< Первая книга Царств 14 >

1 И бысть во един день, и рече Ионафан сын Саулов отрочищу носящему оружие его: гряди, и прейдем в мессаву иноплеменников иже на оней стране. И отцу своему не возвести сего.
Siku moja, Yonathani mwana wa Sauli alimwambia mbeba silaha wake aliye mdogo, “Njoo, hebu twende hadi upande mwingine kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini hakumjulisha baba yake.
2 И Саул седяше на верху холма под древом яблонным еже в Магдоне, и бяше с ним яко шесть сот мужей.
Sauli alikuwa akikaa nje ya mji wa Gibea chini ya mti wa mkomamanga ulio katika Migroni. Takribani watu mia sita walikwa pamoja naye,
3 И Ахиа сын Ахитов, брата Иохаведова, сына Финеесова, сына Илии, иерей Божий в Силоме нося ефуд: и людие не ведяху, яко отиде Ионафан.
akiwemo Ahiya mwana wa Ahitubu (nduguye Ikabodi) mwana wa Finehasi, mwana wa Eli, kuhani wa BWANA huko Shilo, aliyevaa naivera. Watu hao hawakujua kwamba Yonathani ameondoka.
4 Посреде же прехода, идеже хотяше Ионафан прейти в стан иноплеменничь, бысть камень острый отсюду и камень острый отюнуду: имя единому Васес и другому Сенна:
Katikati ya vichochoro, ambavyo Yonathani alinuia kuvipita hadi ngome ya Wafilisti, kulikuwa na mwamba wenye mteremko mkali upande mmoja, na mteremko mkali upande mwingine. Jabali moja liliitwa Bosesi, na jingine liliitwa Sene.
5 камень един стояше от севера противу Махмаса, и камень вторый от юга противу Гаваи.
Lile jabali lenye mteremko mkali zaidi liliinuka upande wa kaskazini mbele ya Mikmashi, na jingine upande wa kusini mbele ya Geba.
6 И рече Ионафан ко отрочищу носящему оружие его: гряди, прейдем в мессаву необрезанных сих, негли что сотворит нам Господь, яко несть Господу не удобно спасти во многих или в малых.
Yonathani akamwambia kijana mbeba silaha, “Njoo, na tuvuke hadi ngome ya hawa wasiotahiriwa. Pengine BWANA atatenda kwa niaba yetu, kwa maana hakuna kitu kiwezacho kumzuia BWANA asiokoe kwa wengi au kwa watu wachache.”
7 И рече ему носяй оружие его: твори все, на неже сердце твое склоняется: се, аз с тобою есмь, якоже сердце твое сердце мое.
Mbeba silaha wake akajibu, “Fanya kila kitu kilicho ndani ya moyo wako. Songa mbele, tazama, niko pamoja nawe, nitatii maagizo yako yote.”
8 И рече Ионафан: се, мы прейдем к мужем и явимся к ним:
Ndipo Yonathani akasema, “Tutavuka twende kwa watu hao, na tutajionesha wenyewe kwao.
9 аще сия рекут к нам: помедлите тамо, дондеже возвестим вам: то постоим сами на месте своем и не пойдем к ним:
Kama watatuambia, 'Subirini hapo hadi tutakapokuja kwenu' - basi tutabaki katika sehemu yetu na hatutavuka kwenda kwao.
10 аще же к нам сице рекут: взыдите к нам: то взыдем, яко предаде их Господь в руки нашя: сие нам знамение (да будет).
Lakini kama watajibu, 'Njoni kwetu,' ndipo tutavuka; kwa sababu BWANA amewaweka mkononi mwetu. Hii ndiyo itakuwa ishara yetu.”
11 И внидоста оба в мессаву иноплеменников. И глаголаша иноплеменницы: се, Еврее исходят из разселин своих, идеже скрышася.
Kwa hiyo wote wawili wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Angalia, Webrania wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha.”
