< Книга пророка Осии 6 >
1 В скорби своей утреневати будут ко Мне, глаголюще: идем и обратимся ко Господу Богу нашему,
“Njoo, turudi kwa Bwana. Kwa maana ametuvunja vipande vipande, lakini atatuponya; ametujeruhi, lakini atatufunga majeraha yetu.
2 яко Той поби ны, и изцелит ны: уязвит, и уврачует ны:
Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, na tutaishi mbele yake.
3 изцелит ны по двою дню, в день третий воскреснем и живи будем пред ним, и увемы: поженем, еже уведети Господа: яко утро готово обрящем Его, и приидет нам яко дождь ранний и поздный земли.
Nasi tumjue Bwana; tukaendelee kumjua Bwana. Kuja kwake ni hakika kama asubuhi; atakuja kwetu kama mvua, kama mvua ya vuli ambayo huinyeshea ardhi.”
4 Что ти сотворю, Ефреме? Что ти сотворю, Иудо? Милость бо ваша яко облак утренний и яко роса рано падающая.
Efuraimu, nikufanyie nini? Yuda, nikufanyie nini? Uaminifu wako ni kama wingu la asubuhi, kama umande unaoondoka mapema.
5 Сего ради пожах пророки вашя, убих я словесем уст Моих, и суд Мой яко свет изыдет.
Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa vinywa vya manabii, nimewaua kwa maneno ya kinywa changu. Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza.
6 Зане милости хощу а не жертвы, и уведения Божия, нежели всесожжения.
Kwa maana natamani uaminifu wala si dhabihu, na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.
7 Сии же суть яко человек преступаяй завет: тамо презреша Мя.
Kama Adamu wamevunja agano; hawakuwa waaminifu kwangu.
8 Галаад град делаяй суетная, мутяй воду,
Gileadi ni jiji la wahalifu wenye miguu ya damu.
9 а крепость твоя яко мужа морскаго разбойника: скрыша жерцы путь Господень, убиша Сикиму, яко беззаконие сотвориша.
Kama makundi ya wanyang'anyi wanaomngojea mtu, hivyo makuhani hujiunga pamoja kufanya mauaji kwa njia ya Shekemu; wamefanya uhalifu wa aibu.
10 В дому Израилеве видех грозная: тамо блужение Ефремово: осквернися Израиль и Иуда.
Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo baya; Uzinzi wa Efraimu ukopale, na Israeli ametiwa unajisi.
11 Начни оымати виноград себе, егда возвращу пленение людий Моих.
Kwa maana wewe, Yuda, mavuno yameteuliwa, nitakaporudisha urithi wa watu wangu.