< Исход 26 >
1 Скинию же да сотвориши от десяти опон от виссона сканаго и синеты, и багряницы и червленицы сканыя: херувимы делом тканым да сотвориши я.
Lazima ufanye hiyo maskani iwe na mapazia kumi ifanye ya nguo ya kitani nzuri ya kusokota, pamoja na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, pamoja na makerubi. Kazi ya fundi stadi.
2 Долгота опоны единыя двадесять и осмь лактий, и широта четырех лактий, опона едина да будет: мера таяжде да будет всем опонам.
Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.
3 Пять же опон да будут взаим придержащяся едина от другия, и пять опон да будут содержащяся друга о друзей.
Mapazia matano yataungwa pamoja, na mapazia matano mengine yataungwa pamoja.
4 И да сотвориши им петли из синеты у края опоны единыя, от единыя страны в сложение: и сице сотвориши на краю опоны внешния к сложению второму.
Lazima ufanye tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake. Vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.
5 Пятьдесят же петлей сотвориши единей опоне, и пятьдесят петлей да сотвориши от края опоны по сложению вторыя, лицем к лицу сходящыяся между собою каяждо.
Fanya matanzi hamsini katika pazia moja, na matanzi hamsini katika upande wa mwisho wa ile pazia iliyo katika kuungana kwa pili.
6 И сотвориши пятьдесят крючков златых и совокупиши опоны едину ко друзей крючками: и будет скиния едина.
Fanya hivi ili hizo tanzi zielekeana. Kisha ufanye vifungo hamsini vya dhahabu, na kuunganisha hayo mapazia pamoja kwa vile vifungo na hiyo maskani itakuwa ni moja.
7 И да сотвориши опоны власяныя в покров над скиниею, единонадесять опон сотвориши их.
Lazima ufanye mapazia ya nywele za mbuzi yawe hema juu ya maskani. Lazima ufanye mapazia kumi na moja.
8 Долгота опоны единыя да будет тридесяти лактий, и четырех лактий широта опоны единыя: таяжде мера да будет единонадесяти опонам.
Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne. Hayo mapazia kumi na moja yatakuwa ya kipimo kimoja.
9 И совокупиши пять опон вкупе, и шесть опон вкупе: и усугубиши опону шестую ко входу скинии.
Lazima utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.
10 И да сотвориши петлей пятьдесят на краи опоны единыя, яже среде по сложению, и пятьдесят петлей да сотвориши на краи опоны совокупляющияся вторыя.
Ufanye tanzi hamsini upande wa mwisho wa pazia lile lililo la mwisho katika hayo yaliyounganywa pamoja, na tanzi hamsini upande wa mwisho wa lile pazia lililo nje katika hayo ya pili yaliyounganywa pamoja.
11 И сотвориши крючков медяных пятьдесят: и совокупиши крючки с петлями, и да совокупиши опоны, и будет едино.
Kisha ufanye vifungo hamsini vya shaba, na kuvitia vile vifungo katika zile tanzi, na kuiunganya ile hema pamoja, ili iwe hema moja.
12 И да подложиши излишнее от опон скинии: полуюпоною оставшеюся да покрыеши излишнее опон скинии: да прикрыеши созади скинии.
Kipande kile kilichosalia, kile kiangukacho, cha yale mapazia ya hema, itaanguka huko upande wa nyuma wa maskani.
13 Лакоть (един) от сего, и лакоть (един) от другаго, от излишняго опон, в долготу опон скинии: да будет покрывающее на стране скинии, сюду и сюду да покрывает.
Lazima kuwe na dhiraa moja upande mmoja, na ile dhiraa moja upande wa pili - ya urefu wa mapazia ya hema uliosalia, zitaanguka katika ubavu wa maskani upande huu na upande huu, ili kuifunika.
14 И да сотвориши покров скинии от кож овних червленых, и прикрывала от кож синих сверху.
Nawe fanya kifuniko cha ile hema, cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
15 И да сотвориши столпы скинии от древ негниющих:
Nawe lazima ufanye hizo fremu za maskani za mti wa mjohoro.
16 десяти лактий (в высоту) да сотвориши столп един, лактя же единаго и пол широта столпа единаго:
Kila fremu utakuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wake kila ubao utakuwa dhiraa moja na nusu.
17 два закройца (на краях) столпу единому, противу стояща другъдругу: тако сотвориши всем столпом скинии.
Kila fremu itakuwa na ndimi mbili, zenye kuunganishwa huu na huu. Ndivyo utakavyozifanya mbao zote za maskani.
18 И да сотвориши столпы скинии, двадесять столпов от страны яже к северу:
Kisha ufanye zile mbao za maskani, mbao ishirini kwa upande wa kusini kuelekea kusini.