12 И отвещаша мужие мессавли ко Ионафану и к носящему оружие его, и реша: взыдите к нам, и явим вам глагол. И рече Ионафан к носящему оружие его: гряди по мне, яко предаде их Господь в руки Израилевы.
Ndipo watu wa ile ngome wakamwita Yonathani na mbeba silaha wake, wakisema, “Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani.” Na Yonathani akamwambia mbeba silaha wake; “Nifuate nyuma yangu, kwa sababu BWANA amewaweka katika mkono wa Israeli.”
13 И взыде Ионафан (ползущь) на руках и на ногах своих, и носяй оружие его за ним. И узреша иноплеменницы лице Ионафане, и порази их: и носяй оружие его идяше вслед его.
Yonathani alipanda juu kwa mikono na miguu yake, na mbeba silaha akimfuata nyuma yake. Wafilisti waliuwawa mbele ya Yonathani, na mbeba silaha wake akiwaua baadhi nyuma yake.
14 И бысть язва первая, еюже порази Ионафан и носяй оружие его, яко двадесять мужей копийцами и каменовержением и кремением полевым.
Hilo shambulio la kwanza walilofanya Yonathani na mbeba silaha wake, waliua watu wapatao ishirini katika urefu wa nusu handaki kwenye eka moja ya ardhi.
15 И бысть ужас в полце и на селе: и вси людие иже в мессаве и губящии ужаснушася, и тии не хотяху братися: и вострепета земля, и бысть ужас от Господа.
Kukawa na hofu kubwa katika kambi, uwandani, na katika watu. Hata ngome ya jeshi na watekaji nyara nao wakawa na hofu kubwa
16 И видеша соглядатае Сауловы в Гаваи Вениамини, и се, полк смятеся семо и онамо.
Ndipo walinzi wa Sauli huko Gibea ya Benyamini wakaona kundi la askari wa Wafilisti likitawanyika, wakienda kule na huku.
17 И рече Саул людем сущым с ним: разсмотрите ныне и видите, кто отиде от вас. И разсмотриша, и се, не обретеся Ионафан и носяй оружие его.
Kisha Sauli akawaambia watu aliokuwa nao, “Mjihesabu ili muone nani hayupo hapa.”Walipokuwa wamehesabu, wakagundua kuwa Yonathani na mbebaji wa silaha zake hawapo.
18 И рече Саул ко Ахии: принеси ефуд, яко бе кивот Божий в той день с сынми Израилевыми.
Sauli akamwambia Ahiya, “Lete hapa naivera ya Mungu”- kwa maana siku hiyo Ahiya alivaa naivera akiwa pamoja na askari wa Israeli.
19 И бысть егда глаголаше Саул ко иерею, и шум в полце иноплеменничи ходя идяше и множашеся. И рече Саул ко иерею: пригни руки твоя.
Wakati Sauli akiongea na kuhani, kelele na ghasia kubwa iliendelea na kuongezeka katika kambi ya Wafilisti. dipo sauli akamwambia kuhani, “Acha kazi unayofanya.”
20 И изыде Саул и вси людие иже с ним, и изыдоша до сечи. И се, бысть оружие коегождо на ближняго своего, (и бысть) мятеж велик зело.
Sauli na watu wote aliokuwa nao wakajipanga na kwenda kwenye mapigano. Upanga wa kila Mfilisti ulikwa juu ya Mfilisti mwenzake, na kulikuwa na ghasia kubwa.
21 Но и раби, иже быша со иноплеменники вчера и третияго дне, вшедшии в полк, обратишася и тии еже быти им со Израилтяны сущими с Саулом и со Ионафаном.
Basi Waebrania ambao mwanzoni walijiunga na Wafilisti, na kwenda kwenye kambi yao, wao pia waliungana na Waisraeli waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani.
22 И вси Израилтяне скрывшиися в горе Ефремли услышаша, яко отбегоша иноплеменницы: приложишася и тии вслед их на брань.
