< Вторая книга Царств 21 >

1 И бысть глад на земли во дни Давидовы три лета, лето по лету. И вопроси Давид лица Господня и рече Господь: над Саулом и над домом его обида в смерти кровей его, понеже умертви Гаваониты.
Wakati wa utawala wa Daudi kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akautafuta uso wa Bwana. Bwana akasema, “Ni kwa sababu ya Sauli na nyumba yake iliyotiwa madoa ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”
2 И призва царь Давид Гаваониты и рече к ним: и Гаваонитяне не суть сынове Израилевы, но токмо от остатков Аморрейских, и сынове Израилевы кляшася им: Саул же взыска поразити я, внегда поревновати ему по сынех Израилевых и Иудиных.
Mfalme akawaita Wagibeoni na kuzumgumza nao. (Wagibeoni hawakuwa wa wana wa Israeli, ila walikuwa mabaki ya Waamori. Waisraeli walikuwa wameapa kuwaacha hai, lakini Sauli katika wivu wake kwa ajili ya Israeli na Yuda, alikuwa amejaribu kuwaangamiza.)
3 И рече Давид ко Гаваонитяном: что сотворю вам? И чим умолю, да благословите достояние Господне?
Daudi akawauliza Wagibeoni, “Niwatendee nini? Nitawaridhishaje ili mbariki urithi wa Bwana?”
4 И реша ему Гаваонитяне: несть нам сребра или злата со Саулом и с домом его, и несть нам мужа умертвити от всего Израиля. И рече: что вы глаголете, и сотворю вам?
Wagibeoni wakamjibu, “Hatuna haki ya kudai fedha wala dhahabu kutoka kwa Sauli au jamaa yake, wala hatuna haki ya kumuua mtu yeyote katika Israeli.” Daudi akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
5 И реша ко царю: мужа, иже соверши над нами и погна ны, иже умысли потребити ны, потребим его, да не будет во всех пределех Израилевых:
Wakamjibu mfalme, “Kwa habari ya mtu aliyetuangamiza na kufanya hila mbaya dhidi yetu ili kwamba tuangamizwe na tusiwe na yeyote katika Israeli,
6 дадите нам седмь мужей от сынов его, и повесим их на солнце Господеви в Гаваоне Саули избранных Господних. И рече царь: аз дам.
tupatieni wazao wake saba wa kiume tuwaue hadharani mbele za Bwana huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na Bwana.” Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.”
7 И пощаде царь Мемфивосфеа, сына Ионафаня сына Сауля, клятвы ради Господни, яже посреде их и посреде Давида и посреде Ионафана сына Сауля.
Mfalme akamhifadhi Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa sababu ya kile kiapo mbele za Bwana kati ya Daudi na Yonathani.
8 И взя царь два сына Ресфы дщере Аиа, подложницы Саули, ихже роди Саулу, Ермониа и Мемфивосфеа, и пять сынов Мелхолы дщере Саули ихже роди Есдриилу сыну Верзеллиа Моулафиева,
Lakini mfalme akamchukua Armoni na Mefiboshethi, wana wawili wa Rispa binti Aiya, ambao alikuwa amemzalia Sauli, pamoja na wana watano wa Merabu binti Sauli, aliokuwa amemzalia Adrieli mwana wa Barzilai, Mmeholathi.
9 и даде их в руки Гаваонитом. И повесиша я на солнце на горе пред Господем, и падоша тамо сии седмь вкупе: тии же умроша во днех жатвы первых, в начале жатвы ячменя.
Akawakabidhi kwa Wagibeoni, ambao waliwaua na kuwaweka wazi juu ya kilima mbele za Bwana. Wote saba walianguka kwa pamoja; waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mara tu uvunaji wa shayiri ulipokuwa unaanza.
10 И взя Ресфа дщи Аиина вретище, и потче е себе при камени, в начале жатвы ячменя дондеже снидоша на них воды Божия с небесе, и не даде птицам небесным днем почити на них, ниже зверем земным нощию.
Rispa binti Aiya akachukua nguo ya gunia, akajitandikia juu ya mwamba. Kuanzia mwanzo wa mavuno mpaka mvua ziliponyesha juu ya miili ya hao waliouawa, Rispa hakuruhusu ndege wa angani kuwagusa wakati wa mchana, wala wanyama wa mwitu wakati wa usiku.
