< Второзаконие 22 >

1 Видев телца брата твоего или овцу его заблуждающыя на пути, да не презриши я: но возвращением возвратиши я к брату твоему, и да отдаси ему.
Hautakiwi kumtazama ng’ombe au kondoo wa Muisraeli mwenzako akikosea njia na ukajificha kwao; hakika unapaswa kuwarejesha kwake.
2 Аще же несть близ тебе брат твой, ниже увеси его, собери я внутрь дому твоего, и да будут у тебе, дондеже взыщет их брат твой, и отдаси их ему.
Iwapo Muisraeli mwenzako hayupo karibu nawe, au kama haumfahamu, basi unapaswa kumleta mnyama huyo nyumbani kwako, na lazima uwe naye mpaka pale mwenyewe atakapomtafuta, na kisha lazima umrejeshee mwenyewe.
3 Такожь сотвориши осляти его, и тако да сотвориши ризе его, и тако да сотвориши всему погубленому брата твоего: елика аще погибнут от него, и обрящеши я, да не возможеши пренебрещи я.
Unapaswa kufanya vivyo hivyo kwa punda wake; unapaswa kufanya vivyo hivyo na vazi lake; unapaswa kufanya vivyo hivyo kwa kila kitu alichopoteza Muisraeli mwenzako, kitu chochote alichopoteza na ukakipata; hautakiwi kujificha.
4 Аще увидиши осля брата твоего или телца его падшыя на пути, да не презриши я: возставляя да возставиши я с собою.
Haupaswi kumwona punda wa Muisraeli mwenzako au ng’ombe wake kaanguka chini barabarani na kujificha dhidi yao; hakika unapaswa kumsaidia kumwinua tena.
5 Да не будет утварь мужеска на жене, ни да облачится муж в ризу женску: яко мерзость есть Господеви Богу твоему всяк творяй сия.
Mwanamke hatakiwi kuvaa kinachokusudiwa kwa mwanamume, vilevile mwanamume hapaswi kuvaa mavazi ya mwanamke; kwa maana yeyote afanyaye vitu hivi ni chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
6 Аще же улучиши гнездо птичие пред лицем твоим на пути, или на древе некоем, или на земли, и в нем птенцы или яица, и мати седит на птенцех или яицех, да не возмеши матере со птенцы:
Iwapo kiota cha ndege kikaonekana barabarani mbele yako, kwenye mti wowote au juu ya ardhi, kikiwa na makinda ya ndege au mayai ndani mwake, na mama yao akiwa juu yao au juu ya mayai, haupaswi kumchukua mama pamoja na makinda au mayai yake.
7 отпущением да отпустиши матерь, птенцы же возмеши себе, да благо тебе будет и долгоденствен будеши.
Hakika unapaswa kumuacha mama aende zake, ila makinda yake unaweza kuyachukua. Tii amri hii ili uenende vyema, na siku zako ziweze kurefushwa.
8 Аще же созиждеши дом нов, и сотвориши ограждение дому твоему, и да не сотвориши убийства в дому твоем, аще падет падый от него.
Ujengapo nyumba mpya, basi unapaswa kujenga kitalu kwa ajili ya paa yako ili usilete damu juu ya nyumba yako mtu akianguka kutoka pale.
9 Да не насееши винограда твоего различна, да не освятится плод, и семя, еже насееши с плодом винограда твоего.
Haupaswi kupanda shamba lako la mizabibu kwa mbegu mbili, ili kwamba mavuno yote yasichukuliwe na sehemu takatifu, mbegu uliyoipanda pamoja na matunda ya mzabibu.
10 Да не ореши юнцем и ослятем вкупе.
Haupaswi kulimia ng’ombe na punda kwa pamoja.
11 Ниже да облечешися в ризу разноличну от льна и волны вкупе ткану.
Haupaswi kuvaa kitambaa kilichotengenezwa kwa sufu na kitani kwa pamoja.
12 Тресны да сотвориши себе на четырех краях одежды своея, в нюже облечешися.
Unapaswa kutengeneza pindo katika pembe nne za nguo unayoivaa.
13 Аще же кто поймет жену и будет с нею, и возненавидит ю,
Iwapo mwanamume kachukua mke, kisha kalala naye, na baadae kumchukia,
14 и наложит на ню обвинителная словеса, и нанесет на ню имя злое, и возглаголет: жену сию поях, и пришед к ней, не обретох ю девицею:
na kisha kumtuhumu kwa vitu vya aibu na kumharibia sifa yake kwa kusema, “Nilimchukua huyu mwanamke, lakini nilipomkaribia sikukuta ushahidi waubikra kwake”.
15 и взем отец девицы и матерь, да изнесут девическая отроковицы пред старейшины ко вратом,
Kisha baba na mama mzazi wa binti wanatakiwa kupeleka ushahidi wa ubikra wake kwa wazee mlangoni mwa mji.
16 и речет отец отроковицы ко старейшинам: дщерь мою сию дах мужу сему в жену, и ныне возненавидев ю сей,
Baba wa binti anapaswa kuwaambia wazee, “nilimpatia binti yangu kwa mwanamume huyu awe mkewe, naye anamchukia.
17 возлагает ей обвинителная словеса, глаголя: не обретох дщере твоея девою: и се, девическая дщере моея: и да разгнут ризы пред старейшины града онаго,
Tazama, amemtuhumu na vitu vya aibu na kusema, “Sikukuta ushahidi wa ubikra kwa binti yako”. Lakini ushahidi huu hapa wa ubikra wa binti yangu”. Kisha watatandaza shuka mbele ya wazee wa mji.
18 и да возмут старейшины града онаго мужа того и накажут его,
Wazee wa mji wanapaswa kumchukua mwanamume huyo na kumuadhibu;
19 и да обвинят его стом сиклей, и дадят отцу отроковицы, яко изнесе имя зло на девицу Израилтеску, и (паки) да будет ему жена: не возможет отпустити ю во вся лета.
nao wanapaswa kumtoza faini ya shekeli mia moja ya fedha, na kumpatia baba wa binti, kwa sababu mwanamume kasababisha sifa mbaya kwa bikra wa Israeli. Binti huyu anapaswa kuwa mke wake; mwanamume huyu hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote.
20 Аще же будет воистинну слово сие, и не обрящутся девическая отроковице,
Ila kama jambo hili ni la kweli, kwamba ushahidi wa bikra ya binti haukupatikana,
21 и да изведут девицу пред врата дому отца ея, и побиют ю камением мужие градстии, и да умрет, яко сотвори безумие в сынех Израилевых, оскверни дом отца своего: и измите злое от себе самих.
basi wanapaswa kumpeleka binti mlangoni kwa baba yake, na kisha wanamume wa mji wake wanatakiwa kumpiga kwa mawe hadi afe, kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli, kwa kutenda kama kahaba chini ya nyumba ya baba yake, nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu.
22 Аще же обрящется человек лежай с женою мужатою, убийте обоих, человека лежащаго с женою и жену: и измите злое от Израиля.
Iwapo mwanamume kakutwa analala na mwanamke ambaye ni mke wa mtu, basi wote wanapaswa kufa, mwanamume aliyelala na mwanamke pamoja na mwanamke mwenyewe; nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu.
23 Аще же будет дева обрученая мужу, и обрет ю человек (другий) во граде, будет с нею,
Iwapo kuna msichana bikra, ambaye amechumbiwa na mwanamume, kisha mwanamume mwingine kamkuta mjini na kulala naye,
24 изведите обоих пред врата града их, и побийте (обоих) камением, и да умрут: отроковицу, понеже не вопила во граде, и мужа, понеже обиде жену ближняго своего: и измите злое от себе самих.
wachukueni wote wawili malangoni mwa mji, na kuwapiga mawe. Unapaswa kumpiga msichana mawe, kwa sababu hakupaza sauti kuomba msaada, ingawa alikuwa ndani ya mji. Unapaswa kumpiga mwanamume mawe, kwa sababu amemwingilia mke wa jirani yake; nanyi mtakuwa mmeondoa uovu miongoni mwenu
25 Аще же на поли обрящет человек деву обрученую, и насиловав будет с нею, убийте человека единаго бывшаго с нею:
Lakini kama mwanamume amemkuta msichana aliyechumbiwa shambani, na kama akamkamata na kulala naye, basi mwanamume pekee aliyelala naye ndiye lazima afe.
26 а отроковице ничтоже сотворите: несть бо деве греха смертнаго: якоже аще кто бы востал на ближняго своего, и убил бы душу его, тако сие дело:
Lakini kwake msichana msifanye chochote; hakuna dhambi inayostahili kifo kwake msichana. Kwa maana suala hili ni kama mwanamume amshambuliapo jirani yake na kumuua.
27 понеже на селе обрете ю, возопи отроковица обрученая, и не бе помогаяй ей.
Kwa maana alimkuta shambani; msichana huyu aliyechumbiwa alipaza sauti, lakini hapakuwa na mtu wa kumuokoa.
28 Аще же кто обрящет отроковицу деву, яже несть обручена, и насиловав будет с нею, и обличится:
Iwapo mwanamume amemkuta msichana ambaye ni bikra lakini hajachumbiwa, na kama akamkamata na kulala naye, na kama wakagundulika,
29 да даст человек бывый с нею отцу отроковицы пятьдесят дидрахм сребра, и тому да будет жена, понеже обиде ю: не возможет отпустити ю во все время.
basi mwanamume aliyelala naye lazima atoe shekeli hamsini za fedha kwa baba wa msichana, naye lazima awe mke wake, kwa sababu amemdhalilisha. Hatakiwi kumfukuza katika siku zake zote.
30 Да не поймет человек жены отца своего, и да не открыет покровения отца своего.
Mwanamume hapaswi kumchukua mke wa baba yake kama wake; hatakiwi kuchukua haki za ndoa za baba yake.

< Второзаконие 22 >