< Вторая книга Паралипоменон 6 >

1 Тогда рече Соломон: Господь рече обитати во мгле,
Kisha Selemani akasema, “Yahwe alisema kwamba ataishi katika giza nene,
2 аз же создах дом имени Твоему Святый Тебе, и уготован еже обитати Тебе во веки.
lakini nimekujengea makao makuu, sehemu kwa ajili yako ya kuishi milele.”
3 И обрати царь лице свое и благослови все собрание Израилево, и все собрание Израилево предстояше, и рече:
Kisha mfaalme akageuka nyuma na kuwabariki kusanyiko lote la Israeli, wakati kusanyiko lote la Israeli walikuwa wamesimama.
4 благословен Господь Бог Израилев, якоже глагола усты Своими ко Давиду отцу моему, и руками Своими соверши, глаголя:
Akasema, “Yahwe, Mungu wa Israeli, usifiwe, uliyesema na Daudi baba yangu, na ametimiza kwa mikono yake mwenyewe, akisema.
5 от дне, в оньже изведох люди Моя от земли Египетския, не избрах града от всех колен Израилевых, да созиждется в нем дом имени Моему ту, ниже избрах мужа быти вождем над людьми Моими во Израили:
'Tangu siku nilipowaleta watu wanagu nje ya nchi ya Misiri, sikuchaagua mji wowote nje ya makabaila yote ya Israeli ambamo nyumba ingejengwa, ili jina lanagu liwe humo. Wala sikuchagua mtu yeyote kuwa mfalme juu ya watu wangu Israeli.
6 но избрах Иерусалима, да будет имя Мое в нем, и избрах Давида быти над людьми Моими Израилем:
Aidha, nimechagua Yeruselemu, ili kwamba jina langu liwe humo, na nimemchagua Daudi kuwa juu ya watu wanagu Israeli. '
7 и бысть на сердцы Давида отца моего создати дом имени Господа Бога Израилева:
Sasa ilikuwa ndani ya moyo wa Daudi baba yangu, kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
8 и рече Господь ко Давиду отцу моему: понеже бысть на сердцы твоем создати дом имени Моему, добре сотворил еси, яко бысть на сердцы твоем,
Lakini Yahwe alisema kwa Daudi Baba yanagu. 'Kwmba ilikuwa ndani ya moyo wako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vizuri kwa hili kuliweka moyono mwako.
9 обаче ты не созиждеши Мне дому, но сын твой, иже изыдет из чресл твоих, той созиждет дом имени Моему:
Aidha, hutaijenga ile nyumba, badala yake, mwanao, mmoja atakayetoka kwenye viuno vyako, ataijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.'
10 и соверши Господь слово сие, еже глагола, и бых вместо Давида отца моего, и седох на престоле Израилеве, якоже глагола Господь, и создах дом имени Господа Бога Израилева,
Yahwe ameyatimiza maneno aliyokuwa amesema, kwa maana nimeiinua sehemu ya Daudi baba yangu, na ninkaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli, kama alivyoahidi Yahwe. Nimeijenga nyumba kwa ajii ya jina la Yahwe, Mungu wa Israeli.
11 и поставих в нем кивот, в немже есть завет Господень, егоже завеща Израилю.
Nimeliweka humo sanduku, amabamo kuna agano la Yahwe, alilofanya na watu wa Israeli.”
12 И ста пред олтарем Господним, пред всем множеством Израилевым, и простре руце свои:
Selemani akasimama mbele ya madhabahu ya Yahwe mbele za kusanyiko lote la Israeli, na akanyosha mikono yake.
13 сотвори бо Соломон стояло медяно и постави его посреде двора святилища, пять лакот долгота его и пять лакот широта его и три лакти высота его: и ста на нем, и паде на колена своя пред всем множеством Израилевым, и простре руки своя на небо и рече:
Kwa mana alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, lenye urefu wa mikono mitano, upana wa mikono mitano, urefu wake kwenda juu mikono mitatu. Alikuwa ameliweka katika ya uwanja. Akasimama juu yake na kupiga magoti mbele ya kusanyiko la Israeli, kisha akanyosha mikono yake kuzielekea mbingu.
