< Исход 7 >
1 И рече Господь к Моисею, глаголя: се, дах тя Бога фараону, и Аарон брат твой будет твой пророк:
Yahweh akasema na Musa, “Ona, nimekufanya kama mungu kwa Farao. Aruni kaka yako atakuwa nabii wako.
2 ты же возглаголеши ему вся, елика тебе заповедаю: Аарон же брат твой возглаголет к фараону, да отпустит сыны Израилевы от земли своея:
Utasema kila kitu nitacho kuamuru kusema. Aruni kaka yako ata sema na Farao iliawaachie watu wa Israeli watoke kwenye nchi yake.
3 Аз же ожесточу сердце фараоново и умножу знамения Моя и чудеса в земли Египетстей:
Lakini nitaufanya moyo wa Farao mgumu, na nitaonyesha ishara nyingi za nguvu zangu, maajabu mengi, katika nchi ya Misri.
4 и не послушает вас фараон, и возложу руку Мою на Египет и изведу с силою Моею люди Моя сыны Израилевы от земли Египетския, со отмщением великим:
Lakini Farao hata kusikiliza, kwahiyo nitaueka mkono wangu juu ya Misri na kutoa makundi yangu ya wanaume wapiganaji, watu wangu, wazao wa Israeli, watoke nchi ya Misri kwa matendo makubwa ya hukumu.
5 и уведят вси Египтяне, яко Аз есмь Господь, простирая руку Мою на Египет, и изведу сыны Израилевы от среды их.
Wamisri watajua kuwa mimi ni Yahweh nitapo nyoosha mkono wangu kwa Misri na kuwatoa Waisraeli kutoka miongoni mwao.”
6 Сотвори же Моисей и Аарон, якоже заповеда им Господь, тако сотвориша.
Musa na Aruni wakafanya hivyo; walifanya kama Yahweh alivyo waamuru.
7 Моисей же бе осмидесяти лет, Аарон же брат его осмидесяти трех лет, егда глаголаста к фараону.
Musa alikuwa na miaka themanini, na Aruni miaka themanini na tatu walipo ongea na Farao.
8 И рече Господь к Моисею и Аарону глаголя:
Yahweh akamwambia Musa na Aruni,
9 и аще речет к вам фараон, глаголя: дадите нам знамение или чудо: и речеши Аарону брату твоему: возми жезл и повержи на землю пред фараоном и пред рабы его, и будет змий.
“Wakati Farao atakapo waambia, 'Fanya muujiza,' utamwambia Aruni, 'Chukuwa gongo lako na ulirushe chini mbele ya Farao, ililigeuke nyoka.”'
10 Вниде же Моисей и Аарон пред фараона и пред рабы его, и сотвориша тако, якоже заповеда им Господь: и поверже Аарон жезл пред фараоном и пред рабы его, и бысть змий.
Kisha Musa na Aruni wakaenda kwa Farao, na wakafanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni akarusha chini gongo lake mbele ya Farao na watumishi wake, na likageuka nyoka.
11 Созва же фараон мудрецы Египетския и волхвы: и сотвориша и волсви египетскии чарованиями своими такожде:
Kisha naye Farao akawaita wazee wenye hekima na wachawi. Wakafanya jambo hilo hilo kwa uchawi wao.
12 и повергоша кийждо жезл свой, и быша змиеве: и пожре жезл Ааронов оных жезлы.
Kila mtu akarusha chini gongo lake, na magongo yakawa nyoka. Lakini gongo la Aruni lilimeza nyoka zao.
13 И укрепися сердце фараоне, и не послуша их, якоже глагола им Господь.
Moyo wa Farao ulikuwa mgumu, na akusikiliza, kama Yahweh alivyo tabiri.
14 И рече Господь к Моисею: отягчися сердце фараоне, еже не отпустити людий:
Yahweh akasema na Musa, “Moyo wa Farao ni mgumu, na anakataa kuacha watu waende.
15 иди к фараону заутра: се, той исходит на воды, и буди сретая его на брезе речнем: и жезл обращейся в змия возми в руку твою,
Nenda kwa Farao asubui anapoenda kwenye maji. Simama kwenye chanzo cha mto kukutana naye, na uchukuwe mkononi mwako gongo ambalo liligeuka nyoka.
16 и речеши к нему: Господь Бог Еврейский посла мя к тебе, глаголя: отпусти люди Моя, да Ми послужат в пустыни: и се, не послушал еси доселе:
Mwambie, 'Yahweh, Mungu wa Waebrania, amenituma kwako, “Acha watu wangu waende, iliwaniabudu nyikani. Mpaka sasa haujanisikiliza.”
17 сия глаголет Господь: по сему увеси, яко Аз Господь: се, аз ударю жезлом, иже в руце моей, по воде речней, и преложится в кровь:
Yahweh anasema hili: “Kwa hili utajua kuwa mimi ni Yahweh. Ninaenda kupiga maji ya mto wa Misri kwa gongo langu lililo mikono mwangu, na mto utageuzwa kuwa damu.
18 и рыбы, яже в реце изомрут, и возсмердится река, и не возмогут Египтяне пити воды от реки.
Samaki walio kwenye mto watakufa, na mto utanuka. Wa Misri Hawataweza kunywa maji yalio kwenye mto.”'''
19 Рече же Господь к Моисею: рцы Аарону брату твоему: возми жезл твой в руку твою, и простри руку твою на воды Египетския и на реки их и на кладязи их и на езера их и на всякое собрание вод их, и будет кровь, и бысть кровь по всей земли Египетстей, в древесех же и в камениих.
Kisha Yahweh akasema na Musa, “Mwambie Aruni, 'Chukuwa gongo lako na unyooshe mkono kwenye maji ya Misri, na juu ya mito yake, mifereji, visima, na madimbwi yote, ili maji yao ya damu. Fanya hivi ilikuwe na damu nchi nzima ya Misri, hadi kwenye vyombo vyote vya mbao na mawe.”'
20 И сотвориша тако Моисей и Аарон, якоже заповеда им Господь: и взем Аарон жезл свой, удари воду речную пред фараоном и пред рабы его, и преложи всю воду речную в кровь:
Musa na Aruni walifanya kama Yahweh alivyo waamuru. Aruni alinyanyua gongo na kupiga maji ya mto, machoni pa Farao na watumishi wake. Maji yote kwenye mto yaligeuga damu.
21 и рыбы яже в реце изомроша, и возсмердеся река, и не можаху Египтяне пити воды от реки, и бяше кровь по всей земли Египетстей.
Samaki kwenye mto wakafa, na mto ukaanza kunuka. Wamisri hawakuweza kunywa maji kwenye mto, na damu ilikuwa kila mahali katika nchii ya Misri.
22 Сотвориша же и волсви Египетстии волхвованиями своими такожде: и ожесточися сердце фараоново, и не послуша их, якоже рече Господь.
Lakini wachawi walifanya vivyo hivyo na uchawi wao. Kwaiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, na akakataa kuwasikiliza Musa na Aruni, kama Yahweh alivyo sema itatokea.
23 Возвратився же фараон вниде в дом свой, и не положи себе и сего во уме.
Kisha Farao akarudi na kwenda nyumbani kwake. Wala hakutilia maanani hili.
24 Ископаша же вси Египтяне окрест реки, да пиют воду: и не можаху пити воды от реки.
Wamisri wote walichimba pembeni ya mto kwa ajili ya maji ya kunywa, lakini hawakuweza kunywa maji ya mto.
25 И исполнишася седмь дний, по ударении Господни в реку.
Siku saba zilipita baada ya Yahweh kushambulia mto.