< Второзаконие 17 >

1 Да не пожреши Господеви Богу твоему телца или овчате, на немже есть порок, всяк глагол зол: яко мерзость Господеви Богу твоему есть.
Haupaswi kumtolea dhabihu Yahwe Mungu wako ng'ombe au kondoo aliye na kasoro au kitu chochote kibaya, kwa kuwa hiyo itakuwa chukizo kwa Yahwe Mungu wako.
2 Аще же обрящется у тебе во единем от градов твоих, яже Господь Бог твои дает тебе, муж или жена, иже сотворит лукавое пред Господем Богом твоим, преступити завет Его:
Kama kunapatikana miongoni mwenu, ndani ya malango ya mji wowote ambao Yahwe Mungu wenu anawapatia, mwanaume yoyote au mwanamke ambaye anafanya uovu mbele ya Yahwe Mungu wenu kuiharibu agano lake -
3 и шедше послужат богом иным и поклонятся им, солнцу, или луне, или всякому яже от красоты небесныя, ихже не повелех тебе:
yoyote ambaye ameenda na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, wala jua, mwezi, au kati ya jeshi la mbinguni- hakuna chochote nimekuamuru,
4 и возвестится тебе, и взыщеши зело, и се, истинно бысть слово, мерзость сотворися сия во Израили:
na kama ungeambiwa kuhusu hiki, au kama una mifugo- basi unapaswa kufanya uchunguzi wa makini. Kama ni kweli na hakika kwamba chukizo kama hilo limefanyika Israeli-
5 да изведеши человека того, или жену ту, иже сотвориша дело злое сие, пред двери, и побиете их камением, и да умрут.
-basi utamleta huyo mwanaume au mwanamke, aliyefanya uovu huu, katika malango ya mji, kwamba mwanaume kabisa au mwanamke, na umponde huyo mtu mpaka kufa.
6 При двою свидетелех или при трех да умрет: умираяй да не умрет при единем свидетели:
Kwa kinywa cha mashahidi wawili, au mashahidi watatu, itakuwa yeye anayepaswa kuuwawa; lakini kwa kinywa cha shahidi mmoja peke hatauwawa.
7 и рука свидетелей да будет на нем в первых, умертвити его, и рука всех людий послежде: и измите злое от вас самех.
Mkono wa mashahidi unapaswa kuwa wa kwanza kumuuwa, na badae mkono wa watu wote; na mtamuondoa muovu miongoni mwenu.
8 Аще же неудоборешимо слово у тебе в суде между кровию и кровию, и между судом и судом, и между язвою и язвою, и между прением и прением, словеса судная в градех твоих, и востав взыдеши на место, еже изберет Господь Бог твой призвати имя Его тамо:
Kama jambo linatokea ambalo ni gumu kwenu kufanya maamuzi- pengine swali la mauaji au kifo cha ajali, haki ya mtu mmoja na haki ya mtu mwingine, au swali moja la aina ya kuzulu kufanyika, au aina nyingine ya jambo-mambo ya utata ndani ya malango yenu, basi utapaswa kwenda kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wako atachagua kama patakatifu pake.
9 и приидеши к жерцем левитом, и к судии, иже будет в тыя дни, и взыскавше возвестят тебе суд:
Utapaswa kwenda kwa makuhani, wazao wa Lawi, na kwa mwamuzi atakayetumika kwa wakati huo; mtatafuta ushauri wao, na watawapa ninyi maamuzi.
10 и сотвориши по словеси, еже возвестят тебе от места, еже изберет Господь Бог твой призывати имя Его тамо, и да сохраниши зело творити вся, елика законоположатся тебе:
Mnapaswa kufuata sheria mliyopewa, katika eneo Yahwe atachagua kama patakatifu pake. Mtakuwa makini kufanya kila kitu ambacho wanawaelekeza kufanya.
11 по закону и по суду, егоже рекут тебе, сотвориши, да не уклонишися от словесе, еже известят тебе, ни на десно, ни на лево.