14 Господи Боже Израилев, несть подобен Тебе Бог на небеси и на земли, сохраняяй завет и милость с рабы Твоими, иже ходят пред Тобою всем сердцем своим,
Akasema, “Yahwe, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe katika mbingu, au juu ya dunia, ambaye anatunza agano na upendo imara na watumishi wako ambao hutembea mbele zako kwa moyo wao wote;
15 яже сохранил еси рабу Твоему Давиду отцу моему, елика рекл еси ему глаголя, и глаголал еси усты Твоими и руками Твоими совершил еси, якоже день сей:
wewe uliyetimtimizia Daudi baba yanagu, uliyokuwa umemwahidi. Ndiyo, ulisema kwa kinywa chako na umetimiza kwa mkono wako, kama ilivyo leo.
16 и ныне, Господи Боже Израилев, сохрани рабу Твоему Давиду отцу моему, яже рекл еси ему глаголя, и глаголал еси усты Твоими и исполнил еси якоже в день сей, глаголя: не оскудеет тебе муж от лица Моего седяй на престоле Израилеве, токмо аще сохранят сынове твои пути Моя ходити в законе Моем, якоже ходил еси предо Мною:
Sasa, Yahwe, Mungu wa Israeli, tunza ahadi uliyoahidi kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, uliposema, 'Hautashindwa kupata mtu mbele yangu wa kukaa juu ya kiti cha enzi cha Israeli, ikiwa tu uzao wako ni waangalifu kutembea katika sheria yangu, kama wewe ulivyotembea mbele zangu.
17 и ныне, Господи Боже Израилев, да укрепится слово Твое, еже глаголал еси рабу Твоему Давиду:
Sasa, Mungu wa Israeli, ninaomba kwamba ahadi uliyofanya kwa mtumishi wako Daudi itakuwa kweli.
18 убо истинно ли Бог обитати будет с человеки на земли? Аще небо и небо небесе не довлеют Ти, и кольми паче дом сей, егоже создах?
Lakini kweli Mungu ataishi na wanadamu juu ya dunia? Angalia, dunia yoye na mbugu yenyewe haviwezi kukubeba -sembuse na hekalu hili nililojenga!
19 И призри на моление раба Твоего и на молитву мою, Господи Боже мой, еже услышати молитвы моя и моление, имже раб Твой молится пред Тобою днесь,
Nakusihi yaheshimu maombi haya ya mtumishi wako na ombi lake. Yahwe Mungu wangu; sikia kilio na amaombi ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako.
20 еже быти очесем Твоим отверстым на дом сей день и нощь, на место сие, о немже глаголал еси, да призовется имя Твое тамо, еже услышати молитву, еюже раб Твой молится на месте сем:
Fumbua macho yako kuelekea hekaalu hili usiku na mchana, sehemu aambaayo uliahidi kuliweka jina lako. Nakuomba usikie maombi atakayoomba mtumishi wako kuelekea sehemu hii.
21 и послушати мольбу раба Твоего и людий Твоих Израиля, елика аще помолятся на месте сем и ты услышиши на месте жилища Твоего с небесе, и услышиши, и милостив будеши:
Hivyo sikia maombi ya mtumishi na ya watu wako Israeli tunapoomba kuelekea sehemu hii. Ndiyo, sikia kutoka mahali unapoishi, kutoka mbinguni; na unaposikia, samehe.
22 аще согрешит муж ко искреннему своему и приимет на него клятву еже клясти его, и приидет и прокленет пред олтарем в дому сем,
Kama mtu atamtenda dhambi jirani yake na ikampasa kuapa kiapo, na ikiwa atakuja na kuapa kiapo mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,
23 и Ты услыши от небесе и суди рабом Твоим, еже воздати беззаконному, и воздати пути его на главу его, и оправдити праведнаго, воздая ему по правде его:
basi sikia kutoka mbinguni na kutend na ukawahukumu watumishi wako, ukamlipizie mwovu, ili kuyaleta matendo yake juu ya kichwa chake. Ukamtangaze mwenye haki kuwa hana hatia, ili kumlipa thawabu kwa ajili ya uaminifu wake.