11 И поведаша Давиду вся елика сотвори Ресфа дщерь Аиа, подложница Сауля. И истлеша, и взя я Дан сын Иой, иже от исчадий исполиновых.
Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,
12 И иде Давид, и взя кости Саули и кости Ионафана сына его от мужей сынов Иависа Галаадскаго, иже украдоша их от стогны Вефсани, зане повесиша их тамо иноплеменницы в день, в оньже поразиша иноплеменницы Саула в Гелвуи.
alikwenda akachukua mifupa ya Sauli na mwanawe Yonathani kutoka kwa watu wa Yabeshi-Gileadi. (Walikuwa wameichukua kwa siri kutoka uwanja wa watu wote huko Beth-Shani, mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika baada ya kumuua Sauli huko Gilboa.)
13 И вознесе Давид кости Саули оттуду и кости Ионафана сына его, и собра кости повешеных на солнце:
Daudi akaileta mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani kutoka huko, pia mifupa ya wale waliokuwa wameuawa na kutupwa ilikusanywa.
14 и погребоша кости Саули и кости Ионафана сына его, и кости повешеных на солнце, в земли Вениаминове, при Краи во гробе Киса отца его, и сотвориша вся елика заповеда царь. И послуша Бог земли по сих.
Wakazika mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani katika kaburi la Kishi, babaye Sauli, huko Sela katika nchi ya Benyamini, nao wakafanya kila kitu mfalme alichoagiza. Baada ya hayo, Mungu akajibu maombi kwa ajili ya nchi.
15 И бысть паки брань иноплеменником со Израилтяны. И сниде Давид и отроцы его с ним, и бишася со иноплеменники: и утрудися Давид.
Kwa mara nyingine tena kulikuwa na vita kati ya Wafilisti na Israeli. Daudi akashuka pamoja na watu wake ili kupigana dhidi ya Wafilisti, naye akawa amechoka sana.
16 И Иесвий, иже бе от внук Рафаних, (у негоже) бе вес копия его триста сикль веса медяна, и той бе препоясан оружием, и хотяше поразити Давида.
Naye Ishbi-Benobu, mmoja wa wazao wa Warefai, ambaye mkuki wake ulikuwa na uzito wa shekeli 300 za shaba, alikuwa amejifunga upanga mpya, naye alisema angemuua Daudi.
17 И поможе ему Авесса сын Саруин, и избави Давида Авесса, и порази иноплеменника, и умертви его. Тогда кляшася мужие Давидовы, глаголюще: не изыдеши ктому с нами на брань, да не угасиши светилника Израилева.
Lakini Abishai mwana wa Seruya akaja kumwokoa Daudi; akampiga huyo Mfilisti, akamwangusha chini na kumuua. Ndipo watu wakamwapia Daudi, wakisema, “Kamwe hutakwenda tena nasi vitani, ili kwamba taa ya Israeli isije ikazimwa.”
18 И бысть по сих еще брань в Гефе со иноплеменники: тогда порази Совохей иже от Асофы собранныя внуки Гигантовы.
Baada ya muda, kukawa na vita nyingine na Wafilisti, huko Gobu. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Safu, mmoja wa wazao wa Warefai.
19 И бысть паки брань в Роме со иноплеменники: и порази Елеанан сын Ариоргима Вифлеемлянин Голиафа иже от Геффеа, и древо копия его бысть аки навой ткущих.
Katika vita vingine na Wafilisti huko Gobu, Elhanani mwana wa Yaare-Oregimu, Mbethlehemu, alimuua nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.
20 И бысть паки брань в Гефе: и бе муж от мадона, и персты рук его и персты ног его по шести, числом двадесять четыри: и той родися от Рафы,
Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita kila mguu, jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.
21 и уничижи Израиля: и уби его Ионафан сын Сафая брата Давидова.
Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.
22 Четыри сии родишася внуцы Гигантовы рафе в Гефе, и падоша от руку Давидову и от руку рабов его.
Hawa wanne walikuwa wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

< Вторая книга Царств 21 >