< Книга Ездры 8 >

1 И сии князие отечеств их вождеве, иже взыдоша со мною в царство Артаксеркса царя Вавилонска:
Hawa ni viongozi wa watangulizi familia ambazo zilitoka babeli pamoja nami kipindi cha utawala wa mfalme Artashasta.
2 от сынов Финеесовых Гирсон, от сынов Ифамарих Даниил, от сынов Давидовых Аттус,
Mwana wa Finehasi, Gershoni. Mwana wa Ithamari, Daniel. Mwana wa Daudi, Hatushi ambaye ni mwana Shekania,
3 от сынов Саханииных, от сынов Форосовых Захариа, и с ним мужей сто пятьдесят,
ambaye pia ni mwana wa Paroshi na Zekaria na pamoja na yeye kulikuwa na wanaume mia moja na hamsini walitajwa kwenye idadi ya ukoo wake.
4 от сынов Фааф-Моава Елиана сын Сараиев, и с ним двести мужей,
Wana wa Pahath- Moabu, Eliehoenai mwana wa Zerahia na pamoja naye wanaume mia mbili. Wana wa
5 и от сынов Зафоисовых Ехениа сын Азиилев, и с ним триста мужей,
Shekaniah, Yahazieli na pamoja naye wanaume mia tatu. Wana wa
6 и от сынов Адиных Овин сын Ионафанов, и с ним пятьдесят мужей,
adini, Ebedi mwana wa Yonathani na pamoja naye waliorodheshwa wanaume hamsini.
7 и от сынов Едамлих Исаиа сын Афелиин, и с ним седмьдесят мужей,
Wana wa Elamu, Yeshaya mwana wa Athalia na pamoja naye waliorodheshwa wanaume sabini.
8 и от сынов Сафатиевых Завдиа сын Михаилов, и с ним осмьдесят мужей,
Wana wa Shefatia, Zebadia, mwana wa Mikaeli na pamoja naye waliorodheshwa wanaume themanini.
9 и от сынов Иоавлих Авдиа сын Иеиилев и с ним двести осмьнадесять мужей,
Wana wa Yoabu, Obadia mwana wa Yehieli pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia mbili kumi na wanane. Wana wa Binui,
10 и от сынов Вааниевых Селимуф сын Иосефиев, и с ним сто шестьдесят мужей,
Sheromithi, mwana wa Yosifia na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na sitini.
11 и от сынов Вавиевых Захариа сын Вавиев, и с ним двадесять осмь мужей,
Wana wa Bebai, zekaria mwana wa Bebai na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume ishirini na wanane.
12 и от сынов Азгадовых Ионан сын Икатанов, и с ним сто десять мужей,
Wana wa Azgadi, Yohana mwana wa Hakatani na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume mia moja na kumi.
13 и от сынов Адоникамлих последнии, и сия имена их: Едифалаф, Иеиил и Самаиа, и с ним шестьдесят мужей,
Wale wana wa Adonikamu wakaja baadaye. Na haya ndio majina yao: Elifereti, Yeueli na Shemaya na pamoja na wao wakaja wanaume sitini.
14 и от сынов Вагуаевых Уфай и Завуд, и с ними седмьдесят мужей.
Wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa zabudi na pamoja na yeye waliorodheshwa wanaume sabini
15 Собрах же их к реце текущей ко Евии, и пребыхом ту три дни: исках же в людех и во священницех, и от сынов Левииных не обретох тамо.
Nikawakusanya wasafiri bandari iliyokuwa inaelekea Ahava. Tukaweka kambi muda wa siku tatu, nikawachunguza watu na makuhani, lakini sikuwaona wana wa Levi miongoni.
16 И послах ко Елеазару, Ариилу, Семеию и к Маонану, и Иериву и Елнафаму, и Нафану и Захарии и Месолламу, и ко Иоариму и Елнафану, премудрых,
Hivyo nikatuma kwa Eliezeri, arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu na Elnathani na Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na kwa Yoyaribu na Elnathani ambao walikuwa ni walimu.
17 и изведох их ко Адаю началнику на месте Касфиа и вложих во уста их словеса глаголати ко Адаю и братии его афинимом на месте Касфии, привести нам поющих в дом Бога нашего.
Tena nikawatuma kwa Ido, kiongozi wa Kasifia. Nikawaaambia kile watachomweleza Ido. na jamaa zake, watumishi wa Hekalu waliishi Kasifia, kwa hiyo, kutuma kwetu watumishi kwa ajili ya nyumba ya Mungu.
18 И приидоша к нам, понеже рука Бога нашего бе блага на нас, муж сахон от сынов Моолиевых сына Левиина, сына Израилева, и Саравиа, и сынове его и братия его осмьнадесять:
Hivyo wakatutuma sisi kwa Mungu na mkono mzuri wa mtu aliyeitwa Ishekeli. Alikuwa mwana wa mali Mwana wa Levi mwana wa Israel. Akaja na wana kumi na wanane na ndugu,
19 и Асевиа, и Исаиа от сынов Мерариных и братия его и сынове его двадесять:
pamoja naye Hashabia, pamoja na Yeshaya wa wana wa Merari na ndugu zake na wana wake jumla watu ishirini wote. Miongoni
20 и от нафинимов, ихже даде Давид и князие ко службе левитом, нафинимов двести двадесять, вси собрашася по именом.
mwao walichaguliwa kutumika katika Hekalu, ambapo Daudi na wakuu waliwapa kuwahudumia walawi: mia mbili ishirini kila mmoja wao aliagizwa kwa majina.