24 и аще одолени будут людие Твои Израиль от враг, аще согрешат Тебе и обратятся, и исповедятся имени Твоему, и помолятся пред Тобою в храме сем,
Watu wako watakaposhindwa na adui kwa sababu wamekutenda dhambi, kama watageuka nyuma kwako, wakilikili jina lako, wakisali na kuomba msamaha mbele zako hekaluni—
25 и Ты услыши с небесе и милостив буди грехом людий Твоих Израиля и возврати их в землю, юже дал еси им и отцем их:
basi tafadhali sikia mbinguni na usamehe dhambi za watu wako Isaraeli; uwarudishe katika nchi uliyoitoa kwa ajili yao na baba zao.
26 егда заключиши небо, и не будет дождя, яко согрешат Тебе, и помолятся на месте сем, и восхвалят имя Твое, и обратятся от грех своих, егда смириши их,
Wakati mbingu zimefungwa na hakuna mvua kwa sababu watu wamekutenda dhambi—ikiwa wataomba kuelekea sehemu hii, wakilikili jina lako, na kuziacha dhambi zao utakapokuwa umewaadhibu—
27 и Ты услыши с небесе и милостив буди грехом рабов и людий Твоих Израиля, яко явиши им путь благ, по немуже пойдут, и даждь дождь на землю Твою, юже дал еси людем Твоим в наследие:
basi sikia mbinguni na usamehe dhambi za watumishi wako na watu wako Israeli, utakapowaelekeza kwenye njia njema iwapasayo kutembea. Tuma mvua juu ya nchi yako, ambayo umewapa watu wako kama urithi.
28 глад аще будет на земли, губителство аще будет, воздуха растление и иктер, прузи и гусеницы аще будут, и аще оскорбит их враг пред градами их, всякою язвою и всякою болезнию,
Kama kuna njaa katika nchi, au kama kuna ugonjwa, tauni au ukungu, nzige au viwavijeshi, au kama adui wake wameyavamia malango ya mji katika nchi yao, au kwamba kuna pigo lolote au ugonjwa—
29 и всяка молитва, и всяко моление, еже аще будет всякому человеку и всем людем Твоим Израилю, аще познает человек язву свою и грех свой и прострет руце свои в дому сем,
na ikiwa sala na maombi yamefanywa na mtu au watu wako wote Israel—kila mmoja akilijua pigo na huzuni katika moyo wake akinyosha mikono yake kuelekea hekalu hili.
30 и Ты услыши с небесе от готоваго жилища Твоего, и очести, и даждь коемуждо по путем его, якоже веси по сердцу его, Ты бо един веси сердца сынов человеческих,
Basi sikiliza mbinguni, sehemu ambayo unaishi; samehe, na umlipe kila mtu kwa njia zake zote; uhaujua moyo wake, kwa sababu wewe na ni wewe pekee unaijua mioyo ya wanadamu.
31 яко да боятся Тебе, еже ходити бо всех путех Твоих вся дни, в няже живут на лицы земли юже дал еси отцем нашым:
Fanya hivyo ili kwamba wakuogope wewe, ili waweze kutembea katika katika njia zako siku zote ambazo wataishi katika nchi uliyowapa baba zetu.
32 и всяк чуждии, иже несть от людий Твоих Израиля, и приидет от земли дальния ради имене Твоего великаго и ради руки Твоея сильныя и мышцы Твоея высокия, и приидет и помолится на месте сем,
Kwa mgeni ambaye siyo sehemu ya watu wako Israeli, lakini ambaye- kwa sababu ya ukuu wa jina lako, mkono wako wenye nguvu, na mkono wako ulionyoshwa- akija na kuomba kuelekea sehemu nyumba hii,
33 и Ты услыши с небесе от готоваго жилища Твоего, и сотвориши по всему, елико призовет Тя чуждий, да уведят вси людие земли имя Твое и убоятся Тебе, якоже людие Твои Израиль, и познают, яко имя Твое призвано есть на дом сей, егоже создах:
basi sikiliza mbinguni, sehemu ambayo unaishi, na fanya yote ambayo mgeni atakuomba, ili kwamba watu wote wa dunia walijue jina lako na kukuogopa wewe, kama wafanyavyo watu wako Israeli, na kwamba waweze kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga inaitwa kwa jina lako.