Waisraeli wote waliokuwa wamejificha katika milima karibu na Efraimu waliposikia kwamba Wafilisti wamekimbia, nao pia wakawafuata Wafilisti nakuwafukuza kwenye hiyo vita.
23 И спасе Господь в той день Израиля: брань же пройде даже до Вамофа: и вси людие бяху с Саулом, яко десять тысящ мужей, и бе брань разсыпана во весь град на горе Ефремли.
Hivyo siku hiyo BWANA aliwaokoa Israeli, na mapigano yalivuka kupitiliza Beth aveni.
24 И Саул сотвори безумие велие в день той, и закля люди, глаголя: проклят человек, иже ясти будет хлеб даже до вечера, дондеже отмщу врагом моим. И не вкусиша людие вси хлеба:
Siku hiyo watu wa Israeli walifadhaika kwa sababu Sauli aliwaweka watu chini ya kiapo akasema, “Na alaaniwe mtu atakaye kula chakula kabla ya jioni na kabla sijalipiza kisasi kwa maadui zangu.” Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula.
25 и вся земля обедаше: и се, бяше дубрава пчелная пред лицем села:
Ndipo watu wote wakaingia msituni na kuona asali ikiwa juu ya ardhi.
26 и внидоша людие во пчелник, и се, исхождаху глаголюще: (яко истече мед, ) и не бе возвращающаго руки своея ко устом своим, яко убояшася людие клятвы Господни.
Watu walipoingia humo msituni, asali ilitiririka, lakini hakuna aliyeweka mkono wake kinywani kwa maana watu waliogopa kiapo.
27 Ионафан же не слышаше, егда заклинаше отец его люди: и простре конец жезла своего, иже в руку ему, и омочи его в соте медвене, и обрати руку свою во уста своя, и прозреша очи его.
Lakini Yonathani alikuwa hajasikia kwamba baba yake amewaagiza watu kwa kiapo. Akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kuichovya kwenye sega la asali. Kisha akanyoosha mkono wake hadi kinywani mwake, na macho yake yakaangaziwa.
28 И рече един от людий, глаголя: кленый прокля отец твой люди, глаголя: проклят человек, иже ясти будет хлеб в день сей: и изнемогоша людие.
Ndipo mmoja wa watu hao, akamwambia, “Baba yako aliwaagiza watu kwa mkazo na kwa kiapo, kwa kusema, 'Alaaniwe mtu atakaye kula chakula kwa siku ya leo,' ingawa watu wamedhoofika kwa ajili ya njaa.”
29 И уразуме Ионафан и рече: смути отец мой землю: виждь, яко прозреша очи мои, егда вкусих мало от меда сего:
Baadaye Yonathani alisema, “Baba yangu amefanya matatizo katika nchi. Angalia jinsi macho yangu alivyotiwa nuru kwa sababu nilionja asali hii kidogo.
30 о, дабы яли ядуще днесь людие от корыстей врагов своих, ихже обретоша, множайшая бы днесь язва была во иноплеменницех.
Je, siyo vivuri sana kama leo watu wangekula bila kizuizi nyara walizopata kutoka kwa maadui zao? Kwa sababu sasa mauaji hayakuwa makubwa katikati ya Wafilisti.”
31 И поразиша в день той от иноплеменников множае нежели в Махмасе: и утрудишася людие зело.
Siku hiyo waliwashambulia Wafilisti kutoka Mikmashi hadi Aiyaloni. Na watu walikuwa wamechoka sana.
32 И устремишася людие на корысти, и пояша людие стада и буйволы и говяда: и закалаху на земли, и ядоша людие с кровию.
Hivyo watu wakazivamia nyara na kuchukua kondoo, ng'ombe na ndama na kuwachinja hapo chini. Watu walikula nyama zao pamoja na damu.
33 И возвестиша Саулу, глаголюще: согрешиша людие ко Господу, ядуще с кровию. И рече Саул: от гефема привалите мне семо камень велий.