21 И проповедах тамо пост близ реки Ауи, еже смиритися пред Господем Богом нашим, просити от Него пути праваго нам и чадом нашым и всему стяжанию нашему:
Tena nikatangaza kufunga mto Ahava ili kujinyenyekeza mbele za Mungu, kutafuta njia iliyoonyoka kutoka kwake kwa ajili yetu, watoto wetu na mali zetu,
22 устыдехся бо испросити от царя силы и конник защитити нас от врага на пути, понеже рехом царю глаголюще: рука Бога нашего есть на всех ищущих Его во благое и крепость Его, ярость же Его на всех оставляющих Его.
Niliona aibu kumwomba mfalme kwa ajili ya jeshi au mpandafarasi kwa ajili ya kutulinda tunapokuwa njiani, tangu tumemwambia mfalme “mkono wa Mungu uko pamoja na wote wanaomtafuta kwa mazuri. lakini uweza wake na ghazabu yake ni juu ya wale wote wanaomwasi yeye.
23 Постихомся же и молихомся Богу нашему о сем, и услыша нас.
Hivyo tulifunga na kumsihi Mungu kwa jambo hilo.
24 И отлучих от князей священнических дванадесять, Сараию, Асавию и с ними от братии их десять:
Tena nikachagua watu kumi na wawili kutoka kwa kuhani: Sherebia na Hashabia na ndugu zao wengine kumi.
25 возвеснх же им сребро и злато и сосуды начатков дому Бога нашего, яже вознесе царь и советницы его и князие его, и весь Израиль обретаяйся,
Nikapima kwa ajili yao fedha, dhahabu na vyombo na sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu kwa wafalme, washauri, na wakuu na Israel wote walitoa kwa hiari.
26 и дах весом в руки их сребра талантов шесть сот пятьдесят, и сосудов сребряных сто, и злата сто талант,
Hivyo nikawapimia kwenye mikono yao talanta za fedha mia sita na hamsini, talanta mia moja ya vyombo vya fedha, talanta mia moja za dhahabu.
27 и чаш златых двадесять, драхм тысящу, и сосуды меди светлыя добрыя различныя, драгоценныя яко злато,
vifaa ishirini vya dhahabu kwa pamoja vilikuwa na thamani ya elfu moja darkoni na vitu viwili vya sanamu vivyonakshiwa kama dhahabu ya kupendeza.
28 и рекох им: вы святи Господу Богу, и сосуди святи и сребро и злато, еже волею вдано есть Господу Богу отец наших:
Kisha nikawaambia, mmewekwa wakfu kwa Bwana, na hivi vyombo pia na fedha na dhahabu, vimetolewa kwa hiari kwa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu.
29 бдите и стрегите, дондеже весом отдадите пред князи священников и левитов и пред князи отечеств Израилевых во Иерусалиме, во скиниих дому Господня.
mviangalie na kuvitunza hadi mtakapovipima mbele ya makuhani, walawi, na viongozi wa wataangulizi wa jamii ya Israel katika Yerusalem katika nyumba ya Mungu.
30 И прияша священницы и левити вес сребра и злата и сосудов, да вознесут во Иерусалим в дом Бога нашего.
Makuhani na walawi walikubali vipimo vya fedha na dhahabu na vyombo kwa ajili ya kuvichukua na kuvipeleka Yerusalem, kwenye nyumba ya Mungu wetu.
31 И воздвигохомся от реки Ауи во вторыйнадесять день месяца перваго, да идем во Иерусалим: и рука Бога нашего бе на нас и избави нас от рук вражиих и ратников на пути,
Tukatoka kwenda mto Ahava siku ya kumi na mbili katika mwezi wa kwanza kwenda Yerusalem, Mkono wa Mungu ulikuwa pamoja nasi, ulitulinda na mikono ya adui na wale waliotaka kutufanyia fujo njiani.
32 и приидохом во Иерусалим и пребыхом ту три дни.
Hivyo tukaingia Yerusalem na kukaa humo kwa siku tatu.
33 И бысть в день четвертый, отдахом весом сребро и злато и сосуды в дому Бога нашего под руку Маримофа сына Урии священника, и с ним Елеазар сын Финеесов, и с ними Иозавад сын Иисусов и Ноадиа сын Ванаиев левити,
Tena siku ya nne fedha na dhahabu na vyombo vilipimwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa mikono ya Meremothi mwana wa Uria kuhani, na pamoja nao alikuwepo Eleazari mwana wa Finehasi, Yozabadi mwana wa Yeshua, na Noadia mwana wa Binui, Walawi.
34 по числу и весу вся: и написан бысть весь вес.
Idadi na uzito wa kila kitu uliweza kujulikana. Uzito wote uliweza kuandikwa katika kipindi hicho
35 Во время то, иже приидоша от пленения сынове преселения, принесоша всесожжения Богу Израилеву, телцев дванадесять за всего Израиля, овнов девятьдесят шесть, агнцев седмьдесят седмь, козлов за грехи дванадесять, вся во всесожжение Господу.
Na wale waliokuja kutoka matekani, watu wa uhamisho, wakatoa sadaka ya kutekezwa kwa Mungu wa Israel, kondoo tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi wa kiume kumi na wawili kama sadaka ya dhambi. Zote zilikuwa sadaka za kutekezwa kwa ajili ya Yahwe.
36 И даша повеление царево правителем царским и князем, иже за рекою: и прославиша людий и дом Божий.
Tena wakawapa amri za mfalme kwa wakuu wa wafalme na wakuu katika mji ngambo ya mto, na wakawasaidia watu na nyumba ya Mungu.

< Книга Ездры 8 >