34 аще же изыдут людие Твои на брань противу супостат своих по пути, имже послеши их, и помолятся Тебе по пути града сего, егоже избрал еси Себе, и дому, егоже создах имени Твоему,
Ikiwa kwamba watu wako wakaenda nje kupigana dhidi ya adui zao, kwa njia yoyote amabayo unaweza kuwatuma, na ikiwa kwamba wakaomba kwako kuelekea mji huu ambao umeuchagua, na kuelekea nyumba ambayo nimeijenga kwa ajili ya jina lako.
35 да услышиши с небесе молитву их и моление их, и сотвориши оправдание их:
Basi sikiliza maombi yao mbinguni, ombi lao, na uwasaidie.
36 зане согрешат Тебе, яко несть человек, иже не согрешит, и поразиши их, и предаси их в руки врагов их, и пленят их пленяющии в землю врагов, в землю дальнюю или ближнюю,
Kama wametenda dhambi dhidi yako—kwa kuwa hakuna asiye tenda dhambi—na ikiwa una hasira nao na kuwakabidhi kwa adui zao, ili kwamba adui wakawabeba na kuwachukua kama mateka kwa ajili ya nchi zao, iwe mbali au karibu.
37 и обратят сердце свое в земли их, в нюже пленени будут, и тамо обратятся, и помолятся Тебе в пленении своем, глаголюще: согрешихом, беззаконновахом, неправдовахом,
Kisha wakatambua kuwa wako katika nchi ambako wamewekwa utumwani, na ikiwa watatubu na kutafuta msaada kwako katika utumwa wao. ikiwa watasema, 'Tumetenda kinyume na kutenda dhambi. Tumetenda kwa uovu,'
38 и обратятся к Тебе всем сердцем своим и всею душею своею в земли пленивших я, идеже плениша их, и помолятся путем земли своея, юже дал еси отцем их, и града, егоже избрал еси, и дому, егоже создах имени Твоему:
ikiwa watarudi kwako kwa mioyo yao yote na kwa nia yao yote katika nchi ya utumwa wao, ambako walichuliwa kama mateka, na ikiwa wataomba kukabili nchi yao, uliyowapa babu zao, na kukabili mji ambao uliuchagua na kukabili nyumba ambayo niliijenga kwa ajili ya jina lako.
39 да услышиши с небесе от готоваго жилища Твоего молитву их и моление их, и сотвориши суд, и милостив буди людем Твоим согрешившым Ти:
Basi sika kutoka mbinguni, mahali unapoishi, sikia kuomba kwao na maombi na wayaombayo, na uwasaidie shida zao. Wasamehe watu wako, ambao wamekutenda dhambi.
40 и ныне, Господи, да будут отверсте очи Твои, и уши Твои внятне к молению места сего:
Sasa, Mungu wangu, ninakusihi, uyafungue macho yako, na masikio yako yasiskie maombi yatakayofanywa katika sehemu hii.
41 и ныне востани, Господи Боже, в покой Твой, Ты и кивот крепости Твоея: священницы Твои, Господи Боже, да облекутся во спасение, и преподобнии Твои возвеселятся во благих:
Sasa basi, amka, Yahwe Mungu, kwenye mahali pako pa kupumzikia, Wewe na sanduku la nguvu zako. Makuhani wako, Yahwe Mungu, wavikwe wokovu, na watakatifu wako wafurahi katika wema.
42 Господи Боже, да не отвратиши лица христа Твоего, помяни щедроты Давида раба Твоего.
Yahwe Mungu, usiugeuze nyuma uso wa masihi wako. Yakumbuke matendo yako katika agano lako la ufalme kwa ajili ya Daudi, mtumishi wako.

< Вторая книга Паралипоменон 6 >