< Книга пророка Иезекииля 30 >
1 И бысть слово Господне ко мне глаголя:
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 сыне человечь, прорцы и рцы: сия глаголет Адонаи Господь:
“Mwanadamu, toa unabii na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Maombolezo. “Ole unakuja siku hiyo.”
3 возрыдайте: оле, оле день! Яко близ день Господень, и приближается день облака, и конец языков будет:
siku ikaribu. Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa siku ya mawingu, mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa.
4 и приидет мечь на Египтяны, и будет мятеж во Ефиопии, и падут язвении во Египте, и взято будет множество их, и падутся основания его:
Kisha upanga utakuja dhidi ya Misri, na huko kutakuwa na maumivu makali katika Kushi wakati wauaji wa watu watakapoanguka katika Misri-wakati watakapochukua utajiri, na wakati misingi yake itakapoharibiwa.
5 Персяне и Критяне, и Лидяне и Ливиане, и Мурини (и вся Аравиа) и вси примесницы, и сынове, иже от завета Моего, в нем мечем падут с ним.
Kushi, Putu, na Ludi, na wageni wote, pamoja na watu wa nyumba ya agano-wote wataanguka chini kwa upanga.
6 Сия глаголет Господь: и падут подпоры Египта, и снидет укоризна крепости его от Магдола даже до Сиины, мечем падут в нем, глаголет Адонаи Господь.
Yahwe asema hivi: Basi wale wanaoisaidia Misri wataanguka, na kiburi cha uweza wake kitashuka chini. Kutoka Migdoli hata Sewene maaskari wao wataanguka kwa upanga-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
7 И опустеют среде стран погибших, и гради их среде градов опустевших будут:
Wataogofya kati ya nchi zilizotupwa, na miji yao itakuwa miongoni mwa miji yote iliharibika.
8 и уразумеют, яко Аз есмь Господь, егда дам огнь на Египет, и сокрушатся вси помагающии ему.
Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapouweka moto katika Misri, na wakati wasaidizi wake wote watakapoharibiwa.
9 В той день приидут вестницы от лица Моего в сиеим тщащеся погубити надежду Муринския земли, и будет им мятеж в день Египетск, яко се, приспе.
Katika siku hiyo wajumbe watatoka mbele yangu katika meli ili kuitia hofu Kushi iliyo salama, na kutakuwa na maumivu makali miongoni mwao katika siku ya kuangamizwa Misri. Kwa kuwa tazama! inakuja.
10 Сия глаголет Адонаи Господь: и погублю множество Египтян рукою Навуходоносора царя Вавилонска,
Bwana Yahwe asema hivi: Nitaufanya mwisho wa watu wa Misri kwa mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
11 самаго и людий его с ним, губителие от язык послани погубити землю: и извлекут вси мечы своя на Египта, и наполнится земля язвеными.
Yeye na jeshi lake pamoja naye, hofu ya mataifa, italetwa kuiharibu nchi; watafuta panga zao juu ya Misri na kuijaza nchi pamoja na watu waliokufa.
12 И дам реки их во опустение и отдам землю в руце злых, и погублю землю и исполнение ея руками чуждих, Аз Господь глаголах.
Nitaifanya mito kuwa nchi kavu, na nitaiuza nchi kwenye mkono wa watu waovu. Nitaifanya nchi na viijazavyo ukiwa kwa mkono wa wageni-mimi, Yahwe, nimesema.
13 Яко сия глаголет Адонаи Господь: погублю кумиры и испражню вельможы от Мемфиса и старейшины от земли Египетския, и не будут ктому: и дам страх во земли Египетстей.
Bwana Yahwe asema hivi: Nitaziharibu sanamu, na nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili za Nofu. Hakutakuwa na mkuu katika Misri, na nitaweka hofu katika nchi ya Misri.
14 И погублю землю Фафорскую, и дам огнь на Таниса, и сотворю отмщение в Диосполи,
Kisha nitaifanya Pathrosi ukiwa na kuweka moto katika Soani, nitatekeleza matendo ya hukumu katika No.
15 и излию ярость Мою на Саин крепость Египетску, и погублю множество Мемфы.
Kwa kuwa nitamwaga ghadhabu yangu juu Sini, ngome ya Misri, na kuwakatilia mbali watu wa mataifa.
16 И дам огнь на Египта, и мятежем возмятется Саис, и в Диосполи будет разселина, и разлиются воды.
Kisha nitaweka moto katika Misri; Sini itakuwa katika dhiki kuu, No itavunjika, na Nofu itakabiliana na maadui kila siku.
17 Юноши Илиуполя и Вуваста мечем падут, и жены в плен пойдут:
Vijana katika Oni na Pi-besethi wataanguka kwa upanga, na miji yao itaenda utumwani.
18 и в Тафнесе помрачится день, егда сокрушу тамо скипетры Египетски, и погибнет тамо укоризна крепости его, и того покрыет облак, и дщери его во пленение отведутся.
Huko Tapanesi, siku itabadilika kuwa usiku nitakapo ivunja nira ya Misri huko, na kiburi cha uwezo wake kitaisha. Kutakuwa na wingu likimfunika, na binti zake wataenda utumwani.
19 И сотворю суд во Египте, и уразумеют, яко Аз есмь Господь.
Nitatekeleza matendo ya hukumu katika Misri, hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
20 И бысть во единонадесятое лето, в первый месяц, в седмый день месяца, бысть слово Господне ко мне глаголя:
Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa kwanza, katika siku ya saba ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
21 сыне человечь, мышцы фараона царя Египетска сотрох, и се, не помолися, еже дати ему цельбу, приложити ему пластырь, (обязати, ) дати силу, да возмет мечь.
“Mwanadamu, nimeuvunja mkono wa Farao, mfalme wa Misri. Tazama! Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji ili upone, hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga.
22 Того ради сия глаголет Адонаи Господь: се, Аз на фараона царя Египетска, и сокрушу мышцы его крепкия и протяженыя и сотреныя, и изрину мечь его из руки его:
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama, mimi niko juu ya Farao, mfalme wa Misri. Kwa kuwa nitauvunja mkono wake, wote yule aliye hodari na yule aliyevunjika, nitaufanya upanga wangu kuanguka kutoka kwenye mkono wake.
23 и разсею Египта во языки и развею их во страны:
Kisha nitaitawanya Misri miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbali mbali.
24 и укреплю мышцы царя Вавилонска и дам мечь Мой в руку его, и наведет его на Египта, и пленит пленение его, и возмет корысти его:
Nitaunyoosha mikono kwa mfalme wa Babeli na kuweka upanga wangu katika mkono wake ili kwamba niweze kuiharibu mikono ya Farao. Atagugumia mbele ya mfalme wa Babeli kwa mgumio wa mtu anayekufa.
25 и укреплю мышцы царя Вавилонска, мышцы же фараони падут: и уведят, яко Аз есмь Господь, егда дам мечь Мой в руце царя Вавилонска, и прострет его на землю Египетску,
Kwa kuwa nitainyoosha mikono ya mfalme wa Babeli, wakati mkono wa Farao utakapoanguka. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapoweka upanga wangu kwenye mkono wa mfalme wa Babeli; kwa kuwa ataishambulia nchi ya Misri kwa huo.
26 и разсею Египта во языки и развею их во страны: и уведят вси, яко Аз есмь Господь.
Hivyo nitaitawanya miongoni mwa mataifa na kuyatawanya kwenye nchi tofauti tofauti. Kisha watajua yakwamba mimi ni Yahwe.”'