внезапу пагуба, и не увеси.
Maafa yatakuzidi wewe; hautaweza kuyaondoa kwa dua zako mwenyewe. Uharibifu utakuwa juu yako; hautaweza kuukata. Maafa yatakuangamiza ghafla, kabla haujajua kitu.
12 Стани ныне с волхвы твоими и со многими чары твоими, имже научилася еси из юности твоея, аще возмогут ти помощи.
Endeleni kutoa uganga wako na wachawi wengi ambao mlioaminishwa kusoma toka utotoni mwao; labda utafanikiwa, labda utayashinda maafa.
13 Утрудилася еси в советех твоих: да станут ныне и спасут тя звездочетцы небесе, смотряющии звезд, да возвестят ти, что имать на тя приити.
Umejaribu sana kwa kushauriwa sana; waache hao watu wasimame na kukuokoa wewe- wale wanaoangalia mbingu na wanoangalia nyota, wale wanotangaza mwenzi mpya- waache wawaokoe nyie kutoka kwenye yaliyowapata.
14 Се, вси яко хврастие огнем погорят и не изимут души своея из пламене, понеже имаши углие огненное, сяди на них.
Tazama, watakuwa kama mabua. Moto utayachoma juu. Hayataweza kujisaidia yenyewe kutoka kwenye mkono wa moto. Hakuna makaa kuwapa joto wao na hakuna moto uliowekwa pembeni kwa ajili yao!
15 Сии будут тебе помощь: трудилася еси в преложении от юности, человек сам в себе прельстися, тебе не не будет спасения.
Hivi ndio wamekuwa kwako, wale unaofanya nao kazi, na unauza na kununua na wao toka ulipo kuwa mdogo, na wale wanaendelea kufanya mambo yao ya kijinga; na unapolia kuhitaji msaada, hakuna hata mmjoa ambaye atakukomboa wewe.''