19 и четыредесять стоялов сребряных да сотвориши двадесятим столпом: два стояла единому столпу на обоих краех его и два стояла другому столпу на обоих краех его:
Lazima nawe ufanye vitako arubaini vya fedha chini ya zile fremu ishirini. Vitako viwili chini ya fremu moja, kupokea zile ndimi zake mbili, na vitako viwili chini ya fremu nyingine kupokea zile ndimi zake mbili.
20 и в стране вторей южней двадесять столпов:
Kwa upande wa pili wa maskani, upande wa kaskazini, mbao ishirini
21 и четыредесять стоялов им сребряных: два стояла столпу единому на обоих краех его и два стояла столпу другому на обоих краех его.
na vitako vyake vya fedha arubaini. Lazima kuwe na vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya fremu nyingine.
22 И созади скинии по стране яже к морю да сотвориши шесть столпов,
Ufanye fremu sita kwa ajili ya upande wa nyuma wa maskani kuelekea magharibi.
23 и два столпа сотвориши во углах скинии созади.
Tena ufanye fremu mbili kwa ajili ya hizo pembe za maskani zilizo upande wa nyuma.
24 И будут равни от долу: по томужде да будут равни от глав в состав един: тако да сотвориши обоим двум углам: равни да будут.
Hizi fremu zitakuwa zimetengana upande wa chini, lakini zimeshinkana kwa juu ya duara moja.
25 И да будут осмь столпы и стояла их сребряна шестьнадесять: два стояла единому столпу и два стояла другому столпу, на обоих краех его.
Fremu zitakuwa ni nane, na vitako vyake vya fedha. Vitako kumi na sita, vitako viwili chini ya fremu moja, na vitako viwili chini ya ubao wa pili.
26 И да сотвориши вереи от древ негниющих: пять верей столпу единому от единыя страны скинии,
Lazima ufanye mataruma ya mti wa mshita- mataruma matano kwa ajili ya mbao za upande mmoja wa maskani,
27 и пять верей столпу единому вторей стране скинии, и пять верей столпу заднему стране скинии, яже к морю:
na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa pili wa maskani, na mataruma matano kwa ajili ya fremu za upande wa maskani ulio nyuma kuelekea magharibi.
28 и верея средняя посреде столпов да проходит от единыя страны в другую страну.
Na hilo taruma la katikati lililo katikati ya zile fremu, litapenya toka mwisho huu hata mwisho huu.
29 И столпы да позлатиши златом: и колца сотвориши злата, в няже вложиши вереи: и позлатиши вереи златом.
lazima uzifunuke hizo fremu kwa dhahabu. Nawe lazima ufanye maduara yake ya za dhahabu, kuwa kama vishikizo, na hayo mataruma utayafunika dhahabu.
30 И возставиши скинию по образу показанному тебе на горе.
Nawe utaisimamisha hiyo maskani sawasawa na mfano wake uliooneshwa mlimani.
31 И да сотвориши завесу от синеты и багряницы, и червленицы сканыя и виссона пряденаго: делом тканым да сотвориши ю херувимы.
Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, litafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi.
32 И возложиши ю на четыри столпы негниющыя позлащены златом: и верхи их златы, и стояла их четыри сребряна.
Kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika vitako vya fedha vinne.
33 И повесиши завесу на столпех, и внесеши тамо внутрь завесы кивот свидения: и разделяти будет завеса вам посреде святилища и посреде Святая святых,
Nawe tungika lile pazia chini ya vile vifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda. Lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahali patakatifu sana.
34 и закрыеши завесою кивот свидения во Святая святых.
Nawe lazima utaweka kiti cha rehema juu ya lile sanduku la ushuhuda ndani ya mahali pale patakatifu sana. Na ile meza utaiweka nje ya pazia.
35 И поставиши трапезу вне завесы, и светилник прямо трапезы на стране скинии, яже к югу: и трапезу поставиши на стране скинии, яже к северу.
Lazima uweke kinara cha taa kuikabili ile meza upande wa maskani wa kuelekea kusini. Lile meza utaiweka upande wa kaskazini.
36 И да сотвориши закров в дверех скинии от синеты и багряницы, и червленицы сканыя и виссона сканаго, делом пестрящаго.
Kisha utafanya kisitiri kwa mlango wa hema, cha nyuzi za rangi ya buluu, zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji wa taraza.
37 И да сотвориши завесе пять столпов от древ негниющих, и позлатиши их златом, и верхи их златы: и да слиеши им пять стоял медяных.
Nawe fanya nguzo tano za mti wa mshita kwa kile kisitiri, na kuzifunika dhahabu; kulabu zake zitakuwa za dhahabu. Nawe utasubu vitako vya shaba vitano kwa ajili yake.