< Исход 15 >

1 Поим Господви, славно бо прославися: коня и всадника вверже в море:
Kisha Musa na watu wa Israeli wakaimba hii nyimbo kwa Yahweh. Waliimba, “Nitaimba kwa Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu; farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari.
2 Помощник и Покровитель бысть мне во спасение: Сей мой Бог и прославлю Его, Бог отца моего и вознесу Его:
Yahweh ni uweza wangu na nyimbo yangu, na amekuwa wokovu wangu. Huyu ni Mungu wangu, na nitamsifu, Mungu wa baba yangu, nitamtukuza.
3 Господь сокрушаяй брани, Господь имя Ему,
Yahweh ni shujaa; Yahweh ni jina lake.
4 колесницы фараоновы и силу его вверже в море, избранныя всадники тристаты потопи в Чермнем мори,
Ametupa magari ya farasi ya Farao na jeshi lake kwenye bahari. Maafisa wa Farao hodari walizama kwenye Bahari ya Shamu.
5 пучиною покры их, погрязоша во глубине яко камень:
Kina kiliwafunika; walienda kwenye kina kama jiwe.
6 десница Твоя, Господи, прославися в крепости, десная Твоя рука, Господи, сокруши враги:
Mkono wako wakulia, Yahweh, una nguvu ya utukufu; mkono wako, Yahweh, umewavunja adui.
7 и множеством славы Твоея стерл еси сопротивных, послал еси гнев Твой, пояде я яко стеблие,
Kwa utukufu mkubwa umewapindua walio inuka dhidi yako. Umetuma gadhabu; imewateketeza kama karatasi.
8 и духом ярости Твоея разступися вода: огустеша яко стена воды, огустеша и волны посреде моря:
Kwa pumzi ya pua yako maji yalijaa; maji yanayo tembea yalisimama wima na kujaa juu; maji yalikuwa manene ndani ya kilindi cha bahari.
9 рече враг: гнав постигну, разделю корысть, исполню душу мою, убию мечем моим, господствовати будет рука моя:
Adui alisema, 'Nitakimbiza, nitapita, nitagawa nitakacho chukuwa; tamanio langu litatimizwa kwao; nitavuta upanga wangu; mkono wangu utawaharibu wao.'
10 послал еси духа Твоего, покры я море, погрязоша яко олово в воде зелней:
Lakini ulipuliza kwa upepo wako, na bahari ikawafunika wao; walizama kama chuma nzito kwenye maji mengi.
11 кто подобен Тебе в бозех, Господи, кто подобен Тебе? Прославлен во святых, дивен в славе, Творяй чудеса:
Ni nani kama wewe, Yahweh, miongoni mwa miungu? Nani kama wewe, mtakatifu wa utukufu, katika sifa umetukuzwa, anaye fanya miujiza?
12 простерл еси десницу Свою, пожре я земля,
Ulinyoosha mkono wako wa kulia, na dunia ikawameza.
13 наставил еси правдою Твоею люди Твоя сия, яже избавил еси, утешил еси крепостию Твоею во обитель святую Твою:
Katika uaminifu wa agano lako umewaongoza watu ulio waokoa. Katika uweza wako umewaongoza katika sehemu takatifu unayo ishi.
14 слышаша языцы и прогневашася, болезни прияша живущии в Филистиме:
Watu watasikia, na watatetemeka; hofu itawakumba wakazi wa Filistia.
15 тогда потщашася владыцы Едомстии и князи Моавитстии, прият я трепет: растаяша вси живущии в Ханаане:
Kisha wazee wa Edomu wataogopa; wanajeshi wa Moabu watetemeka; wakazi wote wa Kanani watayayuka.
16 да нападет на ня страх и трепет: величием мышцы Твоея да окаменятся, дондеже пройдут людие Твои, Господи, дондеже пройдут людие Твои сии, яже стяжал еси:
Mshituko na hofu vitawaangukia. Kwasababu ya nguvu ya mkono wako, watakuwa kimya kama jiwe hadi watu wako watakapo pita, Yahweh - hadi watu ulio waokoa watakapo pita.
17 введ насади я в гору достояния Твоего, в готовое жилище Твое, еже соделал еси, Господи, святыню, Господи, юже уготовасте руце Твои:
Utawaleta na kuwapanda kwenye mlima wa urithi wako, sehemu, Yahweh, ulio jenga ya kuishi, sehemu takatifu, Bwana wetu, mikono yako iliyo jenga.
18 Господь царствуяй веки, и на век, и еще:
Yahweh ata tawala milele na milele.”
19 егда вниде конница фараонова с колесницами и всадники в море, и наведе на них Господь воду морскую: сынове же Израилевы проидоша сушею посреде моря.
Kwa kuwa farasi wa Farao walienda na magari ya farasi na wapanda farasi kwenye bahari. Yahweh alileta maji ya bahari juu yao. Lakini Waisraeli walienda juu ya nchi kavu katikati ya bahari.
20 Взя же Мариам пророчица, сестра Ааронова, тимпан в руце свои, и изыдоша вся жены вслед ея со тимпаны и лики:
Miriamu nabii wa kike, dada wa Aruni, akanyanyua tari, na wanawake wote wakatoka na matari, wakicheza nae.
21 преднача же им Мариам, глаголющи: поим Господви, славно бо прославися: коня и всадника вверже в море.
Miriamu akawaimbia: “Muimbieni Yahweh, kwa kuwa ameshinda kwa utukufu. Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.
22 Поят же Моисей сыны Израилевы от моря Чермнаго и веде их в пустыню Сур: и идяху три дни в пустыни, и не обретаху воды пити.
Kisha Musa akaongoza Israeli mbele kupita Bahari ya Shamu. Walienda nyikani ya Shuri. Walisafiri kwa siku tatu nyikani pasipo kuona maji yeyote.
23 Приидоша же в Мерру, и не можаху пити воды от Мерры, горька бо бе: сего ради наречеся имя месту тому Горесть.
Kisha wakaja Mara, lakini hawakunywa maji ya huko kwasababu yalikuwa machungu. Hivyo wakaita hiyo sehemu Mara.
24 И роптаху людие на Моисеа, глаголюще: что пием?
Hivyo watu wakamlalamikia Musa na kusema, “Nini tunaweza kunywa?”
25 Возопи же Моисей ко Господу, и показа ему Господь древо, и вложи е в воду, и усладися вода: тамо положи ему оправдания и судбы, и тамо его искуси,
Musa akamlilia Yahweh, na kumonyesha mti. Musa akautupa kwenye maji, na maji yakawa matamu kunywa. Ndio pale Yahweh alipowapa sheria kali, na ndio pale alipo wajaribu.
26 и рече: аще слухом услышиши глас Господа Бога твоего, и угодная пред ним сотвориши, и внушиши заповедем Его, и сохраниши вся оправдания Его: всяку болезнь, юже наведох Египтяном, не наведу на тя: Аз бо есмь Господь Бог твой исцеляяй тя.
Alisema, “Kama utasikiliza sauti ya Yahweh Mungu wako kwa umakini, na kufanya yalio sahihi machoni pake, na kama utatega sikio kwa amri zake na kutii sheria zake zote - sitawaekea ninyi magonjwa yale niliyo waekea Wamisri, kwa kuwa mimi ni Yahweh ninaye kuponya.”
27 И приидоша во Елим, и бяху тамо дванадесять источников вод, и седмьдесят стеблий финиковых: и ополчишася тамо при водах.
Kisha watu wakaja Elimu, palipo kuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mtende. Walieka kambi hapo pembeni ya maji.

< Исход 15 >