KIsha wakamwambia Sauli, “Tazama, watu wanamtenda BWANA dhambi kwa kula pamoja na damu.” Sauli akasema, “Mmetenda isivyo haki. Sasa, viringisheni jiwe kubwa kwangu.” Sauli akasema,
34 И рече Саул: шедше к людем рцыте им: да принесет кийждо семо телца своего и кийждо овцу свою, и да заколют на камени сем, и ядите я, и не согрешайте Господу ядуще с кровию. И приведоша нощию вси людие свое кийждо, еже имяше в руце своей, и закалаху тамо.
“Nendeni kati watu, na muwaambie, 'Kila mtu alete ng'ombe na kondoo wake, wawachinje hapa, na kuwala. Msimtende BWANA dhambi kwa kula na damu.”' Kwa hiyo watu wote wakaleta kila mtu na ng'ombe wake usiku huo na kuwachinja mahali hapo.
35 И созда Саул тамо олтарь Господу: сей нача Саул созидати олтарь Господу.
Sauli akamjengea BWANA madhabahu, ambayo ilikuwa ya kwanza kwake kumjengea BWANA.
36 И рече Саул: снидем вслед иноплеменник нощию, и расхитим их, дондеже заря будет, и не оставим от них мужа. И реша: все еже благо пред очима твоима, твори. И рече иерей: приступим семо к Богу.
Ndipo Sauli akasema, “Haya tuwafukuze Wafilisti usiku na kuwateka nyara hadi asubuhi; tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai.” Nao wakamjibu, “Fanya unaloona linakupendeza.” Lakini kuhani akasema, “Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa.”
37 И вопроси Саул Бога: сниду ли вслед иноплеменников? Предаси ли их в руки Израилтяном? И не отвеща ему Господь в день той.
Sauli alitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Je, inanipasa kuwafukuza Wafilisti? Je, utawaweka katika mkono wa Israeli?” Lakini siku hiyo BWANA hakumjibu kitu.
38 И рече Саул: приведите семо вся колена Израилева, и уразумейте и увеждьте, на ком бысть грех сей днесь,
Ndipo Sauli akasema, “Njoni hapa, viongozi wote wa watu; mjue na kuona jinsi dhambi hii ilivyotokea leo.
39 яко жив Господь спасый Израиля, яко аще ответ будет на Ионафана сына моего, смертию да умрет. И не бе отвещающаго от всех людий.
Kwa maana, kama BWANA aishivyo, aliyewaokoa Israeli, hata kama angekuwa mwanangu Yonathani, atapaswa kufa.” Lakini hakuna hata mtu mmoja miongoni mwa watu aliye mjibu neno.
40 И рече Саул всему Израилю: вы станите на едину страну, аз же и Ионафан сын мой станем на другую страну. И реша людие к Саулу: еже благо пред тобою, твори.
Basi akawaambia Waisraeli wote, “Simameni upande mmoja, na mimi na Yonathani tutasimama upande mwingine.” Kisha watu wakamwambia Sauli, “Fanya lile unaloona jema kwako.”
41 И рече Саул: Господи Боже Израилев, что яко не отвещал еси рабу Твоему днесь? Или моя есть, или сына моего Ионафана неправда? Господи Боже Израилев, даждь знамение: и аще речеши сия, даждь ныне людем Твоим Израилю, даждь ныне преподобие. И паде жребий на Ионафана и Саула, и людие изыдоша.
Kwa hiyo, Sauli akamwambia BWANA, Mungu wa Israeli, “Tuoneshe Thumimu.” Yonathani na Sauli wakatwaliwa, lakini watu walinusurika kuchaguliwa.
42 И рече Саул: верзите жребий на мя и на Ионафана сына моего: егоже объявит Господь, смертию да умрет. И реша людие к Саулу: несть сей глагол. И преможе Саул люди, и вергоша о нем и Ионафане сыне его, и паде на Ионафана жребий.