Fuata sheria wanayowafundisha, na kufanya kulingana na maamuzi wanawapa. Msigeuke kutoka kwa kile wanawambia, kwa kulia au kushoto.
12 И человек, иже сотворит в гордости, еже не послушати жерца предстоящаго служити во имя Господа Бога твоего, или судии, иже в тыя дни будет, да умрет человек той, и да измеши злое от Израиля:
Yeyote anayefanya kwa kiburi, kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama kutumika mbele ya Yahwe Mungu wako, au kwa kutomsikiliza mwamuzi- huyu mtu atakufa; mtaweka mbali uovu kutoka Israeli.
13 и вси людие услышавше убоятся, и не будут нечествовати ктому.
Watu wote wanapaswa kusikia na kuogopa, na kutofanya kwa kiburi tena.
14 Аще же внидеши в землю, юже Господь Бог твой дает тебе в жребий, и приимеши ю, и вселишися на ней, и речеши: поставлю князя над собою, якоже и прочии языцы, иже окрест мене:
Wakati mlipokuja kwenye nchi ambayo Yahwe Mungu anawapa, na wakati mnamiliki na kuanza kuishi ndani yake, na halafu unasema, 'Nitajiwekea mfalme juu yangu, kama mataifa yote yanayonizunguka mimi,'
15 поставляя да поставиши над собою князя, егоже изберет Господь Бог твой, от братии твоея да поставиши над собою князя, не возможеши поставити над собою князя человека чуждаго, яко не брат твой есть.
basi unapaswa kwa hakika kujiwekea mfalme juu yako mtu yeyote ambaye Yahwe atachagua. Unapaswa kujiweka kama mfalme juu yako mtu yeyote kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Haupaswi kuweka mgeni, ambaye si ndugu yenu, juu yenu.
16 Обаче да не умножит себе коней, ниже да возвратит людий во Египет, яко да не умножит себе коней: Господь же рече вам: не приложите возвратитися путем сим ктому:
Lakini hapaswi kuzidisha farasi kwa ajili yake, wala kusababisha watu kurudi Misri ili kwamba aweze kuzidisha farasi, kwa kuwa Yahwe alikwisha sema kwako, 'Unapaswa kuanzia sasa usirudi njia hiyo tena.'
17 и да не умножит себе жен, да не превратится сердце его: и сребра и злата да не умножит себе зело.
Na hapaswi kuzidisha wake kwa ajili yake, ili kwamba moyo wake usigeuke kotoka kwa Yahwe; wala hapaswi sana kuzidisha kwa ajili yake fedha au dhahabu.
18 И будет егда сядет на престоле власти своея, да напишет себе второзаконие сие в книзе от жерцев левитов,
Wakati aketipo kwenye kiti cha enzi cha ufalme wake, anapaswa kuandika kwenye kitabu kwa ajili yake nakala ya sheria hii, kutoka kwenye sheria ambayo iko mbele ya makuhani, ambao ni Walawi.
19 и будет с ним, и да чтет ю во вся дни жития своего, да научится боятися Господа Бога своего и хранити вся заповеди сия и оправдания сия, творити я:
Kitabu kinapaswa kuwa na yeye, na anapaswa kusoma ndani yake kwa siku zake zote, ili kwamba aweze kujifunza kumheshimu Yahwe Mungu wako, ili kwamba ashike maneno yote ya sheria hii na amri hizi, kuzishika.
20 да не возвысится сердце его от братии его, да не преступит от заповедий ни на десно, ни на лево яко да будет многа лета во власти своей, той и сыны его с ним, в сынех Израилевых.
Anapaswa kufanya hivi ili kwamba moyo wake usiinuliwe zaidi ya ndugu zake, na ili kwamba asigeuke mbali na amri, kwa kulia au kwa kushoto' kwa kusudi kwamba aweze kuzidisha siku zake katika ufalme wake, yeye na watoto wake, miongoni mwa Israel.

< Второзаконие 17 >