< Книга пророка Иезекииля 14 >
1 И приидоша ко мне мужие от старец Израилевых и седоша предо мною.
Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
2 И бысть слово Господне ко мне глаголя:
Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
3 сыне человечь, мужие сии положиша помышления своя на сердцах своих и мучение неправд своих поставиша пред лицем своим: аще отвещаяй отвещаю им?
“Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
4 Сего ради глаголи к ним и речеши им: сия глаголет Адонаи Господь: человек человек от дому Израилева, иже аще положит мысли своя в сердцы своем и мучение неправды своея учинит пред лицем своим и приидет ко пророку, Аз Господь отвещаю ему о сих, имиже держится мысль его:
Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
5 яко да уклонят дом Израилев по сердцам их удаленым от Мене помышленьми их.
Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
6 Сего ради рцы дому Израилеву: сия глаголет Господь Бог: обратитеся и отвратитеся от начинаний ваших и от всех нечестий ваших, и обратите лица ваша ко мне:
Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
7 зане человек человек от дому Израилева и от пришелцев пришедших ко Израилеви, иже аще удалится от Мене и положит мысли своя на сердцы своем и мучение неправды своея учинит пред лицем своим и приидет ко пророку еже вопросити ему Мене, Аз Господь отвещаю ему, в немже держится он,
Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
8 и утвержу лице Мое на человека того и положу его в погибель и в потребление и извергу его от среды людий Моих, и увесте, яко Аз Господь.
Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
9 И пророк аще прельстится и речет слово, Аз Господь прельстих пророка того, и простру руку Мою нань и потреблю его от среды людий Израилевых.
Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
10 И приимут неправду свою по неправде вопрошающаго, и по неправде такожде пророку будет,
Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
11 яко да не прельщается ктому дом Израилев от Мене, и да не оскверняются ктому во всех гресех своих, и будут Ми в люди, Аз же буду им в Бога, глаголет Адонаи Господь.
Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
12 И бысть слово Господне ко мне глаголя:
Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
13 сыне человечь, земля аще согрешит Ми, еже пастися грехом, и простру руку Мою на ню и сотру утверждение хлебное и пущу на ню глад и возму с нея человеки и скоты,
“Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
14 и аще будут сии трие мужие среде ея, Ное и Даниил и Иов, тии во правде своей спасутся, глаголет Адонаи Господь:
kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
15 аще и звери злыя напущу на землю и умучу ю, и будет в пагубу, и не будет проходящаго сквозе ю от лица зверей,
Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
16 и аще будут трие сии мужие среде ея, живу Аз, глаголет Адонаи Господь, ни сынове, ни дщери их спасутся, но токмо сии едини спасутся, а земля в потребление будет:
kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
17 аще же наведу на ту землю мечь и реку: мечь да пройдет землю, и возму от нея человека и скота,
Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
18 и трие мужие сии будут среде ея, живу Аз, глаголет Адонаи Господь, не избавят ни сынов, ни дщерей своих, но тии едини спасутся:
kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
19 аще же и смерть пущу на землю ону и излию ярость Мою на ню в крови, еже потребити от нея человеки и скоты,
Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
20 Ное же и Даниил и Иов будут посреде ея, живу Аз, глаголет Адонаи Господь, ни сынове, ни дщери не останут им, тии же во правде своей спасутся и избавят душы своя.
kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
21 Сия глаголет Адонаи Господь: аще же и четыри мести Моя лютыя пущу на Иерусалима, мечь и глад, и звери люты и смерть, еже потребити от него человеки и скоты,
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
22 и се, оставлени в нем спасеннии от него, сии изведут сыны и дщери: се, тии изыдут к вам, и узрите пути их и помышления их, и раскаетеся о злых, яже наведох на Иерусалим, вся злая, яже наведох нань,
Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
23 и утешат вас: понеже узрите пути их и помышления их, и уразумеете, яко не всуе сотворил есмь вся, елика сотворих в нем, глаголет Адонаи Господь.
Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”