Basi Sauli akasema, “Tupa mawe ya bahati nasibu tuone kati yangu na mwanangu Yonathani.” Ndipo Yonathani akatwaliwa.
43 И рече Саул ко Ионафану: возвести ми, что сотворил еси? И возвести ему Ионафан и рече: вкушая вкусих мало меду омочив конец жезла, иже в руку моею, и се, аз умираю.
Kisha Sauli akamwambia Yonathani, “Niambie umefanya nini.” Yonathani akamwambia baba yake, “Nilionja asali kidogo kwa kutumia ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwangu. Niko hapa; Nitakufa.”
44 И рече ему Саул: сия да сотворит ми Бог, и сия да приложит ми, яко смертию умреши днесь.
Sauli akasema, “Mungu afanye hivyo na kuzidi hata kwangu, kama Yonathani hautakufa.”
45 И реша людие к Саулу: еда днесь умрет сотворивый спасение сие велие во Израили? Не буди то, жив Господь, аще падет влас главы его на землю, яко милость Божию сотвори в день сей. И помолишася людие о Ионафане в день той, и не умре.
Basi watu wakamuuliza Sauli, “Je, inampasa Sauli afe, ni nani aliyetekeleza ushindi huu mkubwa kwa ajili ya Israeli? Mbali na hayo! Kama BWANA aishivyo, hata unywele mmoja wa kichwa chake hautaanguka chini, kwa maana leo amefanya kazi pamoja na Mungu.” Hivyo hao watu walimuokoa Yonathani ili asife.
46 И не иде Саул вслед иноплеменников: иноплеменницы же отидоша в место свое.
Basi Sauli akasita kuwafuatia Wafilisti, nao wakarudi katika makao yao.
47 И Саул укрепися царствовати во Израили, и побеждаше окрест вся враги своя в Моаве и в сынех Аммоних и в сынех Едомлих и в Вефоре и в царствии Сувани и во иноплеменницех: и аможе аще обращашеся, спасашеся.
Sauli alipoanza kutawala juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote kila upande. Alipigana dhidi ya Moabu, dhidi ya watu wa Amoni, Edomu, wafalme wa Zoba, na Wafilisti. Popote alipogeukia aliwapiga kwa adhabu adui zake.
48 И сотвори силу, и победи Амалика, и избави Израиля из руки попирающих его.
Alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwashinda Waamaleki. Aliwaokoa Israeli kutoka mikono ya watu ambao waliwateka nyara.
49 И беша сынове Сауловы Ионафан и Иисуй и Мелхисуе: имена же двою дщерию его, имя первородней Мерова и имя вторей Мелхола:
Basi wana wa Sauli walikuwa ni hawa Yonathani, Ishvi, na Malkishua. Na majina ya binti zake wawili yalikuwa ni haya, Merabu mzaliwa wa kwanza, na mdogo aliitwa Mikali.
50 имя же жене его Ахиноома, дщерь Ахимаасова: и имя старейшине вой его Авенир сын Нира сына ужика Саулова:
Jina la mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu; naye alikuwa binti Ahimaasi. Na jina la Jemedari wa jeshi lake aliitwa Abneri mwana wa Neri, baba mdogo wa Sauli.
51 Кис же отец Саулов, и Нир отец Авениров сын иамина сына Авиилева.
Kishi alikuwa baba yake Sauli; na Neri alikuwa baba yake na Abneri, wote walikuwa wana wa Abieli.
52 И бе брань крепка на иноплеменники во вся дни Сауловы: и видев Саул всяка мужа сильна и всяка мужа сына силы, собираше их к себе.
Kulikuwa na mapigano makali dhidi ya Wafilisti katika siku zote za Sauli. Naye alipomwona mtu yeyote mwenye nguvu, au mtu yeyote jasiri, alimuunganisha kwake.

< Первая книга Царств 14 >