< Второзаконие 20 >

1 Аще же изыдеши на брань на враги твоя, и узриши кони и всадники и люди множайшыя тебе, да не убоишися их: яко Господь Бог твой с тобою, изведый тя из земли Египетския.
Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababu Bwana Mungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi.
2 И будет егда приближишися к рати, и приступив жрец да возглаголет к людем и речет к ним:
Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi.
3 послушай, Израилю, вы исходите днесь на рать ко врагом вашым: да не ослабеет сердце ваше, ни убойтеся, ниже устрашитеся и не уклонитеся от лица их:
Atasema: “Sikia, ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife moyo wala usiogope, usitishwe wala usitiwe hofu mbele yao.
4 яко Господь Бог ваш идый пред вами споборствует вам на враги вашя и спасет вас.
Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ndiye huenda pamoja nanyi kuwapigania dhidi ya adui zenu na kuwapatia ushindi.”
5 И да рекут книгочия к людем, глаголюще: кий человек создавый храмину нову, и не обнови ея? Да идет, и да возвратится в дом свой, да не умрет на рати, и человек ин обновит ю:
Maafisa wataliambia jeshi: “Je, kuna yeyote aliyejenga nyumba mpya ambayo haijawekwa wakfu? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akaiweka wakfu.
6 и кии человек, иже насади виноград, и не веселися от него? Да идет, и возвратится в дом свой, да не умрет на рати, и человек ин возвеселится от него:
Je, kuna yeyote aliyepanda shamba la mizabibu na hajaanza kulifurahia? Yeye na arudi nyumbani, au sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akalifurahia.
7 и кий человек, иже обручи себе жену, и не понял ю? Да идет, и возвратится в дом свой, да не умрет на рати, и ин человек поймет ю.
Je, kuna yeyote aliyeposa mwanamke na hajamwoa? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akamwoa.”
8 И да приложат книгочия глаголати к людем, и да рекут: кий человек страшлив и слаб сердцем? Да идет, и возвратится в дом свой, да не устрашит сердца брата своего, аки сердце свое.
Kisha maafisa wataongeza haya, “Je, kuna mtu anayeogopa ama kufa moyo? Yeye na arudi nyumbani ili ndugu zake nao wasije wakafa moyo pia.”
9 И будет егда умолкнут книгочия глаголюще к людем, и поставят воеводы воинства вожды людий.
Wakati maafisa watakapomaliza kuzungumza na jeshi, watawateua wakuu wa vikosi.
10 Аще же приидеши ко граду воевати нань, и воззовеши я с миром:
Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani.
11 аще убо мирное отвещают ти, и отверзут тебе (град), вси людие обретшиися во граде да будут тебе дань дающе и послушающии тебе:
Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watawatumikia kwa kufanya kazi ngumu na watawatumikia.
12 аще же не покорятся тебе, и сотворят с тобою рать, да обсядеши его,
Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji huo kwa vita.
13 дондеже предаст я Господь Бог твой в руце твои: да избиеши всяк мужеск пол в нем убийством меча,
Wakati Bwana Mungu wenu atakapouweka mji huo mkononi mwenu, waueni kwa upanga wanaume wote waliomo ndani yake.
14 кроме жен и имения, и вся скоты, и вся елика суть во граде, и все стяжание да плениши себе, и да снеси весь плен врагов твоих, яже Господь Бог твой дает тебе.
Kwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo Bwana Mungu wenu amewapa kutoka kwa adui zenu.
15 Тако да сотвориши всем градом, иже суть далече от тебе зело, иже не суть от градов языков сих, ихже Господь Бог дает тебе наследити землю их:
Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.
16 от них да не оставите жива всякаго дыхания:
Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua.
17 но и проклятием проклените их, Хеттеа и Аморреа, и Хананеа и Ферезеа, и Евеа и Иевусеа и Гергесеа, якоже заповеда тебе Господь Бог твой:
Waangamizeni kabisa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, kama Bwana Mungu wenu alivyowaamuru.
18 да не научат вас творити всякия мерзости своя, елики твориша богом своим, и согрешите пред Господем Богом вашим.
La sivyo, watawafundisha kufuata mambo yote ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu.
19 Аще же обсядеши град един дни многи воевати его в приятие себе, да не истребиши садовия его, возложив железо нань, но токмо да яси плод от них, самого же да не посечеши: еда древо, еже в дубраве, человек есть, иже внити от лица твоего в забрала?
Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka, msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka, kwa sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu, hata muizingire?
20 Но древо, еже веси, яко не ястся плод его, сие потребиши и посечеши, и сотвориши лествицы на град, иже творит на тя рать, дондеже предастся.
Hata hivyo, mnaweza kuikata miti ambayo sio miti ya matunda na kuitumia kujenga ngome, mpaka mji ulio katika vita na ninyi utakapoanguka.

< Второзаконие 20 >