< Книга пророка Исаии 26 >

1 В той день воспоют песнь сию в земли Иудейстей, глаголюще: се, град крепок, и спасение нам положит стену и ограждение.
Siku hiyo wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda: Tuna mji imara; Mungu amefanya wokovu katika kuta na ngome zake.
2 Отверзите врата, да внидут людие хранящии правду и хранящии истину,
Fungua lango, ili mataifa yenye haki yaweze na yenye kutunza imani yaweze kuingia ndani.
3 приемлющии истину и хранящии мир.
Akili mlionayo, mtamuhifadhi yeye katika amani kamili, maana anawamini ninyi.
4 Яко на тя надеянием надеяшася, Господи, во век, Боже великий, вечный,
Mwamini Yahwe daima; maana Yaha, Yahwe, ni mwamba wa milele.
5 иже смирив низвел еси живущыя в высоких: грады крепкия разориши и обнизиши я даже до земли.
Maana atawashusha wale wote wenye kiburi; mji ulio juu atushusha chini, ataushusha chini kwenye aridhi; na ataulinganisha na mavumbi.
6 И поперут я ноги кротких и смиренных.
Utakanyagwakanyagwa chini na miguu ya walio masikini na wahitaji.
7 Путь благочестивых прав бысть, и приуготован путь благочестивых.
Mapito ya mwenye haki yamenyooka, Wenye haki; mapito ya wenye haki umeyanyoosha.
8 Путь бо Господень суд: уповахом на имя Твое и память, еяже желает душа наша.
Ndio, kaika mapito ya hukumu yako, Yahwe, tunakusubiri wewe; jina lako na sifa zako ni matamanio yetu.
9 От нощи утренюет дух мой к Тебе, Боже, зане свет повеления Твоя на земли: правде научитеся, живущии на земли.
Nimekutamani wewe wakati wa usiku; ndio, roho iliyo ndani yangu ina kutafuta kwa bidii. Pindi hukumu yako itakapokuja duniani, wenyeji wa duniani watajua kuhusu haki.
10 Преста бо нечестивый: всяк, иже не научится правде на земли, истины не сотворит: да возмется нечестивый, да не видит славы Господни.
Na tuonyeshe upendeleo kwa waovu, lakini hawatajifunza haki. katika nchi ya wanyofu anatenda maovu na haoni ukuu wa Yahwe.
11 Господи, высока Твоя мышца, и не ведеша, разумевше же постыдятся: ревность приимет люди ненаказанныя, и ныне огнь супостаты пояст.
Yahwe, mkono wako umenyanyuliwa juu, lakini hawapati hizo taarifa. Lakini wataona bidii kwa watu na wataona aibu, kwa sababu idadi ya maadui watawatafuna.
12 Господи Боже наш, мир даждь нам, вся бо воздал еси нам.
Yahwe, utaleta amani kwetu, maana kweli, umekamilisha kazi zetu zote.
13 Господи Боже наш, стяжи ны: Господи, разве Тебе иного не вемы: имя Твое именуем.
Yahwe Mungu wetu, viongozi wengine badala yako wametutawala sisi; Lakini tunalitukuza jina lako.
14 Мертвии же живота не имут видети, ниже врачеве воскресят: сего ради навел еси и погубил еси, и взял еси всяк мужеск пол их.
Wamekufa, hawataishi tena; ni maremu hao, hawatafufuka tena. Kweli, umekuja kuwahukumu na kuwaharibu wao, na umefanya kila kumbukumbu kutoweka.
15 Приложи им зла, Господи, приложи зла славным земли.
Umeliongeza taifa, Yahwe, umeliongeza taifa; umeheshimiwa; umeinuliwa katika mipaka yote ya nchi.
16 Господи, в скорби помянухом Тя, в скорби мале наказание Твое нам.
Yahwe, katika mateso yao walikuangalia wewe; walipatwa na wasiwasi katika maombi yao maana adhabu yako ilikuwa juu yao.
17 И яко болящая приближается родити и в болезни своей воскрича, тако быхом возлюбленному Твоему.
Kama mwanamke mjamzito anayekaribia kujifungua, hupatwa na uchungu na hulia kwa uchungu, hivyo ndivyo tulivyokuwa kabla, Bwana.
18 Страха ради Твоего, Господи, во чреве прияхом и поболехом, и родихом дух спасения Твоего, егоже сотворихом на земли: не падемся, но падутся вси живущии на земли.
Tulikuwa wajawazito, tumekuwa katika mateso, lakini ni kama tumeshajifungua katika akili zetu. Hatujauleta wokovu duniani, na wakazi wa duniani hawakuanguka.
19 Воскреснут мертвии и востанут иже во гробех, и возрадуются иже на земли: роса бо, яже от Тебе, изцеление им есть, земля же нечестивых падет.
Wafu wenu wataishi; watu wenu walio kufa watafufuka. Amka na uimbe kwa furaha, njie muishio mavumbini; maana umande wenu ni umande wa mwanga, na dunia itawaleta mbele wafu wake.
20 Идите, людие мои, внидите во храмину вашу, затворите двери своя, укрыйтеся мало елико елико, дондеже мимоидет гнев Господень.
Enendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu na mfunge mlango nyuma yenu; jificheni kwa mda mfupi, mpaka hasira itakapopita.
21 Се бо, Господь от святаго (места) наводит гнев на живущыя на земли: и открыет земля кровь свою и не покрыет избиеных.
Maana, angalia, Yahwe anakaribia kutoka katika eneo lake kuwahadhibu watu waishio duniani kwa ajili ya makosa yao; dunia itaachia umwagaji wa damu, na hawatawaficha tena waliokufa.

< Книга пророка Исаии